Posts

Showing posts from November 20, 2015

Yanayojiri Bungeni Dodoma Muda Huu..Wabunge wa Ukawa Walianzisha na Kutolewa Nje ya Bunge na Spika

Image
Wabunge  wanaounga  umoja  wa  Katiba  Ya  Wananchi, UKAWA  wametolewa  nje  ya  ukumbi  wa bunge  muda  huu  baada  ya  kugoma  kutambua  ujio  wa  Dr Shein bungeni  na  kuanza  kuzomea  huku  wakisema    Maalim Seif....Maalim Seif Spika  wa  bunge,Job Ndugai  aliwataka  wabunge  hao waache kuzomea  na  badala  yake  wakae chini  lakini  wakakaida, hali  iliyomfanya  awaamuru  watoke  nje kwa  hiari  yao  kabla  nguvu  ya  dola  haijatumika  kuwatoa.

Maandalizi ya tendo la ndoa (Foreplay).

Image
Kabla ya hili tunda kuliwa kuna umuhimu wa kuhakikisha linaandaliwa kwa uhakika na wewe unayetaka kulila ili uweze kulifaidi vizuri, si suala na kukurupuka na kulivamia bila maandalizi mazuri na ya kutosha. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanaume na mwanamke linapokuja suala la tendo la ndoa au kufanya mapenzi au sex . Je, maandalizi ya tendo la ndoa (foreplay) ni nini? Ni kitu kinachofanyika kati ya wakati mmetoa nguo zote na kabla ya mwanaume kuingiza uume kwenye uke. Ni kubusiana, kugusana, na kuchezeana hadi mnakuwa mmesisimka vya kutosha kwa ajili ya tendo la ndoa. Ni kuuungana kihisia, kiroho na kimwili kwa muda wa kutosha kabla ya tendo la ndoa Ni msingi na kitu muhimu kwa ajili ya kuhakikisha unapata tendo la ndoa lenye kuridhisha. Ni sanaa ya kuelezea upendo na kukaribishana kwa ajili ya tendo la ndoa. Ni muhimu kwa ajili ya kumwandaa mwanamke kwa ajili ya tendo la ndoa. Ni kumhusisha partner wako vizuri zaidi kupata hisia za upendo na ukaribu kimahaba yeye ku

HUYU NDO GAIDI ALIYE FANYA MASHABULIZI YA NCHINI UFARANSA

Image
Mtuhumiwa namba aliyepanga mashambulizi ya Paris, Abdelhamid Abaaoud ‘Mastermind’ enzi za uhai wake. Abdelhamid Abaaoud akifanya mazoezi ya kulenga shabaha. …Akiwafunga na kuwaburuza kwenye gari mateka aliowaua tayari. Jinsi oparesheni ya kuwasaka watuhumiwa kwenye Kitongoji cha Saint-Denis, Paris yalivyofanyika jana. Mmoja wa watuhumiwa akiwa amepigwa risasi na kuuawa. Polisi na kikosi cha uokoaji wakiwa kazini kwenye oparesheni ya jana. Mtuhumiwa namba mbili wa mashambulizi ya Paris, Hasna Ait Boulahacen “The Cow Girl’. Hasna Ait Boulahacen alivyopishana na askari kwenye lango la nyumba waliyokuwa wakiishambulia askari kuwasaka watuhumiwa. Uvamizi wa askari katika Kitongoji cha Saint Denis, jana. Polisi walivyojipanga kukivamia Kitongoji cha Saint Denis, Paris jana. Watu walivyouawa kwenye shambulio la Ijumaa, Paris, Ufaransa. Paris, Ufaransa MWENDESHA  mashtaka nchini Ufaransa amethibitisha kwamba, mtuhumiwa namba aliyepanga mashambulizi ya Paris, Abdelhamid Abaaoud

BREAKING NEWS..!! MTANGAZAJI MAARUFU NCHINI TANZANIA AFARIKI DUNIA.

Image
Mtangazaji maarufu nchini Tanzania Prince Baina Kamukulu amefariki dunia leo alfajiri. Kamukulu amefariki dunia katika hospitali ya Kigamboni jijini Dar es salaam ambapo taarifa za awali zinadai kuwa alianguka akiwa mazoezini kisha kukimbizwa katika hospitali hiyo jana usiku. Kamukulu aliwahi kuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Afrika Bambataa cha Clouds Fm,pia amewahi kufanya kazi Star Tv na Radio Free Africa. R.I.P Kamukulu. Chanzo- BEN MWANTALA

BREAKING NEWS : SPIKA WA BUNGE MH JOB NDUGAI AWATOA WABUNGE WA UPINZANIA BUNGENI

Image
  Spika wa Bunge la Tanzania Mh Job Ndugai aweamuru Wabunge ukawa Kutoka Nje ya Bunge,Hali hiyo Imetokana na Wabunge hao Kupiga kelele Kipindi Viongozi wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Pamoja Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Wakiingia Bungeni

SHEREHE ZA KUAPISHWA WAZIRI MKUU WA AWAMU YA TANO VIWANJA VYA IKULU NDOGO CHAMWINO MJINI DODOMA

Image
Rais Dkt. John Pombe Magufuli, akimwapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, kuwa Waziri Mkuu wa awamu ya tano, wakati wa sherehe hizo zilizofanyika leo Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Ikulu ndogo Chamwino mjini Dodoma. Rais Dkt. John Pombe Magufuli, akimkabidhi nyaraka za Serikali baada ya kumwapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, kuwa Waziri Mkuu wa awamu ya tano, wakati wa sherehe hizo zilizofanyika leo Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Ikulu ndogo Chamwino mjini Dodoma. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimpongeza Waziri Mkuu mpya wa awamu ya Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa baada ya kuapishwa rasmi leo kwenye Viwanja vya Ikulu ndogo Chamwino mjini Dodoma, leo Nov 20, 2015. Rais Dkt. John Magufuli (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wake, Mhe. Samia Suluhu Hassan (kushoto) na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, baada ya kuapishwa Waziri huyo Mkuu kwenye Viwanja vya Ikulu Ndogo Chamwino mjin

BREAKING NEWS : UKAWA WACHAFUA HALI YA HEWA BUNGENI KISA RAIS WA ZANZIBAR

Image
Wabunge wa Upinzani katika Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Watanzania Wanazomea Bungeni mara baada ya Kutangazwa Kuingia kwa Rais wa Zanzibar Mh Dk Ali Mohamed Shein.Wanachopinga wabunge hao wanadai hawamtambui Dk Shein Kama Rais Halali wa Za nzibar.Hali hiyo ilianza pale Naibu spika alipom ui ta Mwanasheria Mkuu wa Seri kali  Kutengua Kanuni ili Viongozi wa Serikali ya Mapin duzi ya Zanzibar wameze Kuongozana  na R ais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Magufuli wakati atakapokuja Kulihutubia Bunge na Kulizindua Rasmi ,