Posts

Showing posts from July 16, 2013

Rais Jakaya Kikwete Azindua Rasmi huduma mpya ya Benki ya Posta iitwayo TPB POPOTE Jijini Dar es Salaam LEO

Image
  Mgeni rasmi, Rais Jakaya Kikwete akizindua huduma mpya ya Benki ya Posta iitwayo TPB POPOTE mapema leo mchana kwenye hotel ya Serena jijini Dar ,hafla hiyo imewakutanisha wadau mbalimbali wa mambo ya kibenki na wengineo, lengo kuu ya uzinduzi wa huduma hiyo ikiwa ni kuweka na kutoa    fedha kupitia Mawakala wa Benki ya Posta nchini Tanzania.Kushoto ni Waziri wa Fedha Dkt.William Mgimwa, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Posta,Profesa Lettice Rutashobya na kulia kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa benki hiyo Bw.Moshingi wakishuhudia tukio hilo adhimu kabisa. Rais Jakaya Kikwete akijaza fomu yake ya huduma hiyo mpya ya TPB POPOTE iliyozinduliwa na Benki ya Posta mapema leo mchana kwenye hotel ya Serena jijini Dar ,hafla hiyo imewakutanisha wadau mbalimbali wa mambo ya kibenki na wengineo, lengo kuu ya uzinduzi wa huduma hiyo ikiwa ni kuweka na kutoa    fedha kupitia Mawakala wa Benki ya Posta nchini Tanzania.Pichani kulia ni  Waziri

ANGALIA PICHA RAIS WA KENYA UHURU KENYATTA AKUTANA NA WAKENYA WANAOISHI NIGERIA

Image
President Kenyatta addressing Kenyans living in Nigeria A light moment Meeting & greeting with Kenyans living in Nigeria The president has left a comment saying: "I had a great time meeting with Kenyans living in Nigeria. Thank you so much for the warm reception and the candid conversation. God Bless You All."NA JESTINA GEORGE BLOG

HATIMAYE LUDOVICK JOSEPH NAYE AACHIWA KWA DHAMANA

Image
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia kwa dhamana Ludovick Joseph anayeshitakiwa pamoja na Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema Wilfred Lwakatare, baada ya kusota rumande kwa zaidi ya miezi minne. Ludovick aliachiwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Aloyce Katemana baada ya kutimiza masharti ya dhamana yaliyotolewa Juni 10 mwaka huu. Washitakiwa hao waliofikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Machi 18 mwaka huu, wanakabiliwa na shitaka la kutaka kumdhuru Mhariri wa gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky kwa kutumia sumu.

ANGALIA PICHA ZA WATU WLIOJITOKEZA KWENYE MSIBA WA MSANII IBRAHIMU PAZI MAARUFU POSA

Image
   Kushoto ni Marehemu Ibrahim Mohammed Pazi ‘Posa’ akiwa na msanii mwenzake enzi za uhai wake.     Mke wa Marehemu akifika msibani.     Mtoto wa marehemu mwenye miezi miwili akiwa amebebwa.     Sherry  Maghari  (kushoto) akilia kwa uchungu baada ya kukutana na ndugu wa marehemu ambaye alikuwa akiongozana naye hospitali. Wasanii wakiomboleza nyumbani kwa babu wa marehemu Manzese Tiptop jijini Dar.     Wasanii wa kike wakifanya kikao kwa ajili ya shughuli za msibani hapo.    Sherry Maghari (wa pili kushoto) akiwa na simanzi. Sherry alimuuguza marehemu takribani mwezi mmoja. MSANII wa komedi nchini, Ibrahim Mohammed Pazi ‘Posa’ ameaga dunia jana katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Pichani juu ni baadhi ya taswira kutoka nyumbani kwa babu wa marehemu eneo la Manzese Tiptop jijini Dar es Salaam ulipo msiba. (PICHA: HAMIDA HASSAN / GLADNESS MALLYA / GPL

SHIRIKA LA UMEME NCHINI(TANESCO) LASAINI MKATABA WA NISHATI YA UMEME NA KAMPUNI YA CPI KUTOKA CHINA

Image
   Mkurugenzi wa Tanesco,  Felchesmi  Mramba akisaini hati na  Mwenyekiti wa Kampuni ya Uwekezaji ya CPI, Lu Quizhou baada ya kuingia mkataba wa uwekezaji wa nishati ya Umeme jijini Dar es Salaam leo. Mkurugenzi wa Tanesco,  Felchesmi  Mramba akibadilishana hati na  Mwenyekiti wa Kampuni ya Uwekezaji ya CPI, Lu Quizhou baada ya kuingia mkataba wa uwekezaji wa nishati ya Umeme kutoka China.  -- Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ameendelea kusisitiza na kuwataka wakazi wa mkoa wa Mtwara kuelewa kuwa Gesi iliyopatikana katika mkoa huo ni kwa ajili ya Watanzania wote. Akizungumza wakati akiwekeana makubaliano na kampuni ya uwekezaji wa nishati ya umeme kutoka China (CPI), Profesa Muhongo alisema kuwa hata kama wakazi wa mkoa huo watashindwa kuridhia uwekezaji wa nishati hiyo lakini gesi hiyo ni kwa maendeleo ya Watanzania wote. Profesa Muhongo alisema kuwa makundi yanayopinga matumizi ya gesi hiyo

WIMBO WA LADY JAY DEE YAHAYA WAANZA KUFANYIWA SHOOTING

Image
Msanii wa bongo movie anajulikana kwa jina la DUDE yeye ndie atakayecheza pati ya YAHAYA katika video mpya ya mwanadada LADY JAYDEE. Video hii imeanza kushutiwa Jana jioni, kaa tayari kwa kumuona Dude akiwa kama Yahaya .: 

MATESO YA KIJANA MWIZI AKISULUBIWA NA WANAKIJIJI BAADA YA KUVUNJA DIRISHA LA NYUMBA ILI AIBE

Image
Huyu  ni  mwizi  aliyenaswa  na  wanakijiji    nchini  Uganda  akijaribu    kuvunja  dirisha  la  nyumba  ili  aibe.... Wanakijiji  walipomnasa  walianza  kwa  kumpa  kichapo  kikali  kabla  ya  kumfunga  miguu  na  kumburuza  barabarani  huku  wengine  wakiendelea  kumshushia  kichapo

ICHA ZA LULU AKIKABIDHIWA TUZO YAKE YA ZIFF LEO.

Image
Hatimaye Lulu amepokea ile tuzo yake aliyo shinda kweye ZIFF kule Zanzibar kama msanii bora wa kike katika filamu za kiswahili. Hongera sana Lulu keep up the good work.

WANAJESHI WA TANZANIA WALIO UAWA DARFUL WAAGWA

Image
 Capt. John Kivunge, a Tanzanian Staff Officer with JOC, reads a program of the brief ceremony. Prayers from a chaplain. Prayers from an Imam for the fallen peacekeepers. Military salute as the 'Last Post'  rings out by Nigbatt in honour of the fallen heroes. Start of the last journey home.

BREAKING NEWS: BAADA YA MAN UNITED KUPELEKA OFA BARCA - FABREGAS ASEMA ANATAKA KUENDELEA KUBAKI CAMP NOU

Image
Siku chache baada ya kumkosa Thiago Alcantara inaonekana sasa Manchester United ipo njiani kumkosa mchezaji mwingine kutoka FC Barcelona, Cesc Fabregas. Hii inakuja baada ya kocha wa klabu hiyo  Tito Vilanova kusema kwamba ameongea na kiungo huyo wa Spain na ameambia na mchezaji huyo kwamba anahitaji kuendelea kubaki Camp Nou.  Jana jumatatu iliripotiwa kwamba United walituma ofa ya kwanza ya kiasi cha £25.9 million  kwa ajili ya kumsajili Fabregas, ambaye amefeli kupata nafasi katika kikosi cha kwanza tangu aliporudi akitokea Arsenal. Lakini akiongea na waandishi wa habari leo mchana, Vilanova amesema wazi kwamba Fabregas bado anataka kubaki kwenye klabu yake hiyo ya utotoni, na hana mawazo ya kuondoka kwa sasa.  "Ninafahamu kwamba tumepokea ofa kadhaa kutoka kwa vilabu tofauti. Niliongea na Cesc na ameniambia kwamba anataka kubaki. "Cesc hana mawazo ya kuondoka kwenda klabu nyingine. Anajua ushindani ni mkubwa hapa na ana ndoto za kue

AUNT EZEKIEL AMTOSA MUMEWE

Image
Wengi  walitegemea  kuwa  Aunt  Ezekiel ataungana  na  mumewe Sunday  katika  kipindi  hiki  cha  mwezi  mtukufu wa Ramadhani  lakini  hali  imekuwa  ni  tofauti.... Aunt  anayetumia  jina  la  Rahma  baada  ya  kubadili  dini  ili  aolewe  na  mwanaume  huyo,   amemtosa  mkaka  huyo  na  kuendelea  kula  bata  nchini  huku  akidai  kuwa  mumewe  hana  mengi. "Sina  mpango  wowote  wa  kuondoka  nchini  kumfuata  mwanaume.Yeye  ni  mume  wangu, ntamkuta  tu  hata  nikienda  mwakani. "Kwanza  mume  wangu  hana  mengi  na  si  mkorofi  na  anajua  wazi  kwamba  sipendi  kubanwa.Kwa  sasa  nina  mambo  mengi  likiwemo  hili  la  kuisambaza  filamu  yangu  mpya  ya  Scola  mwezi  ujao"...Alisema  aunt  Ezekiel

JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA , BUXTON CHIPETA AFARIKI DUNIA

Image
Jaji Buxton Chipeta. Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu Tanzania, Buxton Chipeta amefariki dunia muda mfupi uliopita. Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia, Jaji Chipeta alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kisukari ambapo ilifikia wakati akalazimika kukatwa vidole kadhaa vya miguuni. Enzi za uhai wake, Jaji Chipeta aliweza kujijengea heshima katika kazi yake na kufikia kuwa mmoja wa majaji wanaoheshimika mno hapa nchini.   Pia Jaji Chipeta aliwahi kuwa miongoni mwa majaji wa Tume ya kurekebisha Sheria yeye akiongoza kanda ya Dar es Salaam.   Mpekuzi  inaungana na familia ya marehemu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na mpendwa wao.

THIAGO ALCANTARA ATAMBULISWA BAYERN MUNICH LEO

Image

ANCELOTTI , ZIDANE & RONALDO WAWA KIVUTIO REAL MADRID WAKATI WA MAZOEZI

Image
All smiles: Carlo Ancelotti, taking charge of his first training session, has teamed up with Zinedine Zidane Hugs all round: Ronaldo greets team-mate Pepe (left) before he is measured up by the club doctor  Hands-on: The former FIFA World Player of the Year played over 150 games for Real Madrid Paul Clement, the former PE teacher from Sutton, will work with Zidane and Ancelotti after becoming a key fixture in the the former AC Milan boss's backroom staff.  Boys in blue: Zidane, Ancelotti and Paul Clement will lead Real Madrid's assault on winning the title back from Barca

WAZIRI WA UJENZI Dr. MAGUFULI ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA BARABARA YA NDUNDU SOMANGA(60)

Image
Waziri wa Ujenzi Dr.John Magufuli (kushoto) akisikiliza maelezo ya ujenzi wa barabara kutoka  Ndundu-Somanga (km 60) mkoani Pwani jana kutoka kwa Mhandisi  Mkazi kutoka kampuni ya ESG (Mouchel Parkman )alipotembelea kuangalia maendeleo ya ujenzi huo ambapo hadi sasa wameshalipwa  kiasi cha shilingi 59 bilioni..     Baadhi ya shughuli za ujenzi mbalimbali za barabara zikiendelea.   Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kulia) akiongea na baadhi ya wanakijiji wa Malendego jana wakati wa ziara yake ya kukagua ujenzi wa mradi ya barabara ya Ndundu- Somanga(km 60). Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Malendego mkoani Pwani wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli  (hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi(15,7,2012). Bango la mpangilio wa ujenzi. Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli(mwenye pama katikati)   akitoa maagizo kwa meneja wa mradi wa ujenzi pamoja na Mhandisi mkazi wa mradi huo hawapo pichani  jana alipotembelea mradi huo jana,ambapo Waziri Magufuli mna