Posts

Showing posts from July 20, 2013

PICHA ZA MAPOKEZI YA WANAJESHI WALIOUAWA HUKO DARFUL SUDAN

Image
  Miili ya wanajeshi saba mashujaa wa Tanzania waliofariki wakiwa kazini wakitekeleza ulinzi wa amani wa kimataifa katika mkoa wa Darfur nchini Sudan, imewasili leo kwa ndege maalumu ya Umoja wa Mataifa. Kaimu Mkurugenzi wa habari wa JWTZ, Meja Joseph Masanja amesema miili hiyo imewasili leo Jumamosi majira ya saa 9.45 alasiri katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JNIA na imehifadhiwa katika hospitali ya jeshi ya Lugalo hadi Julai 22 ambapo itaagwa rasmi. Miili iliyowasili ni ya Sajenti Shaibu Othuman, Koplo Oswald Chaula, Koplo Mohamed Juma, Koplo Mohamed Chikilizo, Pte. Rodney Ndunguru, Pte. Peter Werema na Pte. Fortunatus Msofe. Shughuli za kuagwa miili ya wanajeshi hao zitafanyika katika viwanja vya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga taifa vilivyoko Upanga jijini Dar es salaam. Kuwapoteza wanajeshi hawa ni la kwanza na kubwa kwa nchi ya Tanzania tangu Tanzania ilipoanza kuchangia walinzi wa amani chini ya Umoja wa Mataifa mwaka 2007. Wanajeshi wengine watatu wa

AIBU:VIDEO YA AFISA USALAMA ALIYEMFUNIA MKEWE AKISAGANA NA MWANAE:

Image
VIDEO_HII_NI_KWA WATU WAZIMA TU NDIO WANARUHUSIWA KUANGALIA HAPA: http://ANGALIA VIDEO HAPA skendomtaani.blogspot.com/2013/06/video-ya-afisa-usalama-aliyemfunia.html

ANGALIA PICHA KANYE WEST AKIMTEMBEZEA KICHAPO PAPARAZI

Image
Habari Mpya : Kanye was on his way out of the airport when he went ballistic, attacking a member of the paparazzi at LAX...and TMZ caught it on tape

PICHA MWIGURU NCHEMBA AKIWA NA FAMILIA YAKE NYUMBANI KWAKE

Image

NEEMA TENA KWA MR. NICE APATA SHAVU JINGINE NCHINI KENYA BAADA YA KUTEMWA NA GRANDPA

Image
Ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja toka staa wa Bongo Luca Mkenda aka Mr Nice apoteze nafasi ya kufanya kazi na label ya GrandPa ya Kenya kwa shutuma za uvivu, kushindwa kutoa ushirikiano na ukiukaji wa mkataba hatimaye mlango mwingine umefunguka kwa nyota huyo wa ‘Kikulacho’. Mr Nice ambaye bado yuko Kenya anatarajia kujiunga na label nyingine nchini humo ‘Candy Records’ ambayo ina miezi michache toka ianzishwe.  Kwa mujibu wa CEO wa label hiyo John Kariuki aliyekuwa akizungumza katika ufunguzi rasmi wa label hiyo jijini Nairobi, alisema wako katika hatua za mwisho kukamilisha mpango wa Mr Nice kusain mkataba nao kama ilivyoripotiwa na Niaje . Label hiyo tayari imesha wasain wasanii kadhaa wa Afrika Mashariki akiwemo hit maker wa ‘Ulofa’ Top C wa Tanzania, pamoja na wengine kutoka Kenya.

BAADA YA MANGE KUMUANDIKA SINTAH-SINTAH NAE JANA KAJIBU HAYA HAPA CHINI

Image
IJUMAA YA MAJANGA "Hellow Wadauzii  Naombeni niwaambie binafsi mimi nipo pouwa kabisa, na sijachukua mkopo popote na huyo aliosema nimechukua mkopo naomba atoe hizo documents ili nyie wawadau wetu mjue kama ni kweli ama sikweli , mengine me naona ni kawaida binaadamu anaongea yake na kusema mtu katukaniwa mtoto wake ktk commnent ni mimi niliotuma comment yeye si ni bingwa wa kujua IP Adress or whatever si aangalie amjue nani anayemsakama na mwanae,  besides huyo dada kuna kama miaka mnakumbuka alimtoa mtoto wa Adeline Mushi na kusema kampeleka mama yake jela hivyo poor girl asiekuwa na baba atateseka akilia mama maana hana wa kumlipia school fees?? yeye adeline kwani alijisikiaje mtoto wake kuwa subject ktk blog, kama wana mambo yao wangemaliza wenyewe not kumuhusisha mtoto so msinipe lecture ya kuniambia why i did so? besides mimi sio malaika kuna wakati comments zina jaa na nashindwa kuangalia nikiwa na mambo mengi  ni mih

BBA: MSHIRIKI WA TANZANIA ( NANDO) HUENDA AKASHITAKIWA KWA KOSA LA KUMDHALILISHA MSHIRIKI WA KIKE TOKA GHANA

Image
Mshiriki wa pekee katika Jumba la BBA The Chase , Selly kutoka nchini Ghana, amesema ya kwamba yupo mbioni kumfungulia mashtaka mshiriki kutoka nchini Tanzania Nando kwa kitendo cha kumdhalilisha na kumsingizia amemuambukiza Ugonjwa wa Zinaa. Baada ya kutolewa katika jumba hilo wiki iliyopita, Selly ameshauriwa na mama yake na tayari wamewasiliana na Waandaji wa Shindano hilo. " Nimepima  sijakutwa na maambukizi ya aina yoyote ya Magonjwa ya Zinaa wala sina historia hiyo" Alisema Selly. " Mimi na Nando hatukufanya Mapenzi zaidi ya kucheza tu Kitandani, nashangaa hata kwa kiasi gani mambo yamekuwa hivi" Aliongeza Mrembo huyo.

CHRISTOPHER GEORGE YOHANA NI ASKARI WA TANZANIA ALIYETEKWA NA WAASI WA M23

Image
Waasi wa M23 wa DR Congo, wanadai kuwa wamemkamata askari wa Tanzania anayeitwa Christopher George Yohana, wakati akishirikiana na waasi wa Rwanda (FDLR) wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya Watusi mwaka 1994. Waasi hao wa M23 wameweka picha ya passport ya mateka huyo kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter.  Kwa mujibu wa chimpreports.com, M23 wameripoti kumkamata askari huyo akiwa na bunduki aina ya AK47 yenye serial number 1372. Ifuatayo ni kauli ya M23 waliyoweka Facebook ikiambatana na picha hiyo: “leo Fdlr zikiongozwa na askari toka Tanzania zilivamiya Positions zetu pale Kinyadonyi Na Nkwenda huko Rutshuru. Zilikuta Vijana wanazisubiri, walizicapa na kuzikimbiza alafu zikaaca Askari wa Tanzania Nyuma tukamunasa, ivi tuko naye tuko na mupa cayi na mukate anywe.  Serikali ya tanzania isiwe na hofu hatutamufanya kitu, tutamucunga muzuri. sisi hatuko kama wale wa criminals wa FARDC ambao wanatukanaka hata maiti, na wenye Wanabaka

MUME AZIMIA BAADA YA MKE WAKE KUNASWA AKIJIUZA

Image
  Mume na mke wakiongea Seleman Yasin (78), mkazi wa Mtaa wa Mtamba, Msasani jijini Dar es Salaam, juzi Alhamisi alizimia  baada ya kupata taarifa za mkewe, Saida Abdalah ‘Mama Hamisi’ (21), kunaswa kwa tuhuma za ukahaba na kupandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Jiji. Imedaiwa mahakamani hapo kuwa Mama Hamisi alinaswa kwenye msako wa machangudoa uliofanyika usiku wa kuamkia juzi maeneo ya Buguruni. Akiwa kizimbani, Mama Hamisi alisomewa shitaka la kujiuza na mwendesha mashitaka wa mahakama hiyo, Richard Magodi mbele ya Hakimu Timoth Lyon. Baada ya kusomewa shitaka lake, Mama Hamisi na makahaba wengine 13, walikana kufanya biashara hiyo kesi ikaahirishwa hadi Julai 31, mwaka huu.  mume akichambua nguo za mkewe Hakimu Lyon aliwaambia washitakiwa kuwa dhamana iko wazi ndipo akatokea mume wa Saida ‘Baba Hamisi’ na kujitambulisha kisha kuanza kuhangaikia dhamana ya mkewe ambaye wakati huo tayari alikuwa nyuma ya nondo.   “Yaani we Mama Hamisi kila siku un

PICHA ZA WATAALAM WA IT WALIOKUWA WAKIFANYA PROJECT KWA SIKU MBILI KATIKA CHUO KIKUU ZA USHIRIKA.(MUCCOBS)

Image
 Hawa ni watalaam wa social network, toka kulia ni Lema, Taikun na Godjifty.  mtaalamu Phars akiwapongeza vijana kwa kukuamilisha kazi yao, ni Jackiline na Steve  Nemesi akiwa ameshikilia kitabu chake cha project na cd kabla yakukabidhi  Mr. Gurisha akiendelea kufuatilia shughuli nzima ikiendelea na akiwa anatafakari kwa kile alichokiwasilisha  Kijana Nicholus aikwa amepumzika mara baada ya kuwasilisha project yake k  Toka kushoto ni Edgar, Raphel na Haji wakifutilia kwa makini shughuli nzima  tukiwa katiaka hali ya umakini zaidi pale watu walipokuwa wakiwasilisha kazi zao  Bi. LEMA na DK. MWENDE WAKIWA WANA BADILISHANA MAWAZO KWA KAZI NZIMA, Ambapo bi Lema alipongeza kwa kazi zote na pia kuwapa moyo wasiishie hapo kwani anataka kuona wakina Bill Gate wengine toka ushirika  Huyu ndie programmer na Coordinator wa IT akiajribu kurudishia mizigo yake mara baada ya kazi kukamilika  Lucas akiwa na Eliza katika pozi la pamoja mara baada ya presentatio