Posts

Showing posts from June 9, 2017

Dalili za Madhara ya Tezi Dume

Image
Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe za uhai katika tezi la kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalozunguka mirija ya kupitisha haja ndogo( mkojo).Ugonjwa huu kwa sasa unaweza kuwapata vijana wa kiume kuanzia miaka 25 na kuendelea tofauti na awali ilikuwa miaka zaidi ya 50. Dalili za ugonjwa huu; Kwenda haja ndogo mara kwa Mara,hasa usiku. Haja ndogo Za ghafla zisizoweza kudhibitiwa. Mkojo unaotoka kwa udhaifu ama kwa kukatika katika . Damu kuchanganyikana na mkojo. Maumivu  yanaendelea kwenye maeneo ya mgongoni sehemu Za kiunoni,kwenye kinena au sehemu juu ya mapaja. Madhara yake: 1.Kupungua kwa uwezo kufanya tendo la ndoa.Pia kusikia maumivu wakati wa kufikia kilele Na kukosa amani au kuhangaika  wakati wa tendo la ndoa. 2.Uambukizo wa magonjwa kwenye kipofu 3.Uambukizo  mwenge njia ua mkojo au figo. Ndugu ugonjwa huu unaua hata wenye uwezo wa kifedha maana ni hatari sana chukua tahadhari sasa pia msaidie na mtu mwingine