Posts

Showing posts from April 1, 2014

ANGALIA RATIBA YA LIGI YA MABINGWA MECHI ZA LEO

Image
 

HII NDIO VIDEO YA NGONO ILIYOIGIZIWA BONGO

Image
  Hali inazidi kuwa mbaya katika nchi ya Tanzania baada ya kugubikwa na majanga mengi na kuchafua jina la nchi yetu asa ili madawa ya kulevya.hivi karibuni kumeibuka wimbi la vijana kujiingiza kwenye vitendo vya  ngono. Katika kudadavua na kupekenyua tumeweza kukutana na CD za ngono tena zilizofanywa na vijana wetu wa kitanzania bila kujali maadili ya nchi yetu vijana wamethubutu kuingia location na kufanya mkanda wa ngono na kuingiza mtaani na kuuza bila kuogopa maadili ya nchi yetu Jina la kampuni hiyo kama unavyoanza mkanda unasomeka VIDEO ENTERTAIMENT inawaletea bongosex from tz bila uoga wanachafua jina la nchi yetu Hii Aibu sasa bongo tumefikia kufanya filamu za ngono bila kujali magonjwa <<BOFYA HAPA KUONA PICHA YA KASHA YA MOVIE IYO>> Kuangalia video bofya hapo chini ila ni lazima uwe na umri zaidi ya miaka 18 <<BOFYA HAPA 1>> <<BOFYA HAPA 2>> <<BOFYA HAPA 3>> <<BOFYA HAPA 4>>

MBWA WA UBALOZI WAMLA MTOTO!

Image
NI vigumu kuamini kilichotokea lakini ndivyo ilivyokuwa! Mtoto Christian Alex (6) ameuawa kikatili kwa kuliwa na mbwa wanaodaiwa kuwa ni wa Ubalozi wa Qatar nchini Tanzania unaoongozwa na Balozi Jassim Mohammed Mubarak Daruwesh. Mtoto Christian Alex enzi za uhai wake. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Machi 26, mwaka huu Jangwani Beach, Kunduchi jijini Dar es Salaam ambapo mtoto huyo alishambuliwa na mbwa wa kigogo huyo alipokuwa na baba yake jirani na nyumba hiyo ya kupanga yenye nyumba nyingine mbalimbali (apartment). MAELEZO KWA UFUPI Inaelezwa kuwa, baba wa marehemu pia anaishi kwenye moja ya nyumba hizo akifanya kazi ya kutunza mazingira endapo mpangaji mmoja anahama. Wote wanaoishi humo wanatumia mageti mawili tu, kuingia na kutoka. Mama wa mtoto Christian Alex akiwa amezimia wakati mwili wa mwanae unazikwa BABA WA MAREHEMU ASIMULIA Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi kwenye msiba uliogubikwa na vilio na simanzi, baba wa mtoto huyo aliyejit

MTOTO WA AJABU JIJINI DAR...HIVI NDIVYO VITU VYA KUSHANGAZA ANAVYOWEZA KUVIFANYA

Image
    Mkazi wa Mbezi-Kibanda,  Andrea Marcus.   AMA   kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Farao, Andrea Marcus (13), mkazi wa Mbezi-Kibanda cha Mkaa, Dar anadaiwa kuwa wa ajabu kutokana na vitendo vyake. Mtoto huyu amedaiwa kuwa ni wa kichawi kutokana na maajabu yafuatayo:   Ana uwezo wa kula ubwabwa sufuria moja la familia, anamudu kunywa maji ndoo moja, ana uwezo wa kuingiza tumboni mikate mikubwa saba kwa mlo mmoja,  amewahi kula mchele (si ubwabwa) ndoo nzima. Mbaya zaidi baada ya kula milo hiyo huwa haoneshi ameshiba. Maajabu mengine ambayo yanawashangaza watu wanaoishi naye ni jinsi anavyokula chakula kwa kumwaga chini kisha kukomba mpaka udongo. “Sina amani ya moyo, naomba Watanzania wanisaidie, mwanangu ananiuma sana, hata kujisaidia ni hapohapo, chakula anakula kupita kiasi, kama nilivyosema hashibi na bado hali kama mwanadamu wa kawaida,” alisema mama wa mtoto huyo. Akizungumzia madai ya uchawi, mama huyo, Angelina Marcus alisem

HUJAFA HUJAUMBIKA"HAYA NI ZAIDI YA MATESO"

Image
KWELI ni zaidi ya mateso! Ukisema we unaumwa lakini unapata usingizi, kumbe hujawaona wagonjwa wenyewe! Mtoto Neema Joseph (2) anateseka kwa ugonjwa wa jicho ambalo limefumuka na kutoka nje huku likitoa harufu kali na maumivu yasiyo na mfano, Uwazi lilimtembelea. Mtoto Neema Joseph (2) akilia kutokana na maumivu makali ya jicho. Mtoto huyo anayelia wakati wote kutokana na maumivu, anaishi na mama yake mzazi, Annastazia Yohana (28) kwenye Kijiji cha Bugomba, Kata ya Bulungwa wilayani Kahama, Shinyanga. Akizungumza na Uwazi huku akimwaga machozi kwa uzito wa tatizo la mwanaye, mama Neema alisema hali yake ya maisha kiuchumi ni mbaya, hasa kufuatia kufiwa na mumewe, Josephat miezi tisa baada ya kujifungua mtoto huyo huku akiwa analea watoto wenginewawili. SIKIA KILIO CHA MAMA NEEMA “Tangu mume wangu afariki dunia nimekuwa na maisha ya shida, sina msaada kwani hakuna ndugu wa mume wala wangu wenye hali nzuri ya maisha na walio tayari kunisaidia kubeba mzigo