Posts

Showing posts from December 9, 2013

SAFARI YA KINANA, MAKAMBO-DAR KWA TRENI

Image
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akipanda behewa na wasaidizi wake, Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiani wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro (katikati) na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (juu), wakati yeye na msafara wake waliposafiri kwa treni kwa zaidi ya saa 22, kutoka Stesheni ya Makambako na kuwasili Dar es Salaam, saa 12, 30,  Desemba 9, 2013,  kwa  teni ya Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA), mwishoni mwa ziara yake ya zaidi ya siku 22, ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za Wananchi na kujadiliana nao njia ya kuzitatua, katika Mikoa ya Mtwara, Ruvuma, Mbeya na Njombe. Treni ilitoka Makambako jana saa 2.30 asubuhi.  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akishuka kwenye behewa  na wasaidizi wake, Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiani wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro (katikati) na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (juu), kukagua stesheni ya Mlimba, mkoani Morogoro, wakati yeye na msafara wake waliposafiri

ANGALIA PICHA: HAWA NDIYO WATOTO WAKIKE WA MAREHEMU NELSON MANDELA.

Image
Mandela's daughter Makaziwe MZindzi Mandela seen leaving her hotel on December 6, 2013 in Londonandela-Amuah, centre, and her daughters Tukwini and Ndileka, right,  USISAHAU KULIKE UKURAS AWETU WA  FACEBOOK

ANGALIA PICHA: HAWA NDIYO WATOTO WAKIKE WA MAREHEMU NELSON MANDELA.

Image
Mandela's daughter Makaziwe MZindzi Mandela seen leaving her hotel on December 6, 2013 in Londonandela-Amuah, centre, and her daughters Tukwini and Ndileka, right,  USISAHAU KULIKE UKURAS AWETU WA  FACEBOOK

MSHINDI WA TUSKER PROJECT FAME MWAKA HUU

Image
Mshiriki Hope toka Burundi amejikuta akianguka chini kwa mshituko wa furaha ulimkuta baada ya kuibuka kidedea kwa kutangazwa mshindi wa Tusker Project Fame na kujinyakulia kitita cha Shilingi 5,000,000/= za Kenya. Mashindano hayo yaliyomalizika Jana yamemwacha Hope katika taharuki huku akiwabwaga wenziye; Hisia (Tanzania), Patrick (Rwanda),Wambura (Kenya), Daisy (Uganda),Amos & Josh wa Kenya. Sauti ya pekee ya kijana huyo imeibua thamani yake katika tasnia ya muziki,Hope hakuwahi kufanya video shooting ya wimbo wowote zaidi ya ule uliompatia ushindi wa Tusker.