Diamond Platnumz na mama wa mtoto wake Zari. D AR ES SALAAM: Nyuma ya pazia la sakata la staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul āDiamond Platnumzā kutaka kummwaga mama wa mtoto wake, Latifah Nasibu āPrincess Tiffahā, Zarinah Hassan Tiale āZari The Boss Ladyā, kuna siri nzito, Amani limenyetishiwa. CHANZO CHAFUNGUKA Habari kutoka kwa chanzo ambacho ni mtu wa karibu wa familia ya Diamond zilieleza kuwa, hivi karibuni kuliibuka madai mazito kuwa, Diamond, kama ilivyo tabia yake ya kutodumu na mwanamke kwenye uhusiano wa kimapenzi, tayari ameonesha ishara zote za kuachana na mama Tiffah. Je, ni skendo ya Diamond ,kutoka na Video Queen wa Bongo, Irene? Zari akiwa na mwanaye, Latifah Nasibu āPrincess Tiffahā Kumbe siri ni Tiffah āKwa taarifa yenu, Diamond hawezi kummwaga Zari kirahisi na siri ni moja tu ni Tiffah. Ukweli ni kwamba, Tiffah ndiyeā¦..ā Wema, Pennye na Jokate watajwa ā¦.āSisi tunamjua jamaa (Diamond), anapotaka kuachana na mwanamke huwa kuna...