Posts

Showing posts from December 25, 2013

TAMASHA LA KRISMAS LAZIDI KUPAMBA MOTO UWANJA WA TAIFA

Image
Mgeni rasmi Waziri wa nchi katika ofisi ya waziri mkuu Uratibu wa Sera na Bunge Mh. William Lukuvi akizungumza katika tamasha hilo na kuwashukuru waimbaji wa muziki wa injili kwa kuendelea kuhubiri amani nchini lakini pia akawahakikishia kwamba serikali kitahakikisha amani iliyopo inadumu, kulia ni mkurugenzi wa Msama Promotion Alex Msama na katikati ni Ezekiel Maige Mbunge wa jimbo la Msalala  hivi punde atapanda jukwaani mwimbaji nguli wa muziki huo kutoka nchini Afrika Kusini Solomon Mahlangu ili kuhitimisha tamasha hilo kwa jiji la Dar es salaam. Mwimbaji Ephraim Sekereti akitumbuiza kwenye  uwanja wa Taifa wakati wa tamasha la Krismas linaloandaliwa na kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dar es salaam lillilofany.ka jioni hii Mwimbaji Ephraim Sekereti akifanya vitu vyake jukwaani jioni hii kwenye uwanja wa taifa Mgeni rasmi Waziri wa nchi katika ofisi ya waziri mkuu Uratibu wa Sera na Bunge Mh. William Lukuvi aki rejea kukaa mara baada ya kuzungumza na wananchi ka

BREAKING NEWZ"MAITI YAKAMATWA NA KETE ZA MADAWA YA KULEVYA MOROGORO".

Image
HIZI ndizo kete zinazodaiwa kuwa ni madawa ya kulevya yaliyopatikana katika gari baada ya kupekuliwa kituo kikuu cha polisi.   MWILI wa marehemu, Khalid Abdul Kitala (47) ambaye ni mfanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam ukiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali kuu ya mkoa wa Morogoro muda mfupi kabla ya mwili huo kufanyiwa uchunguzi na kukutwa na kete 17 zinazodhaniwa kuwa ni madawa ya kulevya katika tukio la kufasarisha maiti iliyotiliwa shaka na askari polisi Mikumi ambao waliweka mtego kufuatia kupata taarifa za tukio hilo na raia wema na kulinasa gari lililokuwa likitokea Iringa kwenda Dar es Salaam  jana usiku. Katika gari la watuhumiwa lilipekuliwa kwa kina na kupatikana kete 7 na kete 17 na kufanya jumla yake kuwa 24 zilizokamatwa na watuhumiwa wapo chini ya ulinzi katika kituo kikuu cha polisi kwa uchunguzi.

DADA WA KAZI ANAVAA HIVI , MAMA MWENYE NYUMBA UPO UNAANGALIA TU, UNATEGEMEA NINI?

Image
 Wapo watu ambao bado hawajajua madhara ya mavazi, mavazi yanaweza kuharibu nyumba, dada wa kazi akijiachia namna hii na mwenye nyumba unaangalia tu madhara ni makubwa labda kama mnaishi wawili tu hapo ndani ila kama unaishi na mumeo kazi unayooo

"NAPENDA SANA KUFANYA 'PHONE SEX' NA MPENZI WANGU KULIKO TENDO HALISI"....NIFANYEJE? NAOMBENI USHAURI..

Image
Jamani mnisadieni mwenzenu huwa ninatabia ambayo kiukweli mimi binafsi siipendi, huwa ninatabia ya kufanya mchezo wa kuigiza tunatiana na mpenzi wangu, huku mimi nikipga puri(besheni0 na yeye akiishia kujipiga madole sasa hii tabia naona inakuwa kero kwangu kila siku lazima tufanye mpenzi wangu yupo mbali na mimi na pia huwa nikiwatongoza wasichana wengine huwa nawauliza kama huwa wanajua kufanya sex phone mara ya kwanza wanasema hawajui ila tukiaanza kufanya wanasema walikuwa wanafanya ata kabla ya hapo. Kwa mpenzi wangu anapenda sana hii tabia huwa ananishukru na kunisifu kuwa najua sana mapenzi, sasa issue ni kwamba kiukweli utendaji wangu katika tukio lenyewe naona kama hauko timamu sana kama mwanzo sasa natafuta jinsi ya kuacha maana hii tabia inanikwaza huwa nikimaliza kufanya huwa najutia sana haya maamuzi sasa mwaka wa 8 sasa nina miaka 27. Nisadieini mwenzenu lakini pia naona wadada wengi wanapendelea sijui ni mimi tu au ata watu wengine wanafa

MWAKA MMOJA TANGU MWANAYE AFARIKI, MAMA KANUMBA ATEMBEZA BAKULI LA MSAADA

Image
MAMA wa msanii nguli wa filamu nchini marehemu ‘Steven Kanumba’ Frola Mtegoa amesema yuko katika mkakati wa kuandaa filamu inayohusu maisha ya mwanaye kiasi cha kufikia hatua ya kuomba msaada ‘kutembeza bakuli’. Mama mzazi wa marehemu ‘Steven Kanumba’ Frola Mtegoa. Akizungumza na paparazi wetu mama huyo alisema kwamba, anapata wakati mgumu kukamilisha jambo hilo kutokana na kukwama na kutaka asaidiwe ili kufanikisha jambo hilo. “Nimekwama na nawaomba wadau wajitokeze kunisaidia nikamilishe hili, nahitaji msaada wa kifedha na hata ushauri,”alisema. Mama huyo alisema lengo la kuandaa kazi hiyo ni kutaka kufikisha ujumbe katika jamii kwa kuamini kwamba wengi watajifunza kupitia maisha ya mwanawe. Marehemu Steven Kanumba. Amemtaka yeyote ambaye atakayeguswa na jambo hilo asisite kuwasaliana naye na kumsaidia.               

Pope Francis afanya misa yake ya kwanza ya krisimasi toka awe kiongozi wa kanisa katoliki duniani

Image
Pope Francis celebrates the Christmas Eve Mass in St Peter's Basilica at the Vatican while thousands of worshippers watch the televised service Holding the crib effigy of the infant Jesus, Pope Francis delivered a service in which he encouraged people to open their hearts to God and their fellow man In his first Christmas service since becoming leader of the Catholic Church the Pope kisses a statue of the baby Jesus Pope Francis celebrated the service with over 300 cardinals and priests. The 77-year-old urged people not to be afraid to reach out to God Tonight's service is the only public Mass the pope will hold over Christmas. He is due to address worshippers on Christmas Day from the basilica's central balcony overlooking St Peter's Square Pope Francis carried the statue of the baby to a manger instead of enlisting an aide. He then kissed its knee in cel

RAMBIRAMBI MSIBA WA JAMES KISAKA

Image
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka (57) kilichotokea leo asubuhi (Desemba 25 mwaka huu) katika Hospitali ya Burhani, Dar es Salaam. Msiba huo ni mkubwa katika familia ya mpira wa miguu kwani Kisaka kabla ya kuwa kocha alikuwa mchezaji katika nafasi ya kipa. Mbali ya Simba, timu nyingine alizowahi kudakia ni Ndovu ya Arusha, Volcano ya Kenya na Small Simba ya Zanzibar. Akiwa mwanafunzi Shule ya Sekondari Tambaza jijini Dar es Salaam aliwahi kuchezea timu za Oysterbay Stars, Eleven Stars ya Msasani, Sigara wakati ikicheza Ligi ya Temeke na Nyota Nyekundu kabla ya kutua Simba. Pia alikuwemo kwenye timu ya Taifa ya vijana iliyokwenda Zimbabwe kwenye sherehe za uhuru wan chi hiyo mwaka 1980. Vilevile alikuwa mmoja wa wachezaji waliounda kombaini ya Tanzania ya UMISSETA akiwa na akina Said George, Nico Njohole, George Kulagwa na wengine. Hivyo mchango wake katika mchezo huu t

Zitto ‘awalipua’ Dk Slaa, Mbowe

Image
Mbunge wa Kigoma Kaskazini,Zitto Kabwe, amejibu mashambulizi kwa viongozi wa Chadema, kutokana na kile alichosema wanazunguka na kusema maneno yasiyo ya ukweli. Akihutubia maelfu ya wananchi waliokusanyika katika Uwanja wa Mwanga Centre, Kigoma mjini, alisema alichukua kadi ya uanachama wa Chadema mwaka 1993 wakati huo, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Wilbrod Slaa akiwa bado yuko CCM. "Wakati hao wenye midomo mikubwa wanaoongea sasa, walipokuwa wamekumbatia watawala, nyinyi mlikuwa mnapigwa mabomu kutaka mageuzi, eti leo wao wapinzani zaidi kuliko sisi na ndiyo maana hatuwezi kuwaachia. Hatuwezi kukubali, hatutoki, demokrasia ni mchakato na mwe

HIVI NDIVYO KAJALA ALIVYOFUMANIWA NA MUME WA MTU LIVE .... BONGO MAJANGAAZZ

Image
HUKU akiendelea kukanusha kutibua ndoa ya shoga’ke kwa macho makavu, mwigizaji wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja hivi karibuni amenaswa laivu akila bata na mume huyo wa shoga’ake huko nchini China. Kajala (kulia) akila bata na mume wa shoga yake nchini China. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Kajala amenaswa akijiachia kwenye kumbi mbalimbali za burudani nchini humo sambamba na mwanaume huyo. “Huyu mwanamke amewadanganya mashoga zake na ndugu zake huko Bongo kwamba amekwenda Zambia, mbona anaonekana huku akila bata na mume wa Sabrina?” kimehoji chanzo chetu. Chanzo hicho kimeendelea kudai kwamba  Kajala anatanua na mume wa shoga’ke huyo aitwaye Sabrina Kimaro bila ya kuona haya. Kajala Masanja. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Sabrina alisema kuwa hivi sasa kama amechanganyikiwa kwa kuwa kila siku anakunywa pombe ili kupoteza mawazo ya kuporwa mume na shoga’ake kitu ambacho hakukutegemea maishani mwake. “Kwa kweli naumia sana, awali kuna baadhi  ya watu wal

SALAMU ZA X- MASS TOKA PAPA FRANCIS

Image
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis. Leo ni sikukuu ya Krismasi inayoadhimisha miaka 2,013 ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo, ambapo mkuu wa Kanisa Katoliki, Baba Mtakatifu Francis, amewatolea wito Wakristo kufungua nyoyo zao na kupambana na nguvu za giza. Akiendesha misa ya mkesha wa Krismasi katika Kanisa la Mtakatifu Petro, ambayo ni ya kwanza kwake tangu kuchaguliwa kuongoza kanisa hilo lenye wafuasi bilioni 1.2 duniani, Baba Mtakatifu Francis amesema Wakristo hawapaswi kuachia ubinafsi kuyaongoza maisha yao. "Mungu ni nuru, na kwake hakuna giza lolote", alisema Papa Francis akinukuu kitabu cha Injili ya Mtakatifu Yahya, akiwasifu wachunga kondoo wa Uzawa, ambao alisema ni watu pekee walioshuhudia kuzaliwa kwa Yesu Kristo mjini Bethlehem "kwa kuwa walikuwa ni watu wa mwisho, masikini wanaote

LULU AMKANA, DIAMOND ATOA USHAHIDI WA "KUMCHAPA NAO" LULU ...

Image
STAA kiwango katika tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekanusha uvumi uliozagaa mitaani kuhusu kutoka kimapenzi na mbabe wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Elizabeth Michael ‘Lulu’. Nasibu Abdul ‘Diamond’. Imekuwepo minong’ono ya muda mrefu kitaani kuwa, Diamond analilia penzi la Lulu lakini Diamond au Sukari ya Warembo alipoulizwa kuhusu hilo, alisema siyo kwamba analilia tu bali waliwahi kutoka (haijulikani kwenda wapi) naye, madai yaliyotupiliwa mbali na Lulu. MADAI YA AWALI Habari zilizotua katika meza ya Risasi Mchanganyiko zinasema kwamba, wawili hao wanafanya kazi za kisanii pamoja (haikuwekwa wazi ni kazi gani kati ya filamu au muziki) lakini tatizo lililopo kati yao ni Diamond kumtaka Lulu. Chanzo kilichoomba hifadhi ya jina lake, kilifunguka: “Diamond anashindwa kuelewa, tatizo yeye kila mwanamke anataka kutoka naye. Mwenzake anajua yupo kazini, yeye anataka penzi, ndiyo mzozo uliopo kati yao.” Wema Sepetu. KAZI KWA DIAMOND