Posts

Showing posts from August 10, 2017

RC Makonda ametangaza Walemavu DSM kupewa miguu ya bandia bure

Image
Paul Makonda  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, akionyesha mfano wa miguu ya bandia leo jijini Dar es salaam. Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amefanikiwa kupata miguu ya bandia itakayoweza kuwasaidia wananchi wenye mahitaji. Miguu hiyo yenye thamani ya Shilingi Milion 800 itatolewa bila malipo kwa wananchi waliopata ajali na kushimdwa kupata miguu hiyo kutokana na kushindwa kumudu gharama za kununua miguu hiyo ambapo mguu mmoja unagharimu Milion tatu. Kwa mantiki hiyo amewatangazia wananchi wote wenye mahitaji ya miguu ya bandia na hawana uwezo wa kumudu gharama kufika ofisini ya mkuu wa mkoa siku ya Jumatatu na Jumanne kwaajili kukutana na wataalamu wa miguu watakaochukua vipimo kwaajili ya kutengenezewa miguu kulingana na maumbile yao. Amesema miguu hiyo ya watu 200 itatolewa kwa awamu hii ya kwanza ambapo kama mahitaji yatakuwa makubwa na wafadhili wakaongezeka itatolewa tena kwa awamu nyingine lengo likiwa ni kuwasaidia wananchi kutotumi

KIBITI: Wahalifu 13 wauawa na Jeshi la Polisi

Image
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Operesheni Maalumu za Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Liberatus Sabas kuhusiana na tukio la kuuawa wahalifu 13 katika majibizano ya risasi baina ya Polisi na wahalifu hao katika eneo la Tangibovu, Kijiji cha Miwaleni Kata ya Mchukwi, Tarafa ya Kibiti. Chini ni silaha  8 aina ya SMG pamoja na vifaa vingine zilizopatikana katika majibizano hayo. – Picha na Jeshi La Polisi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,  IGP Simon Sirro  akionesha makasha ya risasi (magazine) ambazo  ni miongoni  mwa makasha 8 yaliyokuwa yakitumiwa na wahalifu  katika eneo la Tangibovu, Kijiji cha Miwaleni Kata ya Mchukwi, Tarafa ya Kibiti. Wa kwanza kushoto  ni Kamishina wa Polisi Jamii (CP) Mussa Alli Musa akifuatiwa na  Mkuu wa Operesheni Maalumu za Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Liberatus Sabas. Katika tukio hilo Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwaua wahalifu 13 ambao wal

21 VACANCIES AT MANAGEMENT AND DEVELOPMENT FOR HEALTH (MDH), AUGUST 2017

Image
Management and Development for Health (MDH) is a non for profit Tanzanian organization that focuses primarily on making contribution to the nation in addressing public health priorities through evidence based interventions, education and research. (MDH) supports the Government of Tanzania through the municipal councils of Ilala, Temeke, Kinondoni, Ubungo and Kigamboni in implementation of the program on HIV/AIDS Care and Treatment and monitoring of people living with HIV/AIDS (PLWHA). In order to strengthen the care and treatment of PLWHA in Dar es Salaam, MDH on behalf of the above mentioned Municipal Councils seeks to employ the following staff: 1. CLINICAL OFFICER (4) Reports To: Site Manager Job Purpose Perform the task as Clinician for the HIV/AIDS Clinic under the supervision of the Site Manager Qualification and work experience: The Clinician should be a holder of Diploma in Clinical Medicine from a recognized institution; he/she should have an e

JOBS AT THE MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION

Image
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION VACANCY FOR THE POST OF MEMBERS OF THE SURFACE AND MARINE TRANSPORT REGULATORY AUTHORITY (SUMATRA) 1.0 Background The Surface and Marine Transport Regulatory Authority (SUMATRA) was established by Act No. 9 of 2001 and came into force on 15th August 2004 by Government Notice No. 297 of 20th August 2004. The Board of Directors of SUMATRA is a governing body established under Section 7 of the Surface and Marine Transport Regulatory Authority Act, Cap. 413. The Board is charged with the duty to give directions to the management as to the smooth operations and fulfillment of the objectives of the Authority. The tenure of, five (5) sitting Board Members is to. expire’ in December, 2017. The Chairman of the SUMATRA Nomination Committee who is also the Permanent-Secretary, Ministry of Works, Transport and Communication (Transport), invites Tanzanian

HESLB: ONLINE LOAN APPLICATIONS 2017/2018

Image
HESLB has officially started to receive electronic Loan applications through OLAMS for Academic year 2017/18 Welcome to the Online Loan Application and Management System. ONLY Tanzanian Nationals are eligible to apply for higher education loans. Kindly provide TRUE information about yourself and complete all directives to submit your application package. Applications for 2017/18 Academic Year will be accepted from 6th-August-2017 and the deadline will strictly be 4th-September-2017 at 23:59 Hours. 1. Kindly read the Guidelines for Issuance of Loans for 2017/2018 before applying; Download 2. Click Apply for Loan for registration using your Form IV Index Number; 3. After Providing and confirming your form Four Index number, you will receive your Control Number (99111xxxxxxx), 4. Use the generated Control Number to Pay a Non-Refundable Application Fee of TZS 30,000.00 (Pay in-full, NOT by Installm

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI.

Image
Serikali inatarajia kuajiri Walimu 92 wa Shahada na 174 wa Stashahada wa masomo ya Fizikia, Hisabati, Kilimo na Biashara kwa Shule za Sekondari na Walimu 2,767 wa Cheti kwa Shule za Msingi. Waombaji kwa shule za Sekondari wawe waliohitimu mafunzo ya Ualimu mwaka 2016 au kabla, na wale wa Shule za Msingi wawe waliohitimu mafunzo yao mwaka 2014 au kabla.  Sifa za Waombaji: Walimu wa Sekondari: Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo moja la kufundishia au zaidi au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo moja la kufundishia au zaidi pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali. Masomo ya kufundishia ni kati ya Fizikia, Hisabati, Kilimo au Biashara. Stashahada ya Ualimu katika masomo yaliyoainishwa kwenye kipengele Na. 2.1 (i) hapo juu. Cheti cha Kidato cha Sita Cheti cha Kidato cha Nne Walimu wa Shule za Msin

50 EMPLOYMENT OPPORTUNITIES AT THE UNIVERSITY OF DODOMA (UDOM) 2017

Image
  The University of Dodoma invites applications from suitably qualified Tanzanians to fill the following academic positions:- 1.0 Position: Lecturer: PUTS 3.3 (1 Position) School of Environmental Sciences and Technology: One (1) position in Environmental Sciences/Engineering. 1.1 Required qualifications (i) Holder of a PhD degree from recognized institution plus a Master’s degree with a GPA of 4.0 and above and an Upper Second Bachelor Degree with a GPA of 3.8 and above for classified degrees and for unclassified degree an overall performance of B+ grade or above. Both Master’s and Bachelor’s degrees must be obtained from recognized institutions 1.2 Duties and responsibilities (i) To teach undergraduate and postgraduate courses; (ii) To supervise research, theses and dissertation of postgraduate students; (iii) To supervise practical training of undergraduate students; (iv) To conduct research, consultancy and public service; (v) To perform any other duties a