Ruby Amuanika Baba Kijacho Wake
BAADA ya kufanya vizuri na baadhi ya ngoma zake kama Na Yule , Sijutii, na nyingine nyingi, staa wa Bongo Fleva , Ruby , amemuanika baba kijacho wake kwenye ukurasa wake wa Instagram. . Huyu ndiye Jamali mpenzi wa Ruby Ruby ambaye āamejaza na akajazwaā na sasa ni mama kijacho amemtundika ā handsome boy ā wake huyo anayeitwa Jamal na kumuandikia ujumbe ufuatao. ā My prince charm, my smile maker, Baba princess Ruby ā NA ISRI MOHAMED/GPL