Posts

Showing posts from February 15, 2018

Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Aapishwa

Image
Rais John Magufuli amemuapisha Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Yakubu Hassan Mohamed. Luteni Jenerali Mohamed ameteuliwa jana Februari 14, 2018 kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ na kupandishwa cheo kutoka Meja Jenerali na kuwa Luteni Jenerali. Luteni Jenerali Mohamed anachukua nafasi ya Luteni Jenerali, James Mwakibolwa ambaye amestaafu. Mbali na uteuzi huo, Rais Magufuli pia amewapandisha vyeo kutoka Brigedia Jenerali na kuwa Meja Jenerali J.G. Kingu, M.S. Busungu, R.R. Mrangira, B.K. Masanja, G.T. Msongole, A.F. Kapinga, K.P. Njelekela, A.S. Bahati, M.E. Mkingule na S.S. Makona. Taarifa ilitotolewa Ikulu jana imesema mabrigedia jenerali wote waliopandishwa vyeo watapangiwa vituo vya kazi baadaye. Kabla ya kuapishwa kwa Luteni Jenerali Mohamed, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jenerali Venance Mabeyo aliwavalisha vyeo mameja jenerali waliopandishwa vyeo na Rais Magufuli.

NAFASI ZA KAZI PRECISION AIR SERVICES PLC

Image
Precision Air Services Plc is a fast growing private Tanzanian airline which operates in partnership with Kenya Airways, with its strategies to expand wings beyond East Africa and Africa. In order to keep our services at a higher level and meet our customers’ maximum satisfaction, we wish to invite applications from suitably qualified candidates to fill in this challenging positions. POSITION: PILOT IN COMAND ATR 42/72   REPORTS TO: FLEET CAPTAIN DUTY STATION: DAR ES SALAAM ROLE PURPOSE STATEMENT: To plan, supervise and execute company flights in accordance with legal and company policies and procedures for safe, efficient and economic conduct of flights. Duties and Responsibilities It is the responsibility of the PIC to ensure the safe and efficient operation of the aircraft in all stages of ground and flight operations. Plan, and supervise the execution of company flights in accordance with legal and company policies and procedures, authorized checklists

Nafasi za Kazi Medical Stores Department (MSD), February 2018

Image
Ref.No.EA.7 /96/01 /J/83  THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE  February 12, 2018 PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT  VACANCIES ANNOUNCEMENT President’s Office, Public Service Recruitment Secretariat on behalf of the Medical Stores Department (MSD), invites qualified Tanzanians to fill one (1) vacant post as mentioned below; 1.0 BACKGROUND  1.1 MEDICAL STORES DEPARTMENT ( MSD )  Medical Stores Department (MSD) is a semi-autonomous Department under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, established by Act of Parliament No.13 of 1993 with an objective of developing and maintaining an efficient and cost effective system of procurement, storage and distribution of health commodities required for use by the public and accredited faith based health facilities. MSD is at a very exciting stage of reforming its operations, systems and processes with the aim of becoming a highly effective supply chain organizat

Ajira: Wildlife Biologist/Ecologist Jobs, (WWF), February 2018

Image
JOB VACANCY  Wildlife Biologist/Ecologist  WWF (The World Wide Fund for Nature) is an international non-governmental organization that deals with conservation of nature through a number of environmental management programmes. Our mission is to stop the degradation of the Planet’s natural environment and to build a future in which human live in harmony with nature. WWF-Tanzania Country Office (WWF-TCO) is seeking to hire the ‘Wildlife Biologist/Ecologist” to be based in Tunduru.  I. Major Functions:  This is a field based position and responsible for studying the life processes of animals and their environment as well as wildlife population dynamics. Monitoring plant and animal habitats, determines which animals are affecting nature in a detrimental way, and helps restore and conserve animal habitats within the WMAs, buffer areas of Selous Game Reserve and the Selous-Niassa Wildlife Corridor. The officer will be the lead person for designing and conducting r

ESMA: SIPENDI KUMTEGEMEA DIAMOND

Image
D ADA wa mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Esma Khan amesema hapendi kumtegemea mdogo wake huyo katika shughuli zake licha ya kuwa anaamini anaweza kumsaidia sana. Akizun-gumza na Amani, Esma alisema siku zote anataka ajivunie mafa-nikio yake, atembee mwen-yewe na ndiyo maana hata alipofungua duka la nguo, hakutaka kumsumbua Diamond wala wifi yake, Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’. “Najua kabisa kaka yangu na wifi yangu wana watu wengi kwenye mitandao yao lakini nilitamani sana kwenye mafanikio yangu nisimame mwenyewe ili nijue changamoto zake, kweli nimeweza,” alisema Esma. Esma na Diamond ‘wanashea’ mama, kila mmoja ana baba yake.

Vyakula Kumi 10 Vya Kuongeza Kinga Ya Mwili

Image
Watu wengi tumekuwa tukijali kazi zetu za kila siku bila kujali hali ya afya zetu matokeo yake kumekuwa na ongezeko kubwa la vifo vya ghafla. Suala la kula pengine ndilo nguzo ya kwanza ya afya ya binadamu Mwili ukiwa sawia bila shaka utaweza kufanya mambo yako yote, na usipokuwa sawa basi hutaweza kutimiza lengo lako lolote! Hivi ni yakula kadhaa vinavyoweza kukusaidia kuongeza kinga ya Mwili wako 1.Yogurt ( Maziwa mtindi ) Hutengenezwa kwa kutumia maziwa ya ng’ombe na kimea, hupatikana kwa ladha mbalimbali kulingana na matakwa yako, yogati pengine ndio chakula kinachoongoza kwa kuogeza Kinga ya mwili wako. 2. Matunda Yanapatikana sehemu yoyote duniani kwa bei unazozimudu, katika mlo wako wowote jitahidi usiache kujumuisha angalau tunda la aina moja. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, matunda asiyekula matunda anahatari kubwa zaidi ya kupata magonjwa zaidi ya mlaji wa matunda. 3. Vitunguu saumu Hupatikana Kila soko Tanzania! Japokuwa vitunguu saumu vimekuwa

Breaking News: Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini Ajiuzulu

Image
HATIMAYE Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ametangaza kujiuzulu urais wa nchi hiyo usiku huu ikiwa ni siku chache baada ya chama chake cha ANC kuanzisha vuguvugu la kumng’oa madarakani. Akitangaza uamuzi huo, Zuma amesema asingependa damu imwagike na chama(ANC) kimeguke kwa sababu yake. ANC kikiongozwa na Cyril Ramaphosa, siku chache zilizopit kilituma ujumbe maalum kumtaka rais huyo kuachia madaraka, kutokana na harakati nyingi za kumtaka afanye hivyo tangu mwaka jana. Jacob Zuma anakabiliwa na tuhuma za rushwa na matumizi mabaya ya madaraka ambapo Bunge la nchi hiyo kujaribu kupiga kura za maoni ili kumuondoa lakini ilishindikana, ndipo chama kikafanya mkutano na kuchukua uamuzi huo mgumu wa kumtaka afanye hivyo, la sivyo kitamtoa kwa nguvu. Zuma amefuata nyayo alizopita rafiki yake mkubwa Robert Mugabe ambaye alikuwa Rais wa Zimbabwe, aliyetakiwa kufanya hivyo mwishoni mwa mwaka 2017 na jeshi la nchi hiyo, la sivyo lingetumia nguvu kumng’oa, na hatimaye kuac

Zari Atangaza Rasmi Kuachana na Diamond

Image
IKIWA ni siku ya wapendanao,  leo Februari 14, 2018, Mfanyabiashara maarufu Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Zarinah Hassan ‘Zari the Boss Lady ametangaza kuvunja rasmi mahusiano yake ya kimapenzi na Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Kupitia ukurasa wake wa Instagaram, Zari amefunguka kuwa kilichompelekea kufanya hivyo ni kutokana na Diamond kutokuwa mwaminifu kwenye mahusiano yao huku akibainisha kuwa kuachana katika mahusiano ya kimapenzi hakutaathiri uhusiano wao kama wazazi. Diamond ambaye alianza mahusiano na Zari takribani miaka mitano iliyopita baada ya kuachana na staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu, amezaa na Zari watoto wawili ambao ni Tiffah na Nilan huku pia akitajwa kuchepuka jambo ambalo limepelekea akazaa mtoto mwingine na mwanamitindo Hamissa Mobeto. Mbali na Mobeto, Diamond amekuwa akihusishwa kurudiana na Wema ambapo hivi karibuni walionekana kugandana kwenye hafla ya kutambulishwa kwa msanii Mbosso kwenye lebo ya WCB Wasafi.

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI TAREHE 15.02.2018

Image
                                     

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Image
             

Fangasi Sehemu za Siri za Mwanaume

Image
Watu wengi wanaamini kuwashwa sehemu za siri kunasababishwa na fangasi tu, ndiyo maana nimepata maswali ya wasomaji juu ya matibabu na jinsi ya kujikinga na fangasi kwa kuwa wanaamini muwasho unaowasumbua kwa muda mrefu ni matokeo ya maambukizi ya fangasi. Watu wanapaswa kufahamu kuwashwa sehemu za siri kunaweza kuwa dalili ya maradhi fulani ndani ya mwili wako pengine isiwe ni fangasi na ikawa ni mzio (allergy) tu. Mara nyingi muwasho sehemu za siri unaosababishwa na kitu huisha wenyewe kitu hicho kikiondolewa. Kuondolewa kwa kitu hicho kunatia ndani matibabu sahihi na kuendelea na njia bora za kujikinga kutopata maambukizi tena. Vitu vingine vinavyosababisha muwasho huhitaji matibabu ya hali ya juu zaidi. Ikiwa unawashwa kwa muda mrefu ni vyema kuzungumza na daktari. Kukaa na ugonjwa kwa muda mrefu kunaweza sababisha ugonjwa kusambaa mwilini na kuongeza hatari ya kifo. Nini husababisha Muwasho Sehemu za Siri za Mwanaume? Kuwashwa uume au sehemu zingine za s