Posts

MARUBANI WAKIONA CHA MOTO BAADA YA KUMRUHUSU MTOTO KURUSHA NDEGE

Image
Serikali nchini Algeria, imewafukuzwa kazi marubani wawili wanaofanya kazi katika shirika la ndege la serikali baada ya kumruhusu mtoto wa miaka 10 kuendesha ndege. Mtoto huyo anayedaiwa kuwa ni yatima alikuwa akiendesha ndege aina ya Air Algerie, iliokuwa na abiria ndani na ilifanya safari zake katika mji wa Algiers hadi Setif. Zoezi la mtoto huyo kuendesha ndege lilifadhiliwa na kurekodiwa kituo cha El Bilad TV, ambapo walionyesha tukio zima huku kijana huyo akiwa amevalia sare za rubani. Baada ya video na picha kusambaa za kijana huyo akiongoza ndege, ndipo serikali ilichukua hatua ya kuwafukuzwa kazi Marubani hao mnamo Julai 29 mwaka huu.

Tambua Madhara ya Ulaji wa Chipsi

Image
Chips ni aina ya chakula ambacho hupendwa na watu wengi na pia ni miongoni mwa vyakula vyenye mafuta mengi. chips pia inasemekana ni miongoini mwa vyakula ambavyo hupikwa katika joto la juu zaidi ya 300 degree. Chips ni chakula chenye mafuta mengi na mafuta yanapoingia mwilini huenda kuzunguka sehemu ya mwili wa mwanadamu. kama ni mtu ambaye mazoezi pia hufanyi madhara yake ni kupata magonjwa ya moyo. hivi sasa idadi kubwa ya vijana wanaugua magonjwa mengi yanayo sababishwa na mkusanyiko wa mafuta katika miili yao amabayo huchangiwa na kuto kufanya mazoezi madhara yake mafuta kuziba mirija Mafuta yakiliwa sana husababisha kuzidi mwilini. Pia inasadikika mafuta yaliyopo katika chipsi katika sahani moja ya chisi ya moto endapo utaamua kuchuja kuna uwezekano wa kupata nusu glasi ya mafuta ya kupikia. Kwa hali hii ujue ni hatari. Na mwili huwa hatupi kinachofaa, na badala yake kama hakitumiki wakati huo basi huhifadhiwa kwa matumizi ya baadaye. Ndio maana

ATCL WATANGAZA NAFASI ZA KAZI 24, AUGUST 2017

Image
Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet. In line with this expansion, the Company hereby invites the applications from qualified Tanzanians to fill following positions:-       1. POSITIONS: 1.1 DIRECTOR OF FINANCE AND ADMINISTRATION REPORTS TO: MANAGING DIRECTOR &CHIEF EXECUTIVE OFFICER SUPERVISES: Sections under Finance and Administration Department JOB SUMMARY: Provide advisory services to the Accounting Officer in the proper management of Company’s resources. MINIMUM ENTRY QUALIFICATIONS A minimum of a Bachelor Degree in Accounts/Finance with a (CPA) (T) or ACCA or equivalent qualification and registered with NBAA; and a Master Degrees in Business Administration I Finance/Planning or related qualifications. WORKING EXPERIENCE REQUIRED At least eight (8) years of working experience in public or any reputable private organization three (3) of which must be in a Seni

Msajili wa Vyama vya Siasa AIGOMEA Barua ya Maalim Seif ya Kuwavua Uanachama Wabunge wa CUF

Image
Mgogogoro ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) bado unaendelea kufukuta baada ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad kuwasilisha barua kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jon Ndugai akimtaarifu kuwa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la CUF limewasimamisha uanachama wanachama wawili wa chama hicho ambao ni Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Magdalena Sakaya (Mbunge wa Kaliua) na Maftaha Nachuma (Mbunge wa Mtwara Mjini) uamuzi uliofikiwa kutokana na wajumbe wa mkutano huo kupiga kura za siri na kuamua kuwavua uanachama, hivyo kumuomba Spika Ndugai afanye utaratibu wa kuwavua ubunge wao kwa kuwa si wanachama halali wa chama hicho. Baada ya barua hiyo, Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amejibu barua ya Maalim Seif kwa kuwa kueleza kutomtambua yeye kama Katibu Mkuu wa CUF kwakuwa barua kutoka chama hicho ilisema kuwa nafasi ya Katibu Mkuu wa chama inakaimiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa haijapokea barua nyingine ku

MREMBO AGNESS MASOGANGE YAMKUTA YA WEMA

Image
Mkemia kutoka Ofisi ya Mkemia mkuu wa Serikali amesema mkojo wa mrembo Agness Gerald 'Masogange' umekutwa na chembechembe za dawa za kulevya aina ya heroine na oxazepam (Diacety Imophine). Mkemia Elias Mulima (40) ameiambia mahakama mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri kwamba sampuli ya mkojo wa Agness zilizowasilishwa kwao zilikua na chembechembe za dawa za kulevya. Mulima ambaye ni shahidi wa kwanza katika kesi ya Masogange kukutwa na dawa za kulevya Februari 15, 2017 Dar es salaam akiongozwa na Wakili wa Serikali Constantine Kakula, Shahidi huyo amedai kuwa Februari 15 mwaka huu katika ofisi ya Mkemia mkuu Dar es salaam akiwa ofisini alipokea vielelezo kutoka Jeshi la Polisi vilivyowasilishwa na koplo Sospeter na WP Judith kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi ili kubaini kuwa ni dawa za kulevya au la. Pia shahidi huyo ameongeza kwa kudai kuwa iliwasilishwa na fomu maalumu ya dawa za kulevya ambayo ilikua na namba DCEA 008 na alifanya usajil

Mbunge Haonga wa Chadema Akamatwa kwa Madai ya Uchochezi

Image
Muendelezo wa wabunge wa upinzani kutiwa nguvuni kwa tuhuma mbalimbali umezidi kushika kasi baada ya leo Mbunge wa Jimbo la Mbozi Mkoani Songwe, Pascal Haonga, kukamatwa na Polisi leo mchana akiwa katika mji mdogo wa Mlowo-Mbozi. Mbunge huyo kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anatuhumiwa kwa makosa ya uchochezi na kufanya mkusanyiko usio halali. Licha ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Mathias Nyange, kuthibitisha kumshikilia Haonga lakini hakutaka kueleza suala hilo kwa kina kwa madai kuwa hayupo ofisini. Meshack Mgaya ambaye ni Katibu wa Chadema Mkoa wa Songwe amesema kuwa chama kinaendelea kufuatilia kwa karibu kukamatwa kwa kada huyo na kwamba baada ya kujiridhisha watato tamko

SERIKALI YATANGAZA NAFASI 21 ZA KAZI KWA ICT

Image
ICT OFFICER GRADE II (BUSINESS ANALYST) – 2 POST Employer: e-Government Agency Date Published: 2017-07-24 Application Deadline: 2017-08-06 JOB SUMMARY: Responsible for requirements gathering and designing applications based technical solutions to solve business problems, which includes defining, analysing and documenting software and system requirements. The primary objective is to help Public Institutions implement technology solutions in a cost-effective way by determining the requirements of software projects, and communicating them clearly to stakeholders, facilitators and partners. DUTIES AND RESPONSIBILITIES: i.    Acting as a bridge between business group with need or problem and the Technology teams offering a solution to a problem or need. ii.    Drives and participates in design, development and implementation of enterprise wide applications. iii.    Work closely with developers and testers to ensure requirements and functional designs are transl

JACKY WOLPER AMEGUSWA NA HALI YA JINI KABULA,AFUNGUKA MAZITOLIVE

Image
Moja ya taarifa ambayo imekuwa gumzo na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na issue ya Mwigizaji Miriam Jolwa maarufu kama ‘Jini Kabula’ anayedaiwa kutokuwa sawa hivyo kuomba msaada kwa watu mbalimbali.Leo August 2, 2017 kupitia kwenye Instgram yake Mwigizaji Jacqueline Wolper ameguswa na hali hiyo na kuamua kuandika maneno kuhusu mwigizaji Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ akionesha kusikitishwa na hali yake.Natamani niongee mambo mengi sana juu yako lakini natamani ata kukusaidia urudishe akili yako swali ni kwamba nimechelewa??nakama nimewahi je nitafanikiwa kwelisasa tuzungumze jambo jamani maana siju hizi tarfa tunazipata insta naona nalangu niliongelee insta wanatasnia wenzangu tunamsaidiaje mwenzetu nini kimekuta kipi je nayoyasikia ndio hayo????nakama ndio mbona kuna wataalam wakusena nae naakakaaa sawa. “Basi watanzania wenzangu naombeni tuchangie maoni yenu hapa nakama nim2 uwezi toa ushauri hapa basi tuma msg kwakupitia cm hii 0765776776 basi tuweze

IGP SIRRO AFANYA UKAGUZI WA KUSHTUKIZA KITUO CHA MABASI YAENDAYO MIKOANI NA NCHI JIRANI CHA UBUNGO

Image
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro ( katika) akiwa katika ukaguzi wa kushtukiza kwenye kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo, (wa kwanza kushoto) ni Kaimu Kamanda wa Kanda maalum ya Dar es salaam, Naibu Kamishna wa Polisi ( DCP) Lucas Mkondya akifuatiwa na Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda Maalum ya Dar es salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Awadhi Haji. Na Jeshi la Polisi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewataka madereva na wamiliki wa mabasi ya abiria yaendayo mikoani na nchi jirani pamoja na wamiliki na madereva wa mabasi madogo ya abiria maarufu kama daladala kuhakikisha wanayafanyia ukaguzi na matengenezo ya mara kwa mara magari yao ili kupunguza ajali zinazosababishwa na ubovu na uchakavu wa magari. IGP Sirro aliyasema hayo jana wakati alipofanya ukaguzi wa kushtukiza katika Kituo Kikuu cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani pamoja na kituo cha daladala cha Mbezi Luisi kwa lengo

Madhara ya kujichubua

Image
Katika baadhi ya sehemu duniani watu wanaamini kuwa ngozi angavu huashiria uzuri, utajiri na uwezo(kifedha) alionao mtu.Katika baadhi ya sehemu watu wenye ngozi nyeusi huchukuliwa kuwa wapo chini ya kiwango, hii hupelekea watu hawa kutumia ving´arisha ngozi kama krimu, vidonge au nyenzo zingine kubadilisha ngozi zao.  Tafiti zinaonyesha kwamba wavulana na wasichana hupendelea kutumia bidhaa zinazong´arisha ngozi ili waweze kupata hadhi nzuri katika kundi la familia zao, na jamii. Kwa kweli,hata matangazo yanayoonyeshwa kwenye televisheni mbalimbali huonyesha kitu hiki. Mambo hayo yote huwa na athari kubwa juu ya mawazo ya vijana wa kiume na wakike ambayo hupelekea kuwafanya wachague chochote wanachomudu kati ya krimu au vidonge. Madhara ya kujichubua ni yapi? Mtu anaeyejichubua anaweza kupata kansa ya ngozi, chunusi, uvimbe katika ngozi, ngozi kuwa nyembamba,Kuongezeka kwa hamu ya kula na uzito,kutokwa na mabaka, pumu, kupata watoto wenye kasoro, kupata mat

WEMA: NISIPOPATA MTOTO NAFUNGA KIZAZI

Image
Wema Abraham Isac Sepetu. Exclusive! Hapo nyuma kumepita matukio mengi yaliyomhusu staa mwenye jina lake kwenye tasnia ya sinema za Kibongo, Wema Abraham Isac Sepetu , lakini mwenyewe hakuwa tayari kufungua kinywa kutoa ufafanuzi na hisia zake. Ni kupitia Ijumaa Wikienda ambalo limethubutu kufanya naye mahojiano maalum ambayo ndani yake alifunguka mambo mazito kuhusu maisha yake ya sasa na kuelezea dhamira yake ya kutaka kufunga kizazi endapo safari hii hatajaliwa kupata mtoto baada ya kupata mpenzi mpya. NYUMBANI UNUNIO Katika mahojiano hayo yaliyofanyika nyumbani kwa Wema, Ununio jijini Dar, staa huyo ambaye ni Miss Tanzania 2006/07, aliweka wazi mambo ambayo watu wamekuwa wakiyasema bila mpangilio wala kusikia kauli yake. UNGANA NA WEMA Ijumaa Wikienda: Mambo vipi Wema? Ni muda mrefu sana mashabiki wako hawajakusikia. Je, ni kwa nini umeamua kuwa kimya kiasi hicho? Wema: Sasa hivi nimebadilisha ratiba nzima ya maisha yangu. Kuna vitu ambavyo

Mwana FA: Kuoa mapema kuna faida kubwa

Image
Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hip, Mwana FA amedai amegundua kuoa mapema kuna faida nyingi ambapo amedai humfanya mtu atulie na kuanza kufocus katika maisha mapema. Rapa huyo ambaye aliingia kwenye maisha ya ndoa mwaka mmoja uliopita, amesema ni kweli msanii akioa anatakiwa kubadiika kutoka katika mfumo wa maisha yake ya kawaida ili kuendana na mfumo mpya wa maisha ndani ya ndoa.

Mbunge Aliyeondolewa CUF Azuiwa Kuingia Kwenye Kikao cha Madiwani

Image
Salma Mwasa . Mbunge wa Viti Maalumu ( CUF ) aliyevuliwa ubunge hivi karibuni Salma Mwasa amesikitishwa na kitendo cha askari wa Manispaa ya Ubungo cha kutaka kumzuia asikanyage kwenye halmashauri hiyo. Mwasa ni miongoni mwa wabunge kumi waliovuliwa uanachama sanjari na madiwani wawili wa CUF kwa madai ya kukihujumu chama hicho, hali iliyosababisha kukosa fursa za kuwa wabunge. Akisimulia tukio hilo lililotokea leo Jumatatu, Julai 31, Mwasa amesema aliitwa na askari hao na kuambiwa hatakiwi kuonekana katika eneo hilo la manispaa na kwamba, hiyo ni amri kutoka juu kwa wakubwa. “Mimi ninachojua amri zipo kumi tu, sasa hiyo 11 inatoka wapi? Lakini niliwaeleza kwamba mimi ni mkazi wa Ubungo sasa mnaponizuia nisije hapa hamnitendei haki kwa sababu nakuja kufanya mahitaji mbalimbali,” amesema.   “Mimi nimekuja kama mwananchi wa kawaida. Naomba umma utambue mimi bado ni mbunge hapa nilipo nina barua ya uteuzi na sina barua ya utenguzi,” anasema Mwasa. Hata hiv

MAJADILIANO SERIKALI NA BARRICK GOLD YAANZA RASMI

Image
Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi (wa pili kulia) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati Maalum iliyoundwa na Rais. John  Magufuli kujadiliana na uongozi wa Barrick Gold Corporation akiwa na ujumbe wa kampuni hiyo kabla ya kuanza  mazungumzo hayo leo  jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU Majadiliano kati ya kamati maalumu iliyoundwa na Rais John Magufuli na wawakilishi kutoka kampuni ya Barrick Gold Corporation kuhusu madini yanayochimbwa  na kampuni hiyo nchini yameanza leo, Julai 31 jijini Dar es Salaam. Prof. Kabudi akiwaelekeza jambo. Taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa,  imesema kamati ya Tanzania inaongozwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi na kamati kutoka Barrick inaongozwa na Ofisa Mwendeshaji Mkuu, Richard Williams. Prof. Kabudi akiwa na wageni hao. Profesa Kabudi amekaririwa katika taarifa hiyo akisema wamejipanga vizuri kujadiliana na Barrick juu ya

CHADEMA Yalia na Ugumu wa Maisha kwa Wananchi

Image
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Serikali imeshindwa kusimamia mfumuko wa bei ya chakula nchini kwa sababu haitambui umuhimu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA). Mbowe amesema mwakà 2015, NFRA ilihifadhi tani 446,000 za chakula lakini kufikia mwaka huu wakala huyo amehifadhi tani 74,826 za chakula. Mbowe amesema chakula kinapanda bei kwa sababu hakuna mkakati wowote wa Serikali kuwainua wakulima kwa kuwapatia pembejeo za kilimo. "Usalama wa taifa ni usalama wa chakula, kama hakuna usalama wa chakula hakuna usalama wa Taifa. "Mtakubaliana na mimi kuwa kwa miaka hii miwili vitu vimepanda bei lakini kipato cha wananchi hakijaongezeka "Bei ya mahindi kwa mwakà 2015 ilikuwa ndogo lakini mwaka huu imefika zaidi ya 90,000. Wananchi wanapata shida kwa sababu Serikali yao imewatupa wakulima." Amesema Mbowe

Safari ya Kichuya yanukia

Image
Siku chache baada ya kiungo wa Simba, Said Ndemla kwenda Sweden kufanya majaribio katika Klabu ya AFC, mshambuliaji wa timu hiyo, Shiza Kichuya anaweza akapata shavu la kucheza soka nchini Misri. Taarifa kutoka ndani ya Simba zinasema klabu moja ya Misri inamtaka Kichuya ili imsajili kwa ajili ya kuichezea timu yao na sasa wapo katika mazungumzo. Bado mazungumzo ya Simba na klabu hiyo yanaendelea na wakifikia muafaka muda wowote Kichuya ataondoka kwenda nchini humo. “Kuna timu ya Misri kupitia wakala aliyemuona Kichuya kwenye ligi na kufanya mawasiliano na sisi na tayari kuna barua wameleta wakimtaka Kichuya. “Kuna dau ambalo wamelipendekeza ili waweze kumsajili Kichuya lakini sisi hatujakubaliana nalo, hivyo tupo katika mazungumzo ya kuweza kufikia makubaliano lakini tunataka waongeze dau. “Hata hivyo, itabidi tumuachie Kichuya akacheze soka la kulipwa kwani kumzuia mchezaji kwa sasa ni sawa na bure, kwani amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake na hatut

IGP SIRRO ALIPONGEZA JESHI LA POLISI MKOA WA SINGIDA

Image
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akipiga saluti wakati wa paredi ya polisi iliyoandaliwa lililoandaliwa kwa ajili yake kulikagua mapema leo kwenye viwanja vya kambi ya FFU mjini hapa. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akikagua baadhi ya askari wa jeshi la polisi mjini Singida leo piga saluti wakati wa paredi ya polisi iliyoandaliwa lililoandaliwa kwa ajili yake kulikagua. Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada kukagua askari polisi waliokuwa kwenye paredi kwenye viwanja vya kambi ya FFU mjini hapa. …………………………. Picha/Habari na Gasper Andrew. Mkuu wa Jeshi la polisi nchini (IGP), Simon Sirro amelipongeza jeshi la polisi Mkoani Singida kwa juhudi zake za kupunguza matukio ya uhalifu yakiwemo ya utekeji wa magari kwa kiwango kikumbwa.IGP Siro ametoa pongezi hizo leo asubuhi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kweye viwanja vya kambi ya kikosi c

MAGAZETI YA LEO JULY 29,2017

Image