Posts

Showing posts from May 23, 2016

www.phars.blogspot.com: Mkenya afunga ndoa na mwanamme mwenzake Mmarekani

www.phars.blogspot.com: Mkenya afunga ndoa na mwanamme mwenzake Mmarekani :   Bw.  Ben Gitau na Bw. Steve Damelin KATIKA matukio ambayo wanaume wa Kenya wanaoana na wanaume wenzao katika nchi zinazoruh...

Mkenya afunga ndoa na mwanamme mwenzake Mmarekani

Image
  Bw.  Ben Gitau na Bw. Steve Damelin KATIKA matukio ambayo wanaume wa Kenya wanaoana na wanaume wenzao katika nchi zinazoruhusu jambo hilo, mwanamme mmoja wa Nakuru, Kenya, amefunga ndoa na profesa wa hisabati wa Marekani. Bw.  Ben Gitau (33) na Bw. Steve Damelin walioana wiki iliyopita huko Ann Arbor, Michigan, Marekani, Jumamosi alasiri ambapo baada ya tukio hilo wawili hao walionekana wakibusiana na kukumbatiana ambapo marafiki na wanafamilia walipiga vigelegele na kushangilia. Hata hivyo, mshauri mmoja wa masuala ya kifamilia , Mchungaji Philip Kitoto wa International Christian Centre, Nairobi,alilaani ndoa hiyo akisema: “Kiutamaduni na kwa mujibu wa Bibilia,  ndoa na kujamiiana kati ya watu wa jinsia moja ni dhambi.” “Biblia iko wazi kwamba Mungu alituumba kwa taswira yake; mme na mke.  Katika kitabu cha Mambo ya Walawi 18:22 Mungu anamwonya  mwanaume kutofanya ngono na mwanaume  mwenzake  kama anavyofanya na mwanamke.” Bw.  Kararu Ririe, rafiki

BREAKING NEWS:KOCHA LUIS VAN GAAL ATIMULIWA,MAN UTD WACHUKUA MAAMUZI MAGUMU LEO

Image
Louis van Gaal has been sacked by Manchester United just two days after leading the club to the FA Cup Van Gaal was pictured arriving at United's Aon Training Complex on Monday morning ahead of his sacking Van Gaal's last act at Manchester United was lifting the FA Cup following his side's win over Crystal Palace Goalkeeper coach Frans Hoek (far left) and Albert Stuivenberg (far right) have also left the club along with Van Gaal, while Ryan Giggs (second left) could stay at the club Performance analyst Max Reckers (far left) has also been shown the Old Trafford exit door by United Jose Mourinho (left, pictured with Van Gaal) will take over the reins at Old Trafford following Van Gaal's sacking Mourinho (right) learned his trade under Van Gaal at Barcelona but will now replace his former boss Van Gaal's predecessor David Moyes was also sacked by Manchester United chief Ed Woodward Woodward (centre left) congratulates Van Gaal following United's 2-1 extra

Huu ndiyo ukweli wa Kitwanga Kuhusu Ulabu

Image
Stori:  Mwandishi Wetu, WIKIENDA DAR ES SALAAM: Ajali ya kisiasa! Gumzo kuhusu Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ kumtumbua Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Muhangwa Kitwanga (56) kwa madai ya kuingia bungeni akiwa ‘amechangamka’ bado liko vinywani mwa Wabongo huku sasa, upande wa pili wa hali hiyo ukijulikana, Ijumaa Wikienda limechimba. Ijumaa iliyopita, JPM alitengua uteuzi wake akidaiwa kuingia mjengoni akiwa amelewa hivyo kukosa umakini wakati akijibu maswali ya wizara yake. Habari zilizonaswa na Wikienda zinasema Kitwanga ni mnywaji lakini si kwa kiwango cha kukosa umakini kiasi cha kushindwa kutiririka vyema kwenye kujibu maswali, ila siku hiyo ilisababishwa na msongo. MSIKIE HUYU “Mimi sikatai ndiyo, Kitwanga anapiga ulabu, lakini yule jamaa yuko makini sana. Huenda siku ile alizidisha lakini naijua sababu. “Unajua siku za hivi karibuni, jamaa amekuwa akiandamwa sana na baadhi ya wabunge kuhusu sakata la Kampuni ya Lugumi na ufungwaji wa vifaa vya

SPIKA AWAFICHUA WABUNGE WAVUTAO BANGI NA UNGA,AJA NA MKAKATI MZITO

Image
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe baada ya kufanya nae mahojiano juu ya hatua ya Rais Magufuli kumtimua Kitwanga katika baraza lake la mawaziri kwa sababu aliingia bungeni na kujibu swali la Wizara yake akiwa amelewa.Kutokana na hali hiyo Spika Ndugai amelieleza gazeti la Nipashe sasa wanafikiria kuweka vifaa maalumu vya kupima ulevi kwa watunga sheria hao na kutafuta wataalamu wa ushauri nasaha watakaowapa msaada wa kisaikolojia.