Posts

Showing posts from August 3, 2013

ANGALIA PICHA ZA WASANII WALIVYO FUTURU NA RAIS KIKWETE IKULU JANA

Image
Wasanii mbali mbali na watangazaji walipata kualikwa ikulu jijini Dar, kwa ajili ya kuftari na Mh Raisi pamoja na familia yake.mara baada ya kuftari Mh Kikwete aliongea mawili matatu ikiwa ni pamoja na kuwapa moyo wasanii kwa kuendeleza sanaa maana hata yeye anapenda kusikiliza miziki yao B12 Fetty Dj Mully B Jafarai na inspector Haroon Qchief na Babu Tale  Mwasiti, Fetty na Shilole Chege, Nyandu Tozi na Madee Kassim Mganga Adama Mchomvu Ben Pol (wa pili kutoka kulia) Linex (wa kwanza kulia) Looking good MashAllah, TID, Jafarai na Z Anto Mzee mkorofi, Suma Lee hahahaa Mbwiga nae hakukosa Shekh AY na Ali Kiba Marlow na Sam Misago Feruz na Fela Lamar na P Funk Quick kama sio yeye loooool  Hemedi Phd Adama Juma Dogo Asley King Crazy GK Shilole its more about music industry and social

MADHARA 6 YA KUPIGA PUNYETO KWA WANAUME

Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako huru kulizungumzia au kukili kuwa wakizidiwa huwa wanajisaidia……. Wakati mwingine mtu anashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige moja-mbili ndio usingizi unakuja au asubuhi unajisikia mzito kuamka kitandani mpaka upige moja ndio nguvu zinakuja…hasa kama umezoea dozi za maana lakini sasa mpenzi hayupo karibu. Leo nitaongelea Hasara za kujichua au kujichezea kwa mwanaume. HASARA ZA KUJICHUA KWA MWANAUME: 1. Kupungua kwa hamu ya kufanya mapenzi. Athari kubwa ya kupiga puri ni kuwa hupunguza kwa kiasi kikubwa hisia za mapenzi za mwanaume na kumfanya awe mtumwa sawa na mtumwa wa pombe. 2. Huathiri mfumo mzima wa kufanya mapenzi na kumfanya apizi haraka sana ( ndani ya dakika 3 tu). Hii inatokana na kweli kuwa mwili wako unakuwa umeuzoeza kutoa mbegu kwa dakika chache kupitia njia ya kujichua.Tambua kuwa hakuna kitu

HIVI NDIVYO RAIS KIKWETE ALIVYO PEANA TANO NA CRAZY GK

Image
HAPA MH.RAIS KIKWETE AKIPEANA TANO NA KING CRAZY GK