Posts

Showing posts from March 9, 2014

HII STORI YA MAISHA YA MWIGIZAJI MASANJA INAWEZA KUKUTOA MACHOZI

Image
Masanja Mkandamizaji si jina geni masikioni mwa watu wengi  kutokana na uwezo wake wa kuwavunja mbavu watazamaji pale anapoonekana katika runinga na Kundi la Original Comedy. Licha ya kufika hapo alipo sasa, anakiri wazi kuwa amepitia katika maisha magumu hususani wakati alipoamua kuanza maisha binafsi ya kujitegemea baada ya kutoka nyumbani kwa dada yake alipokuwa akiishi. Anasema kabla ya kuondoka kwa dada yake alimuomba amtafutie chumba ili ajitegemea na kuanza maisha binafsi kama kijana . Nilimwambia dada anitafutie chumba na alifanya hivyo ingawa alikuwa anahofia kama nitaweza ,basi nikapata 'geto' langu maeneo ya Tabata Aroma na nilitakiwa kulipa kodi ya TSh. 5,000 kwa mwezi, anasema Masanja. Anakiri wazi kuwa changamoto katika maisha ndizo zilizochangia kumfikisha mahali alipo sasa kwani licha ya kuwa katika hali ngumu Hakukata tamaa bali alizidi kujituma kwa nguvu zake zote. Anasema kuna wakati ilikuwa vigumu kuipata hata hiyo hela ya kodi kwahiy

DAYNA AWASHANGAA WASANII WANAOGOPA KUTONGOZWA...!SOMA ZAIDI HAPA...

Image
MKALI wa wimbo wa Mafungu ya Nyanya, Mwanaisha Said ‘Dyana’ amewataka wasanii wa kike chipukizi kuacha kuogopa kutongozwa kwani uamuzi unabaki kuwa kwao.   “Namshukuru Mungu mpaka hapa nilipofikia. Vikwazo ni vingi hususan kwa waimbaji wa kike lakini nawashangaa wale ambao wanakata tamaa ya kuendelea kuimba kisa kutongozwa. Wasiogope,” alisema Dayna ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wa Mimi na Wewe

ANGALIA PICHA ZA MWENYEKITI WA CHADEMA ALIYECHOMWA KISU MKOANI IRINGA

Image
Daktari akiwa amezamisha kidole chake kwenye jeraha la Ndugu Richard wakati alipokuwa akimsafisha kidonda baada ya tukio hilo.   Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kalenga, kwa taarifa zisizo rasmi zinasema wamchoma kisu cha Mbavu Ndugu Richard ambaye ni M/Kiti wa Tawi la CHADEMA la Kijiji cha Tagamenda   Ndugu Richard ambaye ni M/Kiti wa Tawi la CHADEMA la Kijiji cha Tagamenda akiwa amelazwa baada ya kushonwa   Ndugu Richard ambaye ni M/Kiti wa Tawi la CHADEMA la Kijiji cha Tagamenda Akionyesha jeraha lake maeneo ya kifuani.

DAWA YA MALARIA YA METAKELFIN YAMGEUZA KIJANA WA KIUME KUWA ALBINO MKOANI TABORA.

Image
AMA kweli hujafa, hujaumbika. Usemi huu una maana kubwa kwa kijana Hafidh Masokola, mkazi wa eneo la National Housing mkoani  Tabora  ambaye kwa miaka zaidi ya 40 alikuwa na ngozi isiyo na chembe ya tatizo, lakini sasa amegeuka albino.  Kwa mujibu wa Masokola, ambaye sasa ana umri wa miaka 47, alipata tatizo hilo kutokana na madhara ya dawa ya malaria aliyoimeza aina ya Metakelfin miaka minne iliyopita.  Na kutokana na tatizo hilo la kiafya lililobadilisha kabisa ngozi yake, amelazimika kujiunga na Chama cha Maalbino Tanzania. Masokola, mwenye mke na watoto watatu, anasema alipata uthibitisho wa kuathiriwa na aina hiyo ya dawa baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara katika hospitali kadhaa, ikiwemo ya KCMC iliyopo Moshi, mkoani Kilimanjaro.  Katika mazungumzo na gazeti hili hivi karibuni, kijana huyo alisema aina hiyo ya dawa ilimponza kwa kunywa vidonge vitatu tu katika dozi yake ya kwanza mnamo Julai mwaka 2010. Akisimulia zaidi, alisema; “Baada ya kupima malar

ZIFAHAMU FAIDA NA HASARA ZA STYLE HIZI 6 ZA KIUFUNDI KABLA YA KUFANYA TENDO LA NDOANA MWEZI WAKO

Image
  TUKUMBUSHANE:   JIFUNZE SEX STYLES ZA KUPEANA RAHA NA UTAMU ZAIDI NA MWEZI KUBORESHA PENZI.                                                                                                                1.FLATIRON FLATIRON Jinsi Ya Kujipanga Mwanamke alale kitandani uso ukiangalia chini makalio yaangalie juu, asisahau kubinua nyonga/makalio juu kidogo(kama mvivu kidogo aweke mto(pillow) chini ya kinena),kujibinua kwake kutaongeza raha na utamu zaidi Faida Za Hii Style Mwanamke anapata nafasi ya kuenjoy Raha na Utamu akiwa amerelax,na kwakuwa miili inakuwa imebanana sana,mashine ya mwanaume itaonekana kubwa kidogo Maujanja Ya Ziada Mwanaume awe anapump taratibu kwa juu sio lazima sana aingie deep,akumbuke kuhema vizuri asije akachoka haraka   FLATIRON How ?. You lie face down on the bed, legs straight, hips slightly raised. Benefit This position creates a snug fit. Your guy’s stuff will seem even larger. Bonus Some shallow thrusts and deep breathing will

Mrembo huyu wa Kenya (Victoria) aamua Kuanika Mwili wake akichorwa Henna

Image
Victoria Kimani ameamua kujipamba na urembo wa Pwani kwa kujichora na tattoo za Henna.  Na muimbaji huyo mrembo wa Kenya aliyetua Dar es Salaam wiki hii kung’arisha uzinduzi wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, ameamua kuyaonjesha macho ya followers wake wa Instagram jinsi urembo huo ulivyomtoa chicha, mashalaah.. Safisha macho kwa uumbaji huu wa Mola.. Victoria na Henna za mgongoni Henna mapajani.. upo hapo? Wakati huo huo, Ki-Money ameendelea kufanya interview kwenye vituo mbalimbali vya radio nchini. Jana alihojiwa Clouds TV, kwenye XXL ya Clouds FM na Choice na leo alikuwa Times FM. Queen Vee akiwa na watangazaji wa Clouds FM, B-Dozen, Adam Mchomvu na DJ Fetty Victoria akiwa na watangazaji wa Choice FM, Vanessa Mdee na Mandingo

LAANA HII!!! PICHA 10 ZA UTUPU ZA BINTI ZANASWA KWENYE SIMU YA MUME WA MTU...AIBU TUPU NI DENTI WA UDSM...TAZAMA HAPA

Image
zulekha nassir katika pozi akiwa saluni kijitochama Hili ni tukio la aina yake la huyu dada jina kamili anaitwa ZULEKHA NASSIR Lakini facebook anatumia jina la khayrat baibe (KUPITIA FACEBOOK)  Aayeishi DAR kwa sasa lakini ni mtu wa asili kutoka TANGA  Ni msomi ambaye alisoma korogwe girls high school na chuo amesoma UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM biashara!!!   Dada huyu ZULEKHA NASSIR ana tabia chafu, mbaya ya kuulaaniwa ya kuchukua waume za watu na kuwatumia picha za utupu kupitia simu ya mkononi....(mtumizi mabaya ya mtandao haya) Hii ni tabia chafu ambayo haivumiliki.... na Mtandao huu wa paparazi umeamua kuvujisha picha hizo hadharani ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hii ya ZULEKHA NASSIR na wakome wakomae.... Kwa ushahidi zaidi ingia kwenye account yake ya facebook hapa chini ambayo anatumia nick name ya khayrat baibe ... kwa kubofya hapo chini KWA SASA AME DEACTVATE ACCOUNT YA FB AMBAYO ILIKUA KAMA ILIVYO HAPO CHINI...U

AIBUUU WANASWA WAKIBANJUA ILE AMRI YA SITA KWENYE GARI KWEUPEEE...WAKUBWA TU KUCHEKI PICHA HIZI

Image
Mwanamme huyu alikamwata na mke wake wa ndoa akiwafanya uchafu huo ndani ya gari na mfanyakazi wake wa ndani