Posts

Showing posts from November 12, 2013

ANGALIA PICHA ZA AJALI MBAYA KATIKA MSAFARA WA RAIS KIKWETE HUKO GEITA NA ILIYOJERUHI WATU 5

Image
Msafara wa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk JakayaKikwete mkoani Geita, leo umeingia dosari baada ya gari moja lilokuwa kwenye msafara huo kupinduka na kujeruhi watu watno. Gari la Bohari ya Dawa (MSD) lililopata ajali likiwa na meneja wa MSD Kanda pamoja na waandishi wa habari.Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani Geita Lenard Paul ajali hiyo imetokea leo saa 3 na dakika 45  asubuhi katika eneo la Nyankumbu kilomita 3 kutoka makao makuu ya mkoa wa geita. Kamanda Paulo amesema gari hilo namba DFP.9730 aina ya Toyota Landcruzer lililokuwa likiendeshwa Yungi Mkwati, mali ya Bohari kuu ya Madawa (MSD), lilipinduka baada ya kuteleza kwenye lami iliyomwagwa barabarani hii leo. Amewataja Waliojeruhiwa katika ajali hiyo kuwa ni mwandishi Peter Makunga wa Radio Kahama Fm na Radio Free Afrika, Peter Fabian wa Gazeti la Rai, Frederick Katulanda Moderator wa Tovuti ya mabadiliko.com, meneja wa MSD kanda ya Ziwa Byekwaso Tabura pamoja na dreva wa gari hilo Yungi

I just wanted a quick drink... not a bite! Young elephant gets a nasty surprise when a crocodile grabs his trunk at a water hole

Image
The young elephant doesn't appear to see the waiting crocodile as he ambles over to the peaceful watering hole in the South Luangwa National park in Zambia This young elephant got more than he bargained for when he ambled up to a water hole to slake his thirst. Just moments after dipping his trunk in the water, it was grabbed by a hungry crocodile. But luckily for the elephant, the croc had bitten off considerably more than he could chew – and the astonished bull elephant was able to whip his trunk out of the reptile’s jaws with no more than a few cuts to remember the encounter by. The remarkable scene was captured by amateur wildlife photographer Ian Salisbury, 62, at the South Luangwa National park in Zambia. Mr Salisbury, general manager of a safari lodge, said: ‘One of our guests had seen a crocodile try a similar attack on another elephant earlier in the day so, camera in hand, I went to see if there might be a repeat performance. ‘The ac

U.S. remains determined Iran will not acquire nuclear weapon

Image
U.S. Secretary of State John Kerry at the end of the Iranian nuclear talks in Geneva.  U.S. Secretary of State John Kerry said Sunday that the United States is determined to ensure that Iran does not acquire a nuclear weapon following talks in Geneva that failed to reach an agreement on Tehran’s nuclear program. “We came to Geneva determined to make certain that Iran does not acquire a nuclear weapon. That remains our goal,” Kerry was quoted as saying by Agence France-Presse, after three days of intensive negotiations between world powers and Iran. While no deal was reached, Kerry insisted negotiators had “made significant progress,” in Geneva. “There's no question in my mind that we are closer now (to a deal) as we leave Geneva,” he said, according to AFP. Kerry’s comment came after EU diplomatic chief Catherine Ashton said the talks would reconvene on Nov. 20. Iranian

ZIARA YA RAIS KIKWETE WILAYANI MBOGWE, BARABARA YAPANDISHWA DARAJA

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa barabara ya Bwanga – Uyovu yenye urefu wakilometa 45 inayojengwa kwa kiwango cha lami mkoani Geita. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (aliyeshika mkasi) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Bwanga – Uyovu yenye urefu wa kilometa 45 inayojengwa kwa kiwango cha lami mkoani Geita. Kulia kwa Rais ni Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na kushoto kwa Rais ni Mbunge wa Bukombe Mhe. Kulikoyela Kahigi kutoka CHADEMA. Wengine ni baadhi ya Mawaziri na Viongozi wa Kitaifa na kutoka mkoa wa Geita waliokuwepo katika sherehe hizo. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Kiongozi wa Kikundi cha Mchelemchele kilichotumbuiza wakati wa sherehe za uzinduzi wa

Ziara ya Rais Geita: Afisa Usalama feki anaswa akimsogelea Kikwete

Image
 Katika hali ambayo inazidisha mashaka juu ya Usalama wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Mtu mmoja ambaye hajatambulika nia yake, amefanikiwa kujipenyeza katika msafara wa Rais na kujifanya miongoni mwa walinzi wa msafara.  Mtu huyo ambaye baada ya kunaswa amekutwa na vitambulisho bandia, alifanikiwa kujipenyeza katika mkutano wa kwanza wa ziara ya Rais wilayani Bukombe mkoani Geita, ambapo kulikuwa na sherehe za uzinduzi wa barabara ya Lami ya Bwanga hadi Uyovu Lunzewe yenye urefu wa km 45 ambayo ujenzi wake ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete siku hiyo Novemba 9 mwaka huu. Akiwa kama afisa usalama alikuwa akizuia baadhi ya watu kufika maeneo maalum yaliyoandaliwa mahususi kwa ulinzi, lakini pia alikuwa akipitapita kukagua baadhi wa watu wakiwamo na waandishi wa habari huku akiwapanga namna ya kukaa vyema kabla msafara wa Rais kuwasili eneo la tukio. Katika

DCI ROBERT MANUMBA AMESTAAFU KWA MUJIBU WA SHERIA

Image
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI DAR ES SALAAM NOVEMBER 11, 2013.     Jeshi la Polisi nchini linapenda kuutaarifu umma kwamba aliyekuwa    Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) Robert Manumba amefikia umri wa kustaafu kisheria    ambao ni miaka sitini (60) katika utendani wake wa kazi. Aidha, katika utumishi wake ndani ya Jeshi la Polisi amefanya kazi katika nyadhifa mbalimbali zikiwemo Chumba cha kupokea mashtaka kuanzia mwaka (1976 – 1977), mwendesha mashtaka wilaya ya Kibondo na Kasulu mkoani Kigoma, 1977 – 1984), Mkufunzi katika chuo cha polisi Dar es salaam, (1984 – 1987), Mkuu wa Upelelezi wilaya ya Magomeni na Kinondoni na Naibu Mkuu wa upelelezi wa mkoa wa Dar es salaam     (1987 – 1993), Pia, amewahi kuwa Mkuu wa upelelezi wa mkoa wa Arusha, ( 1993 – 1995),    Mkufunzi mkuu wa Chuo Cha Polisi Moshi ( 1995 – 1996), Mkuu wa kitengo cha Fraud makao makuu ya upelelezi, (1996 – 1997), Mkuu wa kitengo cha usalama wa nchi, intelijensi

COLETHA wa bongo movie apiga picha ya uchi na kuitupia mtandaoni.

Image
Picha  za  uchi  zimeendelea  kuwa  fasheni  kwa  wasanii wa  kike  Tanzania  ambao  wengi  wao  wanaamini  kuwa  bila  kujianika  uchi  hawawezi  kuuza  filamu  zao... Huyu  ni  Coletha Raymond  'Koleta' , mrembo  niliyedhani  anajiheshimu  kumbe  naye  chenga  tupu.... Hii  ni  picha  ya  kiuno  chake  kilichopambwa  shanga  za  kila  rangi  ambayo  imevujishwa  na  yeye  mwenyewe.....Nadhani  hiki  kiuno  kipo  sokoni  kinauzwa.....   Una  maoni  gani?  Tupia  maoni  yako  hapo  chini.