Posts

Showing posts from March 4, 2014

KAHABA ANASWA AKIJIUZA NDANI YA GESTI HUKO SINZA..ADAIWA KUPANGA CHUMBA MAALUM KWAAJIILI YA BIASHARA HIYO…!!

Image
Zuena akiwa na mteja wake chumbani mara baada ya kunaswa na polisi. KABANG!  Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni jijini Dar kwa kushirikiana na Oparesheni    Fichua Maovu (OFM) ya GPL wamemnasa mrembo Zuena Mohammed anayedaiwa kukodi chumba cha gesti na kuingiza wa- naume kwa zamu usiku kucha Zuena Mohammed akivaa nguo zake baada ya kunaswa na mteja chumbani. Tukio hilo lilijiri chumba namba 14 ndani ya Gesti ya Mori Lodge iliyopo Sinza jijini Dar ambapo mwanamke huyo alikuwa amekodi chumba hicho na kuwapanga wanaume kwa foleni kwa ajili ya kutoa huduma haramu ya ngono. AFM Watonywa. Awali, ‘makachero’ wa OFM walitonywa kuwepo kwa ishu hiyo na chanzo chake kilichodai kuk- erwa na tabia ya mrembo huyo ambaye amekuwa akitishia afya za wanaume wakiwemo vigogo wa serikali ambao ilidaiwa kuwa ni sehemu ya wateja wake. Chanzo: Jamani OFM mpo ka- zini? …akijifunika uso kwa aibu. OFM: Tumejaa tele leta maneno. Chanzo: Mimi naitwa (anataja jina) lakini

BREAKING NEWS Ridhiwani ashinda Kura za maoni CCM kuwania kiti cha Ubunge jimbo la Chalinze

Image
Ndg.Ridhiwani Kikwete Mgombea wa ubunge katika Kura za Maoni za CCM jimbo la Chalinze akijipigia Kura  , pia akipanga mstari katika uwakilishi wa Kata anayotoka ya Msoga.Ridhiwani Kikwete kashinda kwa kupata kura 758 kati ya kura 1321,Ilikuwa hivi:_1.Ridhiwani Kikwete kura 758 2. Shaban Iman Madega  kura 335 3. Athuman Ramadhan Maneno  kura 206 4. Changwa Mohamed mkwazu  kura 12Kura zilikuwa 1363 zilizo Haribika 5 na Halali ni kura 1316 Wagombea wa Ubunge Chalinze kwa tiketi ya ccm walikuwa ni:- 1.Ndg.Ridhiwani Kikwete, 2.Shaban Iman Madega, 3.Athuman Ramadhan Maneno 4.Changwa Mohamed mkwazu Tarehe 9/3/2014 KUCHUKUA FOMU  Tarehe  11/3 /2014  KURUDISHA  Tarehe  15/3 /2014 UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CC M

CHINA SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES FOR 2014

Image
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS 1.    INTRODUCTION    Applications are invited from qualified Tanzanians to apply for postgraduate studies in the following universities in China:   (a) China University of Geosciences – Beijing; (b) China University of Petroleum – Beijing; (c) China University of Geosciences – Wuhan; (d) Liaoning Shihua University; (e) Ocean University of China; (f) China University of Petroleum – Huadong; and (g) Xian Shiyou University.   Sponsorship will be in the fields of oil and gas. The scholarships will be processed in collaboration with the Embassy of China in Tanzania and will be awarded to the best ten (10) candidates.   2.    ELIGIBILITY (a) Applicants must be holders of Bachelor’s degree in Earth Sciences or Engineering from recognized universities; (b) Master’s Degree and Ph.D. applicants should not be older than 35 and 40 years respectively; and (c) Applicants will be required to pay for a

RAY C AFUNGUKA MARA BAADA YA LORD EYES KUSHIKWA KWA TUHUMA ZA WIZI, SOMA HAPA RAY C AFUNGUKA MARA BAADA YA LORD EYES KUSHIKWA KWA TUHUMA ZA WIZI,

Image
Aliyekuwa mpenzi wa rapper Lord Eyez, mwanamuziki Rehema Chalamila aka Ray C amezungumzia kuhusu sakata la wizi linalomkabili rapper huyo ambaye ni member wa group la Nako 2 Nako Soldiers. U

ANGALIA PICHA WANAUME AUAWA KWA KUCHOMWA AKITUHUMIWA KWA U SHOGA UGANDA

Image
Ni muda mfupi tu toka Uganda ipitishe sharia ya kupinga ushoga, imeripotiwa mtu mmoja aliyetuhumiwa kuwa shoga alichomwa moto mpaka kufa nchini humo. CNN imeripoti tukio hilo ambalo jina la mtu  huyo halikuweza kujulikana. Picha ilionesha jinsi mtu huyo anavyochomwa moto huku akiwa pembeni mwa reli huku watoto wakishuhudia tukio hilo. Sharia hiyo iliyopitishwa hivi karibuni, inahusisha pamoja na kufungwa maisha kwa mtu yoyote atakayejihusisha na shughuli zozote za ushoga pamoja na kuambukiza ukimwi, matendo ya ngono na watoto pamoja na watu wenye ulemavu, udhalilishaji ikiwa ni pamoja na ubakaji. Sharia hiyo iliyozaliwa mwaka 2009, na kupewa jina “Kill The Gays” ikimaanisha “Ua Mashoga” ambayo ilisisitiza hukumu ya kifo kwa matendo fulani ya ushoga, lakini ilirudishwa kabatini kutokana na kelele nyingi zilizopigwa na mataifa mbalimbali. Katika sharia hii mpya, mtu yeyote atakaye fungisha ndoa ya jinsia moja atahukumiwa kifungo cha mpaka miaka

POLISI AMTWANGA RISASI MKEWE, KISHA AJIUA

Image
Bastola iliyotumika katika shambulizi hilo. Picha na Sammy Kimatu wa Daily Nation. Na Fadhy Mtanga AFISA wa Jeshi la Polisi nchini Kenya amemjeruhi vibaya mkewe kabla hajajiua. Tukio hilo lilijiri majira ya saa saba unusu usiku ndani ya makazi yao huko South B, Nairobi. Gazeti la Daily Nation la nchini humo limeripoti kuwa, kabla ya tukio hilo askari huyo mwenye cheo cha Sajini Mwandamizi katika ofisi za Westlands, alirejea nyumbani usiku wa manane na kuanza ugomvi na mkewe. Taarifa zinaeleza kuwa ugomvi huo ulihusu kodi ya pango walilokuwa wakiishi. Sajini Mwandamizi huyo alimdai mkewe kiasi cha shilingi za Kenya 16,000 alizokuwa amempa kabla kwa ajili ya kulipia pango kwa mwezi huu Machi. Hata hivyo, mkewe hakuweza kutoa kiasi hicho cha pesa wala kuwa na maelezo yaliyotosheleza. Kwa mujibu wa jirani yao, Peter Thuita, kulisikika yowe zilizofuatiwa na mlio wa risasi majira ya saa tisa usiku kutoka nyumbani kwa afisa huyo wa polisi. Mkuu wa Upelelezi

UK HOUSES OF PARLIAMENT TOUR 2014

Image
04/03/2014 A DAY IN UK HOUSES OF  PARLIAMENT  TOUR  2014 Newdeal Africa  now  has  a   special  permit   to  organise ‘A  day  in  Parliament’- Guided tours of Parliament which  takes visitors into both the Commons and Lords chambers and historic Westminster Hall. This tour offers a unique combination of one thousand years of history, modern day politics, and stunning art and architecture. The tours start by following the route taken by The Queen at the State Opening of Parliament; from The Queen’s Robing Room, through the Royal Gallery and Prince’s Chamber, into the majestic Lords Chamber. Tours then move on through Central Lobby, Members’ Lobby and one of the voting lobbies before entering the Commons Chamber, scene of many lively debates. Passing through St Stephen’s Hall, the tours end in 900 year old Westminster Hall, a place where many historic trials have taken place and where Nelson Mandela and Barack Obama have addressed Parliament in more recent ye

RAIS DKT. KIKWETE AKAGUA MADARAJA YA KIJESHI

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akikagua madaraja ya kijeshi yakiwemo yale ya kuelea juu ya maji wakati alipokagua zana za kijeshi jana, Jumatatu, Machi 2, mwaka huu, 2014. (Picha na Freddy Maro wa Ikulu).

ANGALIA PICHA KIJANA AJICHINJA KWA SIME AKIWA NDANI YA BASI

Image
Akiandika barua AMA kweli duniani kuna mambo kwani dereva na abiria wa basi la Manchester ambalo namba yake haikujulikana mara moja, lililokua likitoka Lindi kwenda jijini Dar es Salaam walijikuta wakiangua vilio baada ya kumuona mwenzao akijichinja hadi kufa kwa kisu ndani ya gari hilo. Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo la kusikitisha lilitokea saa tisa alasiri, Jumatano wiki iliyopita mara basi hilo lilipofika katika hoteli moja ya Nangulukulu kwa ajili ya kupatia chakula. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na waandishi wa habari hii jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, baadhi ya abiria walioshuhudia tukio hilo walisema kuwa  mara walipofika katika hoteli hiyo, kila mmoja alitawanyika kwa lengo la kujipatia chakula na baadhi yao walienda maliwatoni akiwemo marehemu huyo. Polisi katika jitihada za kumtoa katika basi Walisema kwamba  marehemu huyo ambaye jina lake halikupatikana mara moja, wakati wa kushuka hakuonekana na kisu aina ya sim

ANGALIA NAFASI MPYA YA KAZI KUTOKA EAC

Image
PROCUREMENT OFFICER(READVERTISEMENT) 1. BACKGROUND INFORMATION The EAC Financial Sector Development and Regionalization Project I (EAC - FSDRP I), which is funded by a $ 16 million IDA grant, became effective in June 2011. The project aims to support the development of the East African financial sector, through the establishment of a single market in financial services. Creation of a single financial services market, will also contribute to realization of the Common Market Protocol, by facilitating the attainment of the four freedoms i.e. movement of goods, labour, services and capital. Under FSDRP I, the Project Administration Team (PAT) has begun work to establish foundations for EAC financial sector regionalization through; establishing core capacity at the institutional level to support the EAC financial sector integration process; producing EAC model directives for financial sector laws and regulations; and achieving early wins in regional integr