"Sijawahi vua nguo na kufanya mapenzi na mwanaume yeyote tangu niachane na Diamond"...Jokate Mwegelo
![Image](http://1.bp.blogspot.com/-vqSywn34EdI/Ums94OHOoFI/AAAAAAAAnmc/CW8AB-Ijszk/s1600/1.png)
Mtangazaji wa Channel O mwenye mvuto wa aina yake, Jokate Mwegelo āKidotiā amefunguka kuwa tangu amwagane na mwanamuziki Nasibu Abdul āDiamondā hajawahi kungonoka na mwanaume mwingine. Penzi la Jokate na Diamond lilichanua kwa takriban miezi miwili mwaka jana wakati Kidoti alipomwagana na aliyekuwa mpenzi wake, mcheza kikapu wa Ligi ya NBA ya Marekani, Hasheem Thabit. Alipoulizwa anamudu vipi hisia za matamanio ya kufanya mapenzi, Jokate alisisitiza kuwa kazi pekee ndiyo silaha kubwa ya kumuepusha na vishawishi ingawa anatambua upo umuhimu wa kuwa na mpenzi. āAkitokea mkweli, nipo tayari ingawa hadi sasa hata sijajua nani anaweza kuwa kama alivyokuwa Hasheem, nilimpenda sana,ā alisema.