Posts

Showing posts from May 5, 2015

JINSI YA KUPUNGUZA ULAJI SUKARI

Image
Ulaji wa sukari kupita kiasi unahusishwa na kuongezeka kwa unene, uzito kupita kiasi, ugonjwa wa kisukari cha ukubwani (aina ya pili), magonjwa ya moyo, baadhi ya saratani, kuoza kwa meno na ugonjwa wa ini.  Katika nchi zinazoendelea kama Tanzania, siyo rahisi kufanya tafiti zinazoonyesha kiasi cha sukari anacho kula mtu kwa siku. Kwa hiyo, hatuna budi kutumia takwimu za nchi zilizoendelea kama Marekani na ulaji wa watu wake haupishani sana na baadhi ya Watanzania wanaoishi mijini. Baadhi ya tafiti za miaka ya 2008-2009 zinaonyesha kuwa nchini Marekani mtu mzima kwa wastani anakula sukari vijiko vya chai 22 kutoka katika vyakula vilivyosindikwa kiwandani. Kwa mujibu wa Taasisi ya Kimarekani ya Mambo ya Moyo (Aha), kwa watu wazima, wanawake, matumizi yao ya sukari inayotokana na vyakula vilivyosindikwa kiwandani, yasizidi vijiko sita vya chai kwa siku. Kwa wanaume wasizidishe vijiko tisa kwa siku. Watu wafahamu kila gramu nne za sukari ni sawa na sukari iliyojaa katika kijiko

Patcho Mwamba: Hamna star wa kike ana nyota kama ya Wema Sepetu, ila dhambi yake ni moja.

Image
  Mwanamuziki wa band ya Fm Academia Patcho Mwamba ambae pia ni muigizaji wa filamu, amejibu swali aliloulizwa kwenye mahojiano maalumu na Bestizzo "Je unahisi Wema halitendei haki jina lake au kuna sehemu anakosea?" ''Kwanza tuseme ukweli wa Mungu hamna star wa kike ana nyota kama ya Wema Sepetu, ni star ni star ni star ni star sana upande wa wanawake wote ndani ya bongo, ila dhambi yake moja ni kuanika sana maisha yake... akiwa na mpenzi jamani mpenzi wangu ndio huyu hapa akiachana nae ni rahisi watu kujua...'

STRAIKA ABOAGYE AANZA KAZI SIMBA SC LEO

Image
  Aboagye kushoto wakati anasajiliwa Zakho ya Iraq. Mshambuliaji huyo anaanza majaribio Simba leo

MGOMO WA MADEREVA WAINGIA SIKU YA PILI LEO

phars.blogspot.com: GOMO WA MADEREVA WAINGIA SIKU YA PILI LEO : Taswira nzima ya mabasi yaendayo mikoani katika Stendi ya Ubungo.MGOMO wa madereva umeingia siku ya pili leo baada ya kuanza jana asubuhi...

phars.blogspot.com: MTOTO ATOA USHUHUDA WA POLISI KUHUSU UNYAMA ALIOFA...

phars.blogspot.com: MTOTO ATOA USHUHUDA WA POLISI KUHUSU UNYAMA ALIOFA... : Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support ya jijini Dar, Octavian Nandi Mpendakazi. Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Knight...

phars.blogspot.com: DADA HUYU AMEVUNJA REKODI YA KUWA NA NDEVU NA NYWE...

phars.blogspot.com: DADA HUYU AMEVUNJA REKODI YA KUWA NA NDEVU NA NYWE... : Hairiest girl flaunteing her hairy bosoms in new photos below she is so cute See some more photos below What do you think of this? can you...

phars.blogspot.com: MBWA AMUUA MTOTO KIKATILI-MBEZI!!

phars.blogspot.com: MBWA AMUUA MTOTO KIKATILI-MBEZI!! : Aisha Ally anayedaiwa kushambuliwa na mbwa. INAUMA sana! Aisha Ally mwenye umri wa miaka 8 (pichani), mkazi wa Mtaa wa NSSF, Mbezi Beach...

MBWA AMUUA MTOTO KIKATILI-MBEZI!!

Image
Aisha Ally anayedaiwa kushambuliwa na mbwa. INAUMA sana! Aisha Ally mwenye umri wa miaka 8 (pichani), mkazi wa Mtaa wa NSSF, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa darasa la tatu wa Shule ya Msingi ya St. Joseph, Dar, amefariki dunia baada ya kung’atwa na mbwa anayedaiwa kuwa na kichaa, Uwazi lina mkasa wote. Tukio hilo lilijiri hivi karibuni nyumbani kwao Mbezi wakati mtoto huyo alipotumwa na mama yake mkubwa kwenda dukani kununua vocha ya simu.Akisimulia tukio zima kwa waandishi wetu, baba mzazi wa marehemu, Ally Ayub alisema: “Siku ya tukio mwanangu alitumwa na mama yake mkubwa kwenda dukani kumnunulia vocha, sasa wakati anarudi nyumbani njiani alikutana na mbwa huyo akamshambulia kwenye mguu wa kushoto, mkono wa kushoto na mdomoni. “Mwanangu alijitahidi kupambana naye ili kujiokoa lakini mbwa naye alikuwa na nguvu, akamng’ata sehemu hizo.” “Baadhi ya watu waliokuwepo dukani waliona, wengine walianza kulia baada ya kumtambua mwanangu, wengine wali

DADA HUYU AMEVUNJA REKODI YA KUWA NA NDEVU NA NYWELE NYINGI KULIKO WANAUME

Image
Hairiest girl flaunteing her hairy bosoms in new photos below she is so cute See some more photos below What do you think of this? can you marry this cute girl???

WAREMBO SASA WAMEZIDI!!,SHUHUDIA PICHA HIZI!!

Image

MTOTO ATOA USHUHUDA WA POLISI KUHUSU UNYAMA ALIOFANYIWA BABA YAKE BAADA YA POLISI KUMGONGA!!

Image
Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support ya jijini Dar, Octavian Nandi Mpendakazi. Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support ya jijini Dar, Octavian Nandi Mpendakazi (60), hali yake ni mbaya kwa kile kinachodaiwa aligongwa na gari la polisi na kuvunjika mbavu, mguu wa kushoto mara mbili pia kakatika utumbo siku ya Sikukuu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Mtoto wa majeruhi huyo aliyejitambulisha kwa jina la Rose Nandi, akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, alidai kwamba baba yake aligongwa na gari la polisi wakati akivuka barabara Aprili 26, mwaka huu eneo la Tazara, Dar. “Nilipoenda eneo la tukio niliambiwa na walioshuhudia kwamba baba aligongwa na ‘defender’ la polisi,” alisema mtoto huyo.Aliendelea kusema kwamba, baba yake aligongwa saa kumi na mbili na nusu asubuhi na gari hilo lililokuwa likitokea Gongo la Mboto kwenda Uwanja wa Taifa kwenye sherehe za Muungano. “Siamini kama baba atapona na hata kama atapona lakini tayari

GOMO WA MADEREVA WAINGIA SIKU YA PILI LEO

Image
Taswira nzima ya mabasi yaendayo mikoani katika Stendi ya Ubungo.MGOMO wa madereva umeingia siku ya pili leo baada ya kuanza jana asubuhi huku wakazi mbalimbali wakiwemo wa jijini Dar wakilazimika kutembea kwa mguu kwenda kwenye maeneo yao ya kufanyia shughuli za kila siku. Wananchi wakiwa wametaharuki katika eneo la Ubungo kutokana na mgomo unaoendelea.Mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar asubuhi hii imeonekana kujaa magari binafsi huku bajaji na bodaboda zikionekana kuwa nyingi kuliko siku nyingine. Katika Kituo cha mabasi yaendayo mikoani Ubungo, mabasi matatu ya Kampuni ya Shabiby Line yameripotiwa kuondoka kituoni hapo kuelekea Morogoro na Dodoma yakiwa chini ya ulinzi mkali wa eskoti ya askari polisi.

phars.blogspot.com: MAGAZETI YA LEO JUMANNE

phars.blogspot.com: MAGAZETI YA LEO JUMANNE :            

MAGAZETI YA LEO JUMANNE

Image