Posts

Showing posts from June 13, 2014

SIMBA SC YAWAONYA YANGA KWA KUANZA UJENZI WA UWANJA BUNJU, ZANA ZATUA RASMI!

Image
Hivi ndivyo mambo yalivyo huko Bunju. Picha hii ni kwa hisani ya Blog ya Bin Zubeiry. Na Baraka Mpenja, Dar es salaam WAKATI mchakato wa uchaguzi wa klabu ya Simba unaotarajia kufanyika juni 29 mwaka huu ukizidi kushika kasi hasa baada ya mgombea aliyeenguliwa kuwania Urais Michael Richard Wambura kurejeshwa, taarifa njema kwa mashabiki wa klabu hiyo ni kwamba mkakati wa ujenzi wa uwanja umechukua sura mpya leo hii. Mtandao huu unafanya jitihada za kuwatafuta viongozi wa Simba ili kujua zoezi hilo linaendeleaje huko Bunju. Hata hivyo, Msemaji wa Simba sc, Asha Muhaji ameuambia mtandao huu kuwa hajapewa taarifa rasmi na uongozi kuhusu zoezi hilo. Muhaji amesema linapotokea jambo katika klabu hiyo anapewa taarifa, hivyo ameahidi kufikia baadaye atakuwa na taarifa zaidi. “Mimi bado sijapewa taarifa kamili, labda tuwasiliane baadaye ili tujue”. Amesema Muhaji.  Uongozi wa Simba amepeleka magari yanayomwaga vifaa na kusafisha eneo la uwanja wao  uliopo Bunju jiji

NDUGU WANANCHI NAOMBA NISAIDIENI MWENZENU‏

Image
Ndugu  Peter Mashiku anahitaji msaada wa matibabu ya haraka baada ya kuvimba mkono wa kushoto kwa muda mrefu kutokana na pete alizokuwa amevaa Ndugu  Peter Mashiku mkazi wa Mwatulole mjini hapa anahitaji msaada wa matibabu ya haraka baada ya kuvimba mkono wa kushoto kwa muda mrefu, sasa (kama anavyoonekana pichani) Hali hiyo imesababisha bwana mashiku aishi kwenye mazingira magumu kutokana na familia yake kumtenga baada ya kuona vidole na kiganja kinazidi kuvimba siku hadi siku hivyo inamlazimu mtu huyo aishi kwa kudra za Mungu na wasamalia wema huku tatizo likizidi kila siku. Wakiongea na gazeti hili, wakaazi wa maeneo hayo walisema chanzo cha tatizo hilo ni bwana huyo kuvaa pete zaidi ya tatu kama sehemu ya urembo, jirani mmoja wa karibu ambaye hakutaka jina liandikwe gazetini “Tunashangaa hata sisi kwani kufuatana na ucheshi, ukarimu na kulea familia kwanza tulichukua kama mzaha kuona mwenzetu anavaa pete nyingi, baada ya wiki mkono ulianza kuvimba

WAOMBAJI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI UHAMIAJI ZAIDI YA 10,000 WAFANYA USAILI WA AWALI LEO UWANJA WA TAIFA, DAR ES SALAAM

Image
Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Lubert Fransis (kulia) na Mwanamridu Jumaa wakipanga maboksi kwa ajili ya kuhifadhia makaratasi ya mitihani ya usaili. Zaidi ya waombaji 10,000 walifanya usaili wa awali Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo ambapo baada ya wiki moja waliofaulu vizuri wataitwa kwa ajili ya usaili wa mwisho  Sehemu ya waombaji zaidi ya 10,000 wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi, Idara ya Uhamiaji wakifanya usaili wa awali wa kuandika ulioandaliwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa ajili ya kujaza nafasi 70 za kazi ambazo zinahitajika katika Idara hiyo.  Usaili huo uliongozwa na Maafisa Utumishi wa wizara hiyo, umefanyika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo ambapo baada ya wiki moja waliofaulu vizuri wataitwa kwa ajili ya usaili wa mwisho.  Afisa Utumishi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Penina Isamuyo akigawa makaratasi ya mitihani kwa waombaji wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi, Idara ya Uhamiaji kwa ajili ya kufanya

WAKUBWA TU 18+:PICHA ZA UCHI ZA MDADA TOKA DAR ZAZIDI KUTAWARA MITANDAONI CHEKI

Image
Picha za msichana zavuja mtandaoni kisa ni tabia yake ya kubadilisha wamaume kama nguo, ndipo jamaa akaamua kumpiga picha na kuzitupia katika mtandao KAMA UTAPENDA HIZI PICHA BONYEZA HAPA ILA NI WATU WAZIMA TU 18 + BOFYA HAPA PICHA 1 BOFYA HAPA PICHA 2   BOFYA HAPA PICHA 3     BOFYA HAPA PICHA  4

LORI LA MAFUTA LARIPUKA MBEYA...INAHISIWA DEREVA ALISINZIA

Image
Lori la kusafirisha mafuta likiwa na shehena kubwa ya mafuta aina ya Diesel limeteketea kwa moto baada ya kupata ajali ya kugongwa na lori lingine katika eneo la igurusi wilayani mbarali.  Ajali hiyo imetokea  ikihusisha lori lenye namba za usajili t 417 ABF, mali ya kampuni ya Camel oil ambalo lilikuwa likisafirisha lita 35,000 za mafuta aina ya diesel kutoka jijini Dar es salaam kwenda nchini Congo DRC ambalo linadaiwa kugongwa na lori lingine. Baadhi ya wananchi ambao wameshuhudia ajali hiyo  wameitaka serikali kuwalazimisha wamiliki wa malori kuhakikisha magari yao yanakuwa na madereva wa akiba kwa kuwa wanaamini kuwa ajali hiyo imesababishwa na dereva wa lori moja wapo kusinzia wakati akiendesha gari kutokana na uchovu wa safari ndefu. Mpaka napata hizi habari hizi na chanzo kinatoka katika hilo la ajali, bado lori hilo lilikuwa likiendelea kuteketea huku kukiwa hakuna msaada wowote wa kuuzima moto huo.

BIBI KIZEE AZUA TAFRANI JIJINI MWANZA.......NI BAADA YA KUDAI AMEANGUKA KUTOKA ANGANI AKIWA NA WENZAKE BAADA YA KUGOMBANA WAKAMDONDOSHA.

Image
Kila mtu alikuwa na lake kuhusu bibi huyu anayedaiwa kukutwa akiwa uchi huku wengine wakisema ni mgonjwa wa akili na wengine wakidai ni mchawi kaanguka na ungo. Alipokuwa akihojiwa amedai ametoka Bariadi lakini wenzie aliokuwa nao walimshusha baada ya kutokea ugomvi. Amedai walikuwa wanne kwenye safari yao hata hivyo wapo wengine waliosema kuwa ni mgonjwa akili na tangu jana amekuwa akionekana maeneo ya hospitali ya sekoutoure akiranda randa. Mpaka naondoka eneo hilo Polisi walikuwa wamefika ili kutoa msaada kutokana na kundi la watu waliokuwa wamemzunguka na baadhi yao wakitaka apigwe kwa madai ni mchawi. Hapa chini ni baadhi ya picha zake. Akiongea huku akichorachora chini.  Akihojiwa na watu Hapa muda mchache baada ya kukutwa na Camera ya Kijukuu blog. Kundi la watu wakimshangaa bibi

NEWS ALERT: PATASHIKA MLIMANI CITY LEO BAADA YA MALL HIYO KUPIGWA BEI KWA NAKUMAT...!!!!

Image
  Makundi makubwa ya watu  yanaonekana yametapakaa katika shopping mall ya Mlimani City jijini Dar es salaam leo baada ya mall hiyo kuuzwa kwa mmiliki mwingine inayesemekana kuwa ni NAKUMAT. Hapo ni wafanyakazi wa Mlimani City wakisubiri hatma yao. Habari zaidi tunafuatilia.

BIFU LA WEMA NA KAJALA LAMALIZIKA, WEMA ATANGAZA RASMI KUPITIA AKAUNTI YAKE

Image
Wemasepetu  Good morning instagramers.... Hope you all well... If y'all must know mimi ni mtu ambaye huwa nasomaga sana comments.... Na kama nimekosa kusoma comment yako ujue ni kwamba zinakuwa nyingi mno na nashindwa soma zote.... Ni kwa muda mrefu sana mnaniona nakaa tu kimya na sisemi chochote khs my friendship life... But mimi binafsi na muhusika ndo tunajua... saa nyingine mnaongea hadi nakereka but nakaa kimya... Nilitaka tu kusema mimi sina kinyongo na mtu... na kama kuisha mbona yalishaisha...Au ndo mlikuwa mnataka kuona bega kwa bega...? In my life siwekagi vinyongo... nyi wenyewe mnajua... So jus so u want to know hayo yalishapita na maisha yanaendelea... ni hayo tu... Have a good day everebadi.. But chakushangaza Mlimbwende huyo wa Tanzania wa mwaka 2006 hakuweza kuweka picha ya shostito wake huyo kwenye hiyo post badala yake akaweka picha ya Shostito wake wa sasa Aunty Ezekiel ndio aliepamba post hiyo. Mmmmh je hapo unalionaje hilo? mdau.

ANGALIA PICHA BRAZIL WAKIIADHIBU CROATIA

Image
Neymar akishangilia bao lake la kwanza. Neymar akitupia bao la pili kwa mkwaju wa penalti. Marcelo (wa pili kulia) akijifunga na kuwapa bao la kuongoza Croatia katika dakika ya 11. Oscar baada ya kufanya hitimisho. WACHEZAJI Neymar na Oscar wamepeleka vilio Croatia baada ya kuipa ushindi wa mabao matatu timu yao ya Brazil kwenye mechi ya ufunguzi wa Fainali za Kombe la Dunia 2014 zinazofanyika nchini Brazil. Croatia walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 11 ambalo ni la kujifunga likiwekwa kimiani na beki Marcelo wa Brazil. Baadaye wenyeji Brazil walikuja juu na kusawazisha bao hilo kupitia kwa mchezaji wao mahiri anayefananishwa na Pele, Neymar kwa shuti la mbali lililomuacha mlinda mlango wa Croatia, Stipe Pletikosa katika dakika ya 29 ya kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili Neymar aliipatia Brazil bao la pili kwa mkwaju wa penalti ambao kipa Pletikosa alijaribu kuupangua lakini ukajaa wavuni na kuwapa wenyeji ushindi wa 2-1 dakika ya 71. 

PICHA ZA JENNIFER LOPEZ NA PITBULL WALIVYONOGESHA UFUNGUZI WA KOMBE LA DUNIA 2014 NCHINI BRAZIL

Image

MWANAMKE MWINGINE TENA ABAKWA HADI KUFA NA MWILI WAKE KUNING'INIZWA JUU YA MTI

Image
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 19 amekutwa amening’inizwa juu ya mti katika kijiji kimoja Kaskazini mwa India, likiwa ni tukio la tatu kutokea ndani ya wiki moja katika Jimbo la Uttar Pradesh. Mwili wa mwanamke huyo umekutwa katika eneo la Moradabad ambapo familia yake imewaambia polisi kuwa alibakwa huku uchunguzi wa madaktari ukiendelea kufanyika.Mwanamke mwingine alikutwa amening’inizwa juu ya mti katika Jimbo la Uttar Pradesh siku ya Jumatano.Mwezi uliopita mabinti wawili wadogo walibakwa na kundi la watu katika mazingira kama hayo na kuibua maandamano ya hisia kali nchini India. Siku ya Jumatano, mwanamke mwenye umri wa miaka 44 nae alikutwa amening’inizwa juu ya mti katika eneo la Bahraich.   Polisi wamesema kuwa alikuwa akipatiwa vitisho na wanakijiji kwa kuuza pombe katika eneo hilo na familia yake ilifungulia kesi watu watano kuhusiana na kifo hicho.