Hii ni orodha nzima ya washindi wa KTMA 2015: Mtumbuizaji bora wa muziki wa kiume wa mwaka ā Alikiba Mwimbaji bora wa kike Bongo Flava ameshinda ā Vanessa Mdee Msanii bora wa kiume Taarab ā Mzee Yusuph Mwimbaji bora wa kike Taarab ā Isha Mashauz Mwimbaji bora wa kiume bendi ā Jose Mara Wimbo bora wa mwaka wa muziki wa Taarab ā Mapenzi Hayana Dhamana ā Isha Mashauzi Wimbo bora wa mwaka ā Mwana (Alikiba)) Wimbo bora wa Kiswahili bendi ā Walewale (FM Academia) Wimbo bora wa muziki wa R&B ā Sisikii (Jux) Wimbo bora wa Hip Hop ā Kipi Sijasikia (Professor Jay) Wimbo bora wa Reggae & Dance Hall ā Let Them Know (Maua Sama) Rapper bora wa mwaka, bendi ā Ferguson Msanii bora wa Hip Hop ā Joh Makini Wimbo bora wa Afrika Mashariki ā Sura Yako (Sauti Sol) Mtunzi bora wa mwaka, Taarab ā Mzee Yusuph Mtunzi bora wa mw...