Posts

Showing posts from July 29, 2016

‘Matiti ya Kajala, dawa za Kichina zinahusika’

Image
Stori: Imelda Mtema, Ijumaa Baada ya gumzo kubwa kuibuka juu ya muonekano mpya wa matiti ya msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja, shostito wake wa karibu amemwaga ubuyu kuwa, dawa za kuongeza matiti za Kichina zinahusika. Akipigia stori na Ijumaa hivi karibuni, mtoa ubuyu wetu ambaye aliomba hifadhi ya jina lake alisema kuwa, huko nyuma matiti ya Kajala yalikuwa ‘ndala’ akawa anatumia dawa f’lani za kupaka ili kuyafanya yatune. “Nyie muoneni vile tu lakini zile nido zake za sasa Mchina anahusika sana, hawezi kuanika ukweli lakini habari ndiyo hiyo,” alisema mtoa ubuyu huyo. Paparazi wetu alibahatika kuongea na Kajala juu ya madai hayo ambapo alisema: “Watu bwana wanaongea sana, je nikiamua sasa kutumia hizo dawa itakuwaje? Niseme tu kwamba matiti yangu ni orijino na siku zote yana mvuto ndiyo maana sionagi hatari kuyaanika.”

RAIS MAGUFULI AMEANZA RASMI ZIARA YA SIKU NNE... KUTIMUA VUMBI MIKOA YA SINGIDA, TABORA, SHINYANGA NA GEITA

Image

BREAKING NEWSS: ACT WAZALENDO WAPINGANA NA OPERESHENI YA CHADEMA ,WATOA TAMKO HILI ZITO.

Image
KATIKA kile kinachoweza kusemwa kuwa ni sawa na CHADEMA,Chama cha ACT Wazalendo mapema leo hii wametoa tamko lao kuhusu oparesheni ya UKUTA. Jana CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mbowe,walitangaza kuianza operesheni hiyo ifikapo mwezi wa tisa mwaka huu kwa madai ya kupinga kile wanachokiita udikteta. ACT Wazalendo leo hii kupitia ukurasa wao wa Twitter wamesema kuwa hawakubaliani na jambo hilo kufanywa na CHADEMA.