Posts

Showing posts from August 22, 2015

Wanachama zaidi ya 500 wa CHADEMA wahamia ACT...Kadi Zachomwa Moto Laivu

Image
Zaidi ya wanachama 500 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiwemo viongozi wa kata mbalimbali katika wilaya ya Ludewa mkoani Njombe, wamekihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Zaidi ya wanachama 500 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiwemo viongozi wa kata mbalimbali katika wilaya ya Ludewa mkoani Njombe, wamekihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Wanachama hao wamefikia maamuzi ya kukihama chama hicho huku wakiwalalamikia viongozi wao wa CHADEMA wilaya na taifa kumkata mgombea wao wa ubunge jimbo la Ludewa waliyemuhitaji Bwana Okol Haule na kumuweka mgombea wanayemuhitaji wao bwana Bathoromeo Mkinga. Mamia ya wanachama hawa kutoka wilaya ya Ludewa, wamefanya maandamano ya amani kutoka mtaa wa Kilimahewa hadi katika ofisi za chama hicho zilizopo mjini Ludewa wakiwa na mabango ya aina mbalimbali yakilaani viongozi wa CHADEMA wilaya na taifa kumkata Okol Haule aliyeshinda katika kura za maoni kug

ASKOFU ABAKA MWANAFUNZI HUKO SHINYANGA...HIKI NDICHO KILICHOMKUTA!

Image
Askofu wa Kanisa la Tanzania Field Evangelism (TFE) la mkoani Shinyanga, Edson Simon. Mashaka Baltazar, MwanzaDunia imekwisha na kama mti mbichi unatenda haya itakuwaje kwa mti mkavu? Askofu wa Kanisa la Tanzania Field Evangelism (TFE) la mkoani Shinyanga, Edson Simon, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji wa mwanafunzi katika kesi iliyokuwa ikimkabili.  Askofu Simon alihukumiwa kifungo hicho Agosti 14, mwaka huu na Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana mkoani hapa, Martha Mpanze baada ya kujiridhisha na ushahidi wa upande wa mashitaka.  Habari zilizopatikana mahakamani hapo zilieleza kuwa, hukumu hiyo ilisomwa na Abesizya Kalegeya kwa niaba ya Hakimu Mpaze aliyeisikiliza kesi hiyo na kuandaa hukumu hiyo.  Akisoma hukumu hiyo, Kalegeya aliiambia mahakama hiyo kuwa, kulingana na ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka, ulithibitisha mshitakiwa alitenda kosa hilo, kinyume na kifungu cha 130, kifungu kidogo (1) na

ASSISTANT MANAGER FINANCIAL PLANNING & ANALYTICS JOB AT TIGO TANZANIA

Image
Providing reporting support to the Business units/Departmental team as well as managing the Financial Planning & Analytics (FP & A) reporting requirements. Key Responsibilities • Drive the budgeting and planning process as well as financial analysis of the commercial team, with key emphasis on subscriber and revenue generating products. • Develop the short and long term forecast (Quarterly) including the preparation and accumulation of appropriate documentation supporting key assumptions and financial information • Analyze key business drivers and revenues, used to develop the detailed budget and short/long term forecast with emphasis on zonal and corporate structure. • Partner with senior management to establish business units and zonal-level budgets. • Preparation of internal reporting of monthly financial data and key business metrics by zones • Preparation of internal reporting of monthly financial data and key business metrics by busin

BREAKING NEWS: WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRECK SUMAYE AONDOKA CCM NA KUJIUNGA NA CHADEMA

Image
  Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo mchana.  Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye (kulia), akipeana mkono na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe Dar es Salaam leo mchana, baada ya kujiunga na chama hicho. Anayeshuhudia katikati ni Mgombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.  Sumaye akisisitiza jambo Sumaye (wa tatu kulia), akiwa na viongozi wanaunda Umoja wa Katiba (UKAWA) baada ya kuondoka CCM na kujiunga na Chadema. (Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com-simu namba-0712-727062)

Hali tete Bunda, viongozi Chadema wajiuzulu

Image
Esther Bulaya akiwa na wanachama wa Chadema. SIKU chache baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Esther Bulaya kuteuliwa na chama hicho na kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo, hali ndani ya chama hicho wilayani  Bunda imekuwa tete. Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa aliyekuwa mpinzani wa Bulaya katika kura za maoni ndani ya chama hicho, Pius Masururi, kujitoa katika chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tayari Masururi ametangaza kumuunga mkono Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira katika mbio za ubunge huku viongozi 11 wa Chadema katika jimbo hilo wakisimamishwa uongozi. Inaelezwa kuwa sababu ya kusimamishwa kwa viongozi hao kunatokana na kile kilichodaiwa kuwa kusimamisha wagombea mamluki katika nafasi ya ubunge na udiwani. Akizungumza jana mjini hapa kupitia Redio ya Kijamii ya Mazingira FM,  Masururi alitangaza kujiunga na CCM jana muda mfupi kabla ya kuondoka na kureje

DIAMOND PLATNUMZ NOMA SANA...AMDAKA NEYO NAIROBI NA KUFANYA NAYE COLLABO MOJA MATATA SANA

Image
Huwa nawashangaa sana wanao semega eti Diamond ni freemanson wakati juhudi zake za kupita kiasi zinaonekana ..Unaambiwa Neyo amekuja kufanya Coke Studio na Kiba ila Diamond hapo hapo akachukua fursa bila kupoteza muda na kumburuza NEYO studio kutoa kitu kipya..ANGALIA PICHA HIZO USHAHIDI WAKIWA STUDIO NA SHEDDY CLEVER YULE PRODUCER WA NGOLOLO.. Hahah Natumaini kiba na yeye atakamata fursa...ole wako urudi bongo bila collabo

Wema avunja ndoa

Image
Wema Isaac Sepetu. Waandishi wetu H ALI si shwari kwenye familia ya Kampuni ya Endless Fame Productions kufuatia madai mazito yanayomgusa mkurugenzi wake, Wema Isaac Sepetu akihusishwa na kuvunjika kwa ndoa ya mdogo wa mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ almaarufu kwa jina la Esma Platnumz aliyeolewa na Hamad Manungwa ‘Petit Man’. Mdogo wa mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ almaarufu kwa jina la Esma Platnumz akiwa na mume wake  Hamad Manungwa ‘Petit Man’ siku walipofunga ndoa. MAI NDANI Katika sakata hilo, mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’, Esma na Mtangazaji Nasra Rajesh ‘Lady Naa’ wanadaiwa kuunda kundi lenye lengo la kuwasuta wezi wa waume za watu (Wema aliwekwa kwenye tageti) lililopewa jina la Al-Shabaab. Esma Platnumz akiwa na mume wake  Hamad Manungwa ‘Petit Man’. Wakati mpango huo ukiendelea, Mai anadaiwa alielezea mkasa wa kuvunjika kwa ndoa ya Esma na Petit Man kwenye Instagram huku akimtaj