Posts

Showing posts from March 22, 2014

LIGI KUU ENGLAND : ARSENAL WACHAPWA 6

Image
Chelsea 6-0 Arsenal:  Thumping: Chelsea ran riot over a hapless Arsenal in the first-half at Stamford Bridge +39 Contrast: Chelsea players celebrate their sixth goal scored by Mohamed Salah +39 Early lead: Samuel Eto'o celebrates scoring the opening goal after just five minutes at Stamford Bridge +39 Hammer blow: Schurrle strikes from just inside the area to put Chelsea 2-0 up early on +39 Milestone: Arsene Wenger celebrated his 1,000th game in charge with a disastrous defeat +39 Admission: Oxlade-Chamberlain even approached Marriner to tell him it was he who handled the ball +39 Why me? Gibbs looks frustrated as he departs the pitch after being sent off +39 Dejected: Arsenal gave themselves a mountain to climb after going 2-0 down inside seven minutes +39 Rampant: Oscar (left) celebrates with team-mates after scoring the fourth Match

YANGA YAITUNGUA RHINO 3-0 TABORA, MBEYA CITY YAWAANGAMIZA JKT RUVU 2-0 CHAMAZI!!

Image
Na Baraka  LIGI kuu soka Tanzania bara imeendelea leo  kwa mitanange miwili ya vuta nikuvute iliyopigwa katika miji miwili tofauti hapa nchini. Mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Young African walialikwa na maafande wa JWTZ, Rhino Rangers kwenye uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini Tabora. Mbeya City walikuwa wageni wa JKT Ruvu wanaonolewa na kocha Fredy Ferlix Minziro, katika uwanja wa Azam Complex, uliopo Chamazi, nje kidogo ya jiji la  Dar es salaam. Yanga waliuanza mchezo wa leo kwa lengo moja la kuibuka na ushindi ili kuwasogelea Azam fc kileleni. Haikuwa rahisi kwao kuwafunga Rhino kwa dakika 28 za kwanza, lakini dakika ya 29, mshambuliaji aliyekalia benchi kwa muda mrefu, Jeryson Tegete aliandika bao la kuongoza. Baada ya bao hilo, Yanga waliendelea kulisakama lango la Rhino ambapo mara kadhaa Tegete alijaribu kuzitafuta nyavu za wapinzani wao, lakini mabeki wa Rhino walikuwa makini. Mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza zinamalizika, Yanga walitoka ki

LAANA BIASHARA YA UKAHABA YASHAMIRI DODOMA:SASA ZAMU YA DODOMA KUTAJA BEI ZA KUFANYA NGONO

Image
“‘Short time’ vipi? Ni Sh.10,000 tu, gharama ya chumba kwangu.” Hivi ndivyo nilivyopokelewa na binti wa miaka 21 katika Mtaa wa Uhindini mkoani Dodoma nilikokwenda saa 4 usiku kufuatilia taarifa za kinadada wanaofanya biashara haramu ya ngono, maarufu kama changudoa.   Uhindini ni mtaa maarufu mkoani Dodoma kwa biashara ya ngono, ikifuatiwa na maeneo mengine kama Chako ni Chako, Mwanga Bar na zaidi, katika kumbi za starehe kama Club 84 na Maisha. Wakati nazungumza na binti huyo mfupi na maji ya kunde, kinadada wengine kadhaa, walikuwa wakitufuatilia kwa karibu kuona kama tumekubaliana au tumeshindwana bei ili na wao wataje gharama zao.   “Sh.8,000 huduma ya chapchap (short time) chumbani, Sh.5000 hapa hapa na Sh.70,000 saa 5:00 (usiku) mpaka asubuhi,” walijinadi wengine wakijaribu kile wanachokiita bahati yao.   Hata hivyo, baada ya kugundua kuwa sikuwa na lengo la kufanya nao biashara, wote walirudi nyuma kusubiri wateja wengine. Ndipo n

TAZAMA VIDEO HII.....HUJAFA HUJAUMBIKA! HANA MIKONO WALA MIGUU ILA HUMUDU KAZI ZAKE

HATA KAMA YUKO MBALI, UNAWEZA KUWA KARIBU NAYE!

Image
UMBALI katika uhusiano, mara nyingi husababisha hofu. Fikra za usaliti hutawala sana kwa wenzi wanaoishi mbali. Lakini vipi, mwenzako asisafiri au asiishi mbali kwa kuhofia hayo wakati kitendo hicho kinasababishwa na jukumu la kikazi? Ndugu zangu, baadhi yetu, kama hatutakuwa makini, umbali huweza kuchochea usaliti. Lakini kuna njia ambazo zikitumika kwa usahihi, husaidia kuliweka penzi hai na kuzidi kuwa na mshawasha mkubwa. Wiki iliyopita nilianza kwa kueleza umuhimu wa mawasiliano, hasa simu, waraka pepe na mitandao ya kijamii. Kuweka utani kwa mwenzako, kusoma ratiba yake na kuishika siku yake sawasawa kunamfanya mwezako asikusahau na wakati fulani ahisi kukukosa. Hebu sasa tuendelee..      ZAWADI Zawadi ni kati ya mambo ambayo humfanya mpenzi wako afurahie uhusiano wake na wewe. Hakuna zawadi za moja kwa moja ambazo ni rasmi kwa ajili ya mwenzi wako, lakini ni vyema ukamtumia zawadi kulingana na mapenzi yake zaidi. Kwakuwa wewe unamfahamu zaidi mwe

SIPATI USINGIZI NIKIWA PEKE YANGU MPAKA NIWE NA MWANAUME WA KUNIKUNA!

Image
Naona Aibu Kusema ila Inanibidi kusema Mimi Mi msichana wa Makamo tu nina tatizo moja ambalo limenianza ukubwana yaani Sipati Usingizi Usiku bila kufanya na Mwanaume yaani imefikia hadi huwa naita vijana majirani zangu nawapa uroda bure tu ili nipate usingizi, tatizo hili limenifanya nionekane malaya nahama mtaa kila siku na sijabahatika kupata boyfriend wa kudumu... Je nifanye nini Niache hii Tabia? Naomba ushauri wako 

Unamkumbuka "SHUMILETA"??Basi hii ndio Biashara haramu anayoifanya siku hizi

Image
Huku kukiwepo na madai ya baadhi ya mastaa wa Bongo kwenda nchi za nje kufanya biashara ya kujiuza, siri imevuja kuwa, staa wa filamu aliyepotea kwenye soko la filamu Bongo, Jennifer Mwaipaja ‘Shumileta’ amedaiwa kumuuza msanii mwenzake wa kike, Lungi Maulanga kwa mwanaume aishie nchini India. Lungi Maulanga. Kwa mujibu wa chanzo makini, mchongo huo ulifanyika kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram baada ya Shumileta anayesaka maisha nchini humo kuona picha ‘sex’ ya Lungi , fasta akamtafutia mteja, raia wa Nigeria (jina kapuni). Baada ya kumegewa mchapo huo, waandishi wetu waliingia mzigoni na kufanikiwa kunasa mawasiliano ya msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga na Shumileta kupitia mtandao wa Instagram.   ‘Charting’ hizo zilionesha ‘live’ kuwa Shumileta amemuomba Lungi amtafutie bwana huyo wa Kinaigeria, akafanikiwa kuwaunganisha na wakaanza kuchati kupitia Mtandao wa WhatsApp ambapo mwanaume huyo alimuahidi Lungi mambo makubwa ikiwa n

MREMBO ATUPIA PICHA ZA UTUPU MTANDAONI .... LAZIMA MAMBO YAINUKE UKIZIONA

Image

TANGU NIOLEWE NINA MIAKA MINNE ILA SIJAWAHI FIKISHWA KILELENI NA MME WANGU

Image
Mimi ni  msichana wa miaka 27, nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli….yaani nikikutana nae…aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa….na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime…..! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa. Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi…da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa….wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mimi mwanamke huwa nahitaji…nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya: 1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamali

LAAANA:: TAZAMA PICHA ZA KIJANA REGAN KUTOKA FACEBOOK AKIJINADI KUWA NI SHOGA

Image
  SHOGA AZUA UTATA FB Awasumbua baadhi ya washikaji wengi akiwataka kufanya nao kwich kwich wengi awa2mia picha zake za utupu jina la shoga mwenyewe hili hapaaa Mchacho Regan  ANGALIA PICHA ZAIDI

AIBU SINZA DAR...MKE ABAMBWA LIVE GUEST AKIBANJUKA NA RAFIKI WA MUMEWE...PICHAZ+STORI NZIMA HAPA...!

Image
AMA kweli mchepuko ni balaa! Jamaa aliyefahamika kwa jina moja la Peter amekiona cha moto baada ya kufanya mchepuko na mke wa rafiki yake bila kufahamu kuwa kufanya h i vyo ni hatari kwa maisha yake, Risasi Jumamosi lina kisa na mkasa. Mfumaniwa akivaa kwa aibu saaana mara baada ya fumanizi hilo.  Kama kawaida, hivi karibuni, Mkuu wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, akiwa chumba cha habari, alipokea simu kutoka kwa ‘kaka mkubwa’ mmoja al i yeomba hifadhi ya jina na kueleza kuwa alimtilia shaka mke wa kaka yake na yupo njiani na bodaboda akimfuatilia. Shemeji mtu alidadavua kuwa amekuwa akimtilia shaka shemeji yake huyo kutokana na kawa i da yake kutoka nyumbani pale mumewe anapokwenda kazini. Kijana Peter akiwa na mke wa mtu. W awili hao walifumaniwa katika gesti moja iliyopo Sinza-Mori, Dar, maeneo ya Meeda Club.  “Mkuu kaka akitoka tu kwenda kazini naye amekuwa na kawaida ya kuchomoka ‘homu’, nahisi kuna harufu ya usaliti. Nimejaribu kumw

MH370's disappearance was 'crew-related and well planned': Expert says location of 'debris' suggests pilot intervention as search for ghost plane resumes in 10,000ft of water

Image
Two pieces of wreckage that are possibly from the missing Malaysian Airlines Flight 370 - one estimated to be 78ft in size - have been found to the west of Australia, it was announced today.  Pictured: Satellite pictures released by the Australian Maritime Safety Authority of the object thought to be related to the search for MH370 Australian Maritime Safety Authority Emergency Response Division General Manager John Young describes to media the satellite imagery of two objects possibly related to the search for Malaysian Airlines flight MH370 +16 Aviation expert Neil Hansford says he's confident that, whether it's an act of terrorism or activism, the disappearance of MH370 was well planned  The exhaustive search operation for the MH370 has resumed this morning in much clearer weather, with air teams joined by both military and commercial ships as officials scramble to cover the 600,000 square-kilometre search area. Australia is leading a n