Posts

Showing posts from June 25, 2014

HIZI NI SABABU ZA WANAUME KUOTA MATITI

Image
Kitaalamu, tatizo hilo hujulikana kama ,gynecomastia nalo ni kukua kuliko kawaida kwa tishu ya kwenye titi inayojulikana kamaglandular tissue. Ni nadra kujitokeza, lakini kwa siku zakaribuni baadhi ya wanaume wana maziwa kama walivyo wanawakeTatizo la kuota matiti kwa wanaume na watoto wa kiume limekuwa kubwa katikadunia ya leo. Inawezekana wakati unatembea njianiukaona wanaume au watoto wadogo wa kiume wakiwa na matiti tena makubwaambapo watu wengi  huchukulia kama ni kawaida. Kitaalamu, tatizo hilo hujulikanakama, gynecomastia nalo ni kukua kuliko kawaida kwa tishu ya kwenye titiinayojulikana kama glandular tissue. Tatizo hili huonekana zaidi kwa watotowachanga na  wanaume walio katika umri wa kubalehe, lakini pia huonekana kwawatu wazima na wazee. Ukubwa wa tatizoAsilimia 60-90 ya watoto wachanga wanapata tatizo hili la kukua kwa matiti kwampito linalojulikana kitaalamu kama, transient gynecomastia kutokana nakuwepo kwa kichocheo cha aina ya estrogen

TAARIFA KAMILI KUHUSU MAJAMBAZI KUUA MFANYABIASHARA HUKO GEITA,KISHA NAYO KUUAWA

Image
KAMANDA WA JESHI LA POLISI MKOA WA GEITA  KAMISHINA MSAIDIZI JOSEPH KONYO AKIONYESHA BUNDUKI AINA YA SMG  ILIYOKUWA INATUMIWA NA MAJAMBAZI JANA Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha ya bunduki aina ya SMG na bastola waliokuwa wakitumia pikipiki aina ya sanlg yenye namba T460 CVQ wamevamia duka la mpesa na kumuua mfanyabiashara Gosbert Kulwa(59) mkazi wa tambukaleli mjini Geita.  Kamanda wa polisi mkoani Geita Joseph Konyo amesema tukio hilo limetokea jana majira ya saa 11.30 jioni katika eneo la benki ya NMB ambapo majambazi hao walimpiga risasi ya tumboni mfanyabiashara huyo wa mpesa na kufariki dunia wakati akipata matibabu katika hospitali ya wilaya ya Geita. Amesema mauaji hayo yalifanyika baada ya majambazi hao kupora kiasi cha pesa ambacho hakijajulikana kutoka kwa mfanyabiashara huyo. Kamanda ameongeza kuwa kabla hawajamuua Gosbert walianzia kwenye duka la mfanyabiashara wa vinywaji ndugu Ignas Athanas na walichukua pe

WATANZANIA 65 KUNYONGWA CHINA KWASABABU YA MADAWA YA KULEVYA

Image
Vijana 65 wa Tanzania wamehukumiwa adhabu ya kifo nchini China baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya.  Vijana hao ni kati ya zaidi ya 403 wa Tanzania wanaoshikiliwa katika nchi mbalimbali duniani kwa tuhuma ya kujihusisha na biashara hizo.  Hayo yalisemwa jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, mjini Dodoma wakati akizungumzia Maadhimisho ya Siku Dawa za Kulevya Duniani yanayofanyika Juni 26 kila mwaka.  Lukuvi alisema kuwa kwa mwaka huu maadhimisho hayo ya kesho, kitaifa yatafanyika katika viwanja vya shule ya msingi Nzovwe jijini Mbeya na Makamu wa Rais, Dk. Gharib Bilal, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.   Tangu mwaka 2008 kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wenye asili ya Kitanzania kujihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya ndani na nje ya nchi, mpaka hivi sasa idadi yao ni kubwa kiasi cha kufikia zaidi ya 400, na wanashikiliwa katika nchi mbalimbali ambazo pia a

MGOMBEA URAIS WA KLABU YA SIMBA BW. EVANS AVEVA AZINDUA KAMPENI ZAKE LEO

Image
Mgombea urais wa Kalabu ya Simba ya jijini Dar es salaam Bw. Evans Aveva akizunngmza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Raha Tower jijini Dar es salaam leo wakati akitangaza rasmi uzinduzi wa kampeni zake, uchaguzi wa klabu hiyo unatarajiwa kufanyika Juni 29 kwenye ukumbi wa Police wa Oysterbay jijini Dar es salaam, Kushoto ni Mwenyekiti Mstaafu wa klabu hiyo Mzee Hassan Dalali ambaye ni Meneja wake wa kampeni. Mgombea wa Umakamu wa rais wa klabu hiyo Bw. Godfrey Nyange :Kaburu” akiwa katika mkutano huo uliofanyika katika jengo la Raha Tower jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mtangazaji wa Radio One Bw. Maulid Kitenge na Mulamu Ghambi mmoja wa wanachama wa kundi la Friendes Of Simba na mwanachama wa Klabu hiyo wakiwa katika mkutano huo. Mgombea wa Umakamu wa rais wa klabu hiyo Bw. Godfrey Nyange :Kaburu” naye akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano huo.

MARCIO MAXIMO ASAINI MKATABA NA YANGA.

Image
KOCHA Mkuu wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars Mbrazil,  Marcio Maximo anatarajia kuwasili nchini leo mchana akitokea kwao kwa ajili ya kuinoa timu ya soka ya Yanga iliyoanza mazoezi jana. kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Manyara Sports Management, Ally Mleh Maximo anawasili sambamba na msaidizi wake Leonardo Neiva. Ni kweli kocha Marcio Maximo amekubali kuingia mkataba na timu ya Yanga ambapo anatarajiwa kuanza kazi rasmi tarehe 27/06/2014 ambapo atafuatana na msaidizi wake Leonardo Neiva. Mazungumzo ya makubaliano hayo yalichukua muda mrefu kidogo hatimaye tumefikia makubaliano.Tunashukuru mungu kila kitu kimekamilika,” alisema Mleh. Mleh alisema Manyara sports Management ni kampuni inayojishughulisha na uwakala wa wachezaji na makocha, kutafuta wadhamini katika michezo, na usambazaji wa vifaa vya michezo. Alisema kwa niaba ya Marcio Maximo anapenda kuushukuru uongozi wa klabu ya Yanga, kwa kweli wameonyesha  umakini na professional kw

CHADEMA KWAWAKA, WAJUMBE WAKE WA BARAZA KUU NA WANACHAMA WATINGA KWA MSAJILI WA VYAMA NA KWA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUOMBA MBOWE NA SLAA WADHIBITIWE KWA UFISADI.

Image
 Mjumbe wa Baraza Kuu Chadema ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho wilaya ya Temeke Joseph Yona (kushoto) akiongoza wenzake kuingia Ofisi ya Msajili wa Vyama leo kuwashitaki viongozi wa ngazi ya juu wa chama hicho kwa kudaiwa kutotekeleza Demokrasia na kufuata Katiba ndani ya Chama.  Wanachama na Viongozi wa Chadema wakiwemo wa Baraza Kuu la chama hicho, wakipiga kwata kuelekea Ofisi za Msajili wa Vyama vya Siasa, jijini Dar es Salaam, leo, kupeleka barua ya kumuomba Msajili huyo wa vyama, kuwataka viongozi wa ngazi ya juu wa Chadema kuzingatia Katiba ikiwemo kuitisha kikao cha Baraza Kuu na kuzingatia matumizi bora ya fedha za Chama.  Yona akisaini kitabu cha wageni kwenye kwenye mapokezi ya Ofisi ya Msajili wa Vyama Jijini Dar es Salaam, alipowasili ya ujumbe wake. Kulia kwa Yona ni Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Kaliua mkoani Tabora ambaye ni Mjumbe wa  Baraza Kuu na Mjumbe wa Mkutano Mkuu Chadema, Jorum Mbogo  Naibu Msajili wa vyama vya Siasa

NI ZAIDI YA LAANA:MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJIRI AKAMATWA AJIUZA ( KAHABA )

Image
Ni aibu iliyoje? Mwanadada ambaye amejitambulisha kuwa ni msomi wa chuo kikuu (jina lipo) ambaye pia ni mwanakwaya chuoni hapo aliyejitaja kwa jina moja la Rei ameaibika baada ya kunaswa usiku mnene akijiuza, Risasi Jumamosi linaifumua.  Rei alikamatwa katika msako wa polisi katikati ya Jiji la Dar (City Center) hivi karibuni akiwa na kundi la warembo wa vyuo mbalimbali wakifanya biashara haramu ya kuuza miili.  Mrembo huyo ambaye Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilimshuhudia, kabla ya kupelekwa kituo kikuu cha polisi, Wilaya ya Ilala (Central), alijitetea kuwa yeye ni denti wa chuo kikuu hivyo kitendo cha kupigwa picha alijua kabisa kuwa zitasambaa mitandaoni hivyo itakuwa ni aibu kubwa.  Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers wakichukua picha. “Kaka naomba usinitoe gazetini au mitandaoni, haya ni maisha tu, itakuwa aibu kwa wanachuo wenzangu,” alijitetea. Mbali na hayo, mrembo huyo wa haja alikuwa akihaha kuwa kama ishu hiyo itamfik

MBWA AMBAKA NA KUMTOA BIKIRA MWANAFUNZI WA SEKONDARI

Image
Chanzo cha udaku huu kinasema kuwa mwanadada huyo alizoea sana kucheza na mbwa wa nyumbani kwao, asijue kuwa mbwa anammezea mate kila kukicha! Siku ilipowadia, mwanadada huyo alitoka shuleni na kuvua sare ya shule na kutupia za nyumbani. Akiwa kainama kufunga kamba ya kiatu cha mguu wake wa kushoto, mbwa akaja kwa kasi sana, pengine akiwa anadhani kuwa kategeshewa goma, na kumrukia msichana huyo! Alirarua suruali yake huku akilisaka shimo la mrembo huyo, na ndipo alipolikuta na kumsokemeza mtoto wa watu mashine yote na hivyo kujiridhisha nafsi yake. Chanzo cha udaku huu kinaongezea kuwa mwanadada huyo alikuwa hajawahi kabisa kuliwa, na kuna mvulana, tena mwanafunzi mwenzake alikuwa akimsumbua sana kwa muda mrefu, kwani, malikia huyo alikuwa anasita kumvulia chupi mwanakaka huyo. Siku ilipowadia, mbwa akaamua kulianzisha goma mwenyewe!!!!