Posts

Showing posts from January 5, 2014

BREAKING NEWZZZ: BOTI YA KILIMANJARO 2 YANUSURIKA KUZAMA NUNGWI

Image
  Breaking Newss Taarifa zilizotufikia hivi punde kutoka chanzo chetu cha habari kinasema boti ya MV Kilimanjaro II mali ya Bharlesa imepigwa na dhoruba maeneo ya kisiwa cha Nungwi imekosakosa kuzama ikiwa inatoka Pemba kuelekea Unguja kwa mujibu wa mtoa habari wetu ni kwamba kuna Abiria wengine wameachwa baharini pamoja na mizigo mingine kutokana na Boti hiyo kupigwa na wimbi kubwa na kuyumba na kujikuta kuwadondosha abiria pamoja na mizigo katika bahari kwa sasa boti hiyo inaendelea na safari, mabaharia wa Boti hiyo wamejitahidi wamewarushia maboya abiria hao ambao inasadikiwa ni zaidi ya kumi ambao wamewaacha eneo hilo chafu karibu na kisiwa cha Nungwi eneo ambalo ni chafu sana kwa vipindi mbali mbali katika bahari ya Hindi, tatizo la ajali hiyo inasadikiwa ni kutokana na upepo mkubwa uliotokea maeneo hayo na si Boti hiyo kujaza abiria kwa mujibu wa mtoa habari wetu. Hapo juu ni taarifa za uwezo wa abi

BONGO MOVIES WAPATA VIONGOZI WAPYA-STEVE NYERERE ALA SHAVU KUBWA

Image
Kundi la Bongo movie unity limepata  uongozi mpya wa club hapa nchini hapo jana baada ya kufanyika kwa uchaguzi wake kwenye viwanja vya leaders kinondoni jijini Dar es Salaam. Katika uchaguzi huo viongozi wapya walichaguliwa ni; Mwenyekiti.  Steven Nyerere. Makamu mwenyekiti : Mahsein awadhi "Dr cheni" Katibu mkuu:  William Mtitu Katibu mkuu msaidizi : Devotha mbaga  Mtunza hazina: Issa musa “cloud"  Msaidizi wake ni:  Cathy rupia

JAGUAR MSANII WA KENYA AZUA UTATA BAADA YA PICHA ZAKE 6 KUSAMBAA AKIWA KATIKA MAVAZI YA MAGEREZA HUKU AKIWA CHINI YA ULINZI

Image
Picha hizi 6 zimefanya watu wengi haswa mashabiki wa muziki ndani na nnje ya kenya kutaharuki kwakuamini kuwa msanii wao kipenzi kakumbwa na msala na kwenda jela. Maswali yalikuwa mengi na  kuzua mshtuko kwenye internet kwamba Jaguar ameshikiliwa na polisi lini na ilikuwaje hadi kwenda jela?. Baada ya kashi kashi hiyo kuzidi jaguar aliona awaondowe mashabiki zake wasi wasi kwani ni kama watu walipagawa kuona kipenzi chao kipo jela na hawaijui sababu ndipo alipotoa jibu na Jibu lake ni kwamba msanii huyu anajiandaa kutoa kazi mpya inaitwa “Kioo”. Thesuperstarstz ilimtafuta msanii huyo na kumuuliza kulikoni ambapo alikiri kweli kuingia jela ila si kama mtuhumiwa bali ni kwaajili ya kazi....Unajua mimi ni msanii na huwa nafanya vitu ya maisha haswa kwa watu wote ni kweli nilikuwa jela ila ni kwaajili ya kazi na si kama nilikosea kitu no ni kwasababu niliona ilikupata video nzuri ya wimbo wangu huu ni vizuri ikawa na mandhari ya jela ndio sababu iliyonifanya ni

BONGO MAJANGAZZZ .. PICHA ZA UTUPU ZA MSANII HUYU SUPERSTAR WA BONGO MOVIE ZAVUJA

Image
Sasa ni Zamu ya  Esha Salimu Buheti  Aliyecheza  Movie za Mrembo Kikojozi , Kisasi   cha Utata  na  Samantha Huyu demu ni Staa wa Bongo Movie ila anajulikana sana kwa kupiga picha za utupu. Hapo alikua mtandao wa BBM akawa anachat na mtu wa Marekani madai yake ndio buzi sijui tuite ng`ombe basi kwa kutaka kumdatisha jamaa akawa anamrushia mapicha yake ya utupu......kama unavyoyaona

WIVU WA MAPENZI ULIVYOUA WENGI 2013

Image
 Christina Alfred akiwa amejipumzisha nyumbani kwao Ilala baada ya kutoka hospitali kutibiwa jeraha la risasi. Picha ya Maktaba Tumefunga mwaka 2013, milio mingi ya risasi ilisikika, watu walipigwa mapanga,  wengine kunywa sumu kutokana na kukithiri kwa matukio mbalimbali yanayoambatana na visa na visasi vya wivu wa mapenzi yaliyojeruhi hata kupoteza maisha ya watu. Matukio ya wivu wa mapenzi yalikithiri miongoni mwa jamii katika mwaka uliopita, hali iliyojenga hofu na kuondoa furaha ya kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi. Wachambuzi wa masuala ya uhusiano wanasema kuwa hatua hiyo inatokana na idadi kubwa ya wapenzi kukosa uaminifu, kutokana na tamaa ya fedha, udhaifu wa kingono, tendo la ndoa, kasumba, tamaa za kimwili na mambo kama hayo. Baadhi ya takwimu za matukio hayo zinaonyesha kuwa kwa Mkoa wa Tanga pekee kuanzia Januari hadi Agosti mwaka jana, watu 16 waliuawa katika matukio 377 ya wivu wa mapenzi, baada ya kukamatwa ugoni. Mbali na takwimu hizo, ipo baa

MADEMU WA KIBONGO NI MAJANGAZZZ ... IONE MITEGO YAO, NI SHIDAAAA

Image
 Jamani hawa wadada hawana hata haya kabisa ,utadhani mishipa ya aibu imekatika! kuweni wastaarabu

MISS TANZANIA ACHEZA MKANDA WA X ... MAMBO YAVUJA, HADHARANI ...IONE HAPA

Image
    Hapa Miss Tanzania akimlazimisha mwanamuziki huyo kumfanya tendo kinyume na maumbile.   Mwanamuziki huyo akiendelea kumsurubu mrembo huyo sehemu za haja kubwa maarufu kwa majina ya Tigo au Sauna, nk   Hapa mrembo huyo akiwa na mzuka mkubwa wa kufanya tendo hilo kinyume na maumbile. Hapa kwenye shuka kukiwa na alama ya kinyesi alichokiachia mrembo huyo baada ya kuharibiwa vibaya wakati wakifanya tendo kinyume na maumbile. Hapa  mrembo huyo akisikia moto unawaka sehemu za haja kubwa  hadi kunyanyua mguu juu ili apulizwe na AC baada ya kufanyiwa tendo hilo zaidi ya nusu saa .. Shebo Lili Wyne wa Bongo ambae amecheza filamu hiyo ya Ngono na Miss Tanzania, chini ni Lili Wyne wa Mrekani Credit: Xdeejayz

MOTO WATEKETEZA NYUMBA 14 KATIKA KIJIJI CHA SHUMBA MJINI WILAYA YA MICHEWENI, ZANZIBAR

Image
  Moja kati ya nyumba 14 katika Kijiji cha Shumba Mjini Wilaya ya Micheweni zilizotoathirika kwa moto mkubwa ulitokea majira ya saa 5.00 asubuhi Jumapili hii huku wakaazi wake wakichanganyikiwa kutokana na maafa hayo.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba Afande Shehani Mohamed Shehani akitoa tathmini ya awali ya uchunguzi wa moto uliotokea Shumba Mjini mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif aliyefika kijijini hapo kuwapa pole wananchi walioathirika na maafa hayo. Kulia ya Balozi Seif ni Mwakilishi wa Jimbo la Micheweni Mh. Subeit Juma Khamis na kushotoni kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini pemba Mh. Dadi Faki Dadi na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Kanal Mstaafu Juma Kassim Tindwa.   Baadhi ya wananchi 100 ambao nyumba zao 14 zimeathirika na vibaya na moto katika Kijiji cha Shumba Mjini wakipata hifadhi kwenye madrasa moja Kijijini hapo. Moja kati ya nyumba 14 zilizoathirika na moto katika kijiji cha Shumba Mjini ambapo wakaazi wake