Posts

Showing posts from May 12, 2017

Miss Tanzania Diana Arushiana Maneno na Idrissa Sultani

Image
Baada ya Idrisaa Sultani kumpiga vijembe  Miss Tanzania 2o16 Diana Edward kukabidhiwa zawadi ya gari lenye mabango la lisilo na hadhi  miss huyo amesema kuwa hawezi kumzuia kusema. Miss Diana alipewa gari aliloahidiwa kufuatia ushindi kwenye shindano lililofanyika October 2016, gari hilo limekuwa gumzo mitandaoni kutokana na mabango yaliyowekwa kwenye gari hilo. Kupitia Leo Tena ya Clouds FM leo May 12, 2017 Miss Tanzania 2016, Diana Edward amesema anatoa shukrani na anawaunga mkono waandaaji na hawezi kuwazuia watu kusema kwa kuwa hawafahamu namna gani wamepambana kulipata gari hilo. “Mabango yatatolewa siku hizi mbili na nimefundishwa kushukuru. Kwa hiyo, nilichopewa nimeshukuru. Nitaliendesha gari, sina kipingamizi. Maneno, watu watayaongea, hiyo ipo. Hakuna binadamu anayekubali kitu. Ndio uwezo wao ulipofikia wa kunipa hiyo zawadi. “Siwezi kuwapinga – ninawaunga mkono. Mimi ni binadamu pia, kwa hiyo, nimepewa zawadi na nimepokea kwa shukrani, na nawa

FT: Simba 2-1 Stand United Uwanja wa Taifa, Dar

Image
Wachezaji wa timu ya Simba wakipongezana. FT: Mpira umemalizika na Simba wanaibuka na ushindi wa bao 2-1 Dakika ya 90: Mwamuzi wa akiba anaonyesha dakika 2 za nyongeza. Dakika ya 87: Kasi ya mchezo imepungua. Dakika ya 83: Rajab Rashid anaingia kuchukua nafasi ya Aaron Lulambo Upande wa Stand. Dakika ya 80: Simba wanafanya shambulizi kali lakini mabeki wa Stand wanakuwa makini kuokoa Dakika ya 79: Abdi Banda wa Simba anaingia kuchukua nafasi ya Kichuya. Dakika ya 78: Simba wanaonekana kupoteza umakini katika nafasi wanazopata. Dakika ya 74: Mavugo anaachia mkwaju mkali, unamtoka kipa lakini anawahi kuudaka tena. Dakika ya 66: Kichuya anapata nafasi langoni mwa Stand lakini anashindwa kuitumia vizuri. Dakika ya 66: Kichuya anapata nafasi langoni mwa Stand lakini anashindwa kuitumia vizuri. Dakika ya 65: Simba wanafanya mabadiliko, anatoka Luizio, anaingia Pastory Athanas. Dakika ya 61: Stand wanafanya shambulizi kali, kipa wa Simba anafanya kazi nzuri inakuwa kona. Da

Mvua Zabomoa Daraja, Barabara Bukoba

Image
Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Kagera, Daraja la Kemondo lililoko Barabara Kuu ya Bukoba – Mwanza, Bukoba – Dar es Salaam limekatika na kusababisha magari kushindwa kupita. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, magari yote ya abiria na mizigo yanayoenda mikoani yanalazimika kuzunguka hadi eneo la Kyetema kupitia Katerero, Kanazi, Rwagati hadi Kanyinya ndipo yatokeze mbele kidogo ya mji wa Kemondo na kuendelea na safari zake. Mawasiliano yamekuwa ya tabu sana kwa Magari na Wasafiri wanaotumia Barabara Kuu inayounganisha Mji wa Bukoba mkoani Kagera na Maeneo jirani ya Mkoa wa Geita, Mwanza na Shinyang’a, kutokana na barabara hiyo kuu kuharibika vibaya eneo la Kemondo kama picha zinavyoelezea. Hofu ni kwamba, barabara inayotumika sasa ni finyu na magari mengi ni makubwa yanayopita kuelekea nje ya nchi kupitia Mpaka wa Mtukula kwenda Uganda. Mashuhuda pia wameeleza kuwa barabara inayotumika kwa sasa kupitisha magari hayo inako

Mkuu wa Mkoa Mstaafu wa Ruvuma Afariki dunia

Image
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amefariki dunia leo saa nne asubuhi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)  Mdogo wa marehemu, Shaibu Mwambungu amesema kaka yake alifariki dunia leo asubuhi baada ya hali yake kubadilika ghafla akiwa hospitalini hapo. Shaib amesema taratibu za mazishi zitatolewa baadaye ambapo kwa sasa anajiandaa  kusafiri kutoka Songea  kuja jijini Dar es salam kwa ajili ya mazishi. 

Lipumba, Ngwirwa waonekana Ikulu katika Dhifa ya Jacob Zuma

Image
Mwenyekiti wa Chama Cha wanannchi CUF anayetambuliwa na Msajili wa vyama vya siasa nchi Professa  Ibtahi Lipumba na aliyekuwa Mgombea urais kupitia chama cha Act-wazalendo kipekee wakiwa kama wananwakilisha vyama pinzania walioneka kwenye Dhifa ya kumlaki Rais wa Afrika Kusin jacob Zuma. Kwa upekee sana viongozi hao walionekana kwenye Dhifa hiyo iliyoandaliwa na Rais John Magufuli. Viongozi wengeine ni pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Agostino mlema

Job Opportunity at LAPF Pensions Fund, Application Deadline 15 May 2017

Image
Dodoma Mjini Description The Guardian 22/4/2017 The LAPF Pensions Fund is a social security institution affiliated to the President’s Office, Regional Administration and Local Government (RALG). LAPF has its headquarter in Dodoma with zone and liaison offices in Dar es Salaam, Arusha,Mbeya,Morogoro,Geita, Mwanza, Iringa, Mtwara, Rukwa, Kahama, Tanga and Kigoma. LAPF activities have been steadily increasing in the recent past and in response to that, the Fund is seeking to recruit dynamic, committed, honest, qualified individuals who are highly motivated, entrepreneurial – minded and result driven professionals with proven good track record. The available position together with its specific requirements are as follows: Job purpose Reports to the Director of Planning and Investments. The Planning and Investment Manager will be responsible for supervising Planning and Investments staff and assisting director of planning and Investment in discharging planning and Inv

Job Opportunities at Tanzania Posts Corporation (TPC), Application Deadline 15 May 2017

Image
Description Tanzania Posts Corporation (TPC)  is a national designated public postal 1 operator established by Act of Parliament No. 19 of 1993 and became operational on_ 1st January, 1994. The Corporation is wholly owned by the Government of the United Republic of Tanzania. The principal function of the Corporation is to provide universal postal and ancillary services within and between places outside the United Republic of Tanzania. The Corporation is looking for suitably qualified Tanzania citizens of high personal integrity to fill the positions of  REGIONAL MANAGER. Objectives: • To ensure that postal services are developed, operated and IV maintained according to policy objectives and mission of the Corporation of providing efficient, reliable, secure and affordable services that meet the needs and expectations of the customers in the region.. • To ensure that Postal services are operated on commercial principles and meet performance standards

NAFASI ZA KAZI UBALOZI WA MAREKANI , MAY 2017

Image
Property Management Unit Supervisor (Closes May 19, 2017) VACANCY ANNOUNCEMENT NUMBER: 17/118 OPEN TO:      All Interested Applicants/ All sources POSITION:      Property Management Unit Supervisor OPENING DATE: May 10, 2017 CLOSING DATE: May 19, 2017 WORK HOURS:   Full-time; 40 hours/week SALARY: Ordinarily Resident (OR):  FSN- 9; (Step 1- TZS 36,733,555 through Step 13- 55,100,335 per annum) Not-Ordinarily Resident (NOR): FP- 5(steps 1 through 4)* *Final grade/step for NORs will be determined by Washington. The “Open To” category listed above refers to candidates who are eligible to apply for this position.  The “Open To” category should not be confused with a “hiring preference” which is explained later in this vacancy announcement. ALL ORDINARILY RESIDENT (OR) APPLICANTS (See Appendix A for definition) MUST HAVE THE REQUIRED WORK AND/OR RESIDENCY PERMITS TO BE ELIGIBLE FOR CONSIDERATION. The US Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qual

6 Job Opportunities at CVPeople Africa, Graduate Sales And Marketing Executives

Image
GRADUATE SALES & MARKETING EXECUTIVES x 6 Manufacturing, Dar es Salaam, Tanzania Our client in is looking for recent graduates with aggressive selling attitude. The ideal candidate will be responsible for coordination and delivery of client solutions within the agreed time lines and standards while meeting or exceeding client expectations, acting as a liaison between the company and its customers. The candidates will be trained and couched on employability skills and the successful candidates will get full employment.   Job Description Identifying new business opportunities with the existing and new clients Negotiating and closing contracts and delivering customer value. Ensuring sales orders flow through and appropriate actions are taken Actively participate in product development in liaison with both clients and the operations Team Timely and accurate preparation and submission of reports to stakeholders. Liaise and attend meetings with other company fun

Tatizo la Kuvimba Miguu Wakati wa Ujauzito

Image
KWA kawaida katika kipindi cha miezi mitatu ya mwisho ya ujauzito hali ya mama mjamzito miguu yake kujaa au kuvimba huonekana ni kawaida lakini ni mara chache aina hii ya kujaa hutokea usoni na mikononi endapo itatokea huko basi ni vyema kuchunguza matatizo mengine zaidi kama tutakayoyaona.   CHANZO CHA TATIZO Vyanzo vya tatizo hili vimegawanyika katika sehemu kuu mbili; kwanza ni hali ya utendaji kazi mwilini ambayo ni kawaida. Hii ni matokeo ya mabadiliko katika mfano wa homoni mwilini ambapo husababisha madini ya sodium kubaki mwilini badala ya kutolewa kwenye mkojo. Uvimbe huu wa miguu husababishwa na kizazi chenye mimba kugandamiza mshipa mkubwa wa vena unaochukuwa damu toka sehemu za chini za mwili kupeleka kwenye moyo. Mshipa huu unaitwa inferior vena cava. Mgandamizo huu wa inferior vena cava hutokae endapo mwanamke atalalia mgongo. Kingine ni kuziba kwa mishipa ya damu ya kwenye nyonga iitwayo femoral veins. Chanzo cha pili cha kuvimba miguu kinaitwa pat

Unachezea Bahati Wenzako Wanaitamani

Image
HAKUNA siku ambayo huwa nafurahi ndani ya moyo wangu kama inapofika leo! Unajua kwa nini? Kwa sababu napata nafasi ya kubadilishana mawazo na wewe msomaji wangu wa kona hii! Ni matumaini yangu kama uko poa, karibu kwenye uwanja huu mzuri. Ipo kasumba inayozidi kushika kasi mitaani, kwamba ukiona mtu anakupenda, lazima umletee maringo au lazima umfanye alihangaikie sana penzi lako. Mara kadhaa sasa nimeshapokea malalamiko kutoka kwa watu mbalimbali, wengine wapo katika uhusiano rasmi wa ndoa kabisa, wengine wapo kwenye uchumba na wengine wapo kwenye uhusiano wa kawaida. Malalamiko yao ni kwamba, wenzi wao wanawatesa, wanawanyanyasa, wanawavunja mioyo yao eti kwa sababu tu wamewaonesha kwamba wanawapenda sana na maisha yao hayawezi kuwa na maana wakiwapoteza. Nimeshawahi kusema na naendelea kusema kwamba mapenzi yanatakiwa kuwa ya pande mbili, kwa kizungu wanasema ‘two ways traffic’! yaani usiishie tu kubweteka na kujisifu kwa sababu mwenzi wako anakupenda. Ma

MAGAZETI YA LEO IJUMAA TAREHE 12.05.2017

Image

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI.

Image

TAZAMA MASTAA MBALIMBALI BONGO WALIVYOVAA NGUO ZA KIZAMANI KWENYE BIRTHDAY YA MENEJA WA DIAMOND PLATINUMS

Image
F