Posts

Showing posts from January 23, 2017

AJALI YA BASI LA KIMBILINYIKO NA GARI DOGO YAPOTEZA MAISHA YA MTU MMOJA

Image
Basi la abiria mali ya Kampuni ya Kimbilinyiko lenye namba za usajili T 440 DCW likiwa limegongana na Gari ndogo aina ya Nissan Hardbody pickup yenye namba za usajili SU 37965, katika ajali iloyotokea jana jioni eneo la Miseyu, Barabara kuu ya Morogoro - Dar es salaam. inadaiwa mtu mmoja alipoteza maisha na wengine kujeruhiwa. chanzo cha ajali hakikuweza patikana kwa haraka.Picha na Josephat Mmbando. Gari hizo zinavyoonekana kufuatia ajali hiyo. Sehemu ya Mashuhuda pamoja na abiria waliokuwemo kwenye basi hilo.