AISHA MADINDA AMEUAWA, MWANAE ASIMULIA MAMBO MAZITO
Stori:waandishi wetu MENGINE yameibuka! Kifo cha aliyekuwa mnenguaji wa Bendi ya The African Stars āTwanga Pepetaā, Mwanaisha Mohamed Mbegu āAisha Madindaā kimeibua mengine ambapo baadhi ya watu wa karibu wanaamini kimetokana na kudungwa sindano tano za majimaji yenye madawa ya kulevya, āungaā na rafiki yake, Ijumaa āKubwaā linakupa zaidi. Marehemu Mwanaisha Mohamed Mbegu āAisha Madindaāenzi za uhai wake. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, Aisha alidungwa kwa makusudi sindano hizo na rafiki yakeā¦ Stori:waandishi wetu MENGINE yameibuka! Kifo cha aliyekuwa mnenguaji wa Bendi ya The African Stars āTwanga Pepetaā, Mwanaisha Mohamed Mbegu āAisha Madindaā kimeibua mengine ambapo baadhi ya watu wa karibu wanaamini kimetokana na kudungwa sindano tano za majimaji yenye madawa ya kulevya, āungaā na rafiki yake, Ijumaa āKubwaā linakupa zaidi. Marehemu Mwanaisha Mohamed Mbegu āAisha Madindaāenzi za uhai wake. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, Aisha alidungwa kwa makusudi ...