Posts

Showing posts from March 20, 2014

ATELLITE YA AUSTRALIA YANASA MABAKI YA NDEGE KWENYE INDIAN OCEAN.

Image
  Habari kutoka Aaustralia ni kwamba  Satellite ya nchi hiyo imeweza kubaini Kuna mabaki yanayonekana katika Bahari ya Indi yanayokisiwa kuwa ni Mabaki ya ndege na hasa hasa Ndege iliopotea ya Malaysia Airlines Flight 370   .............................. Waziri mkuu wa Australia amesema kuwa mitambo ya satelite ya nchi hiyo imenasa picha za vitu vinavyoonekana kama vifusi ambavyo huenda ni vya ndege ya Malaysia iliyopotea siku 13 zilizopita. Waziri mkuu huyo, Tony Abbott, ameambia bunge mjini Canberra kwamba picha za Satelite zimeonyesha vitu viwili vinavyofanana na vifusi vya ndege hiyo. Taarifa hii imejitokeza karibu wiki mbili baada ya ndege hiyo kutoweka na abiria zaidi ya miambili kutoka mjini Kuala Lumpur Malaysia kuelekea Beijing. Msemaji wa halmashauri ya usalama wa safari za ndege, John Young, baadaye alisema kuwa vifaa hivyo ambavyo kimoja kina ukubwa wa mita 24, vimeonekana umbali wa kilomita 2500 kusini Magharibi mwa pwani ya Australia. Alionge

Mrembo Victoria Kimani Afunguka kuhusu sakata lake la Diamond na Wema

Image
  Mwimbaji wa Kenya Victoria Kimani ambaye amekuwa Tanzania kwa siku kadhaa sasa akiutangaza muziki wake pamoja na kufanya collabo na wasanii wa Bongo, amezungumza maneno ya kuondoa ukungu wowote uliokuwepo hasa kuhusu yeye na Diamond Platnumz. Mwezi uliopita aliyekuwa mwakilishi wa Kenya kwenye BBA, Huddah Monroe na Colonel Mustafa walitangaza uhusiano wao wa kimapenzi kwenye kipindi cha ‘Kiti Moto’cha KTN.Victoria amepost picha aliyopiga na mastaa wawili Ommy Dimpoz na Diamond Platnumz iliyosindikizwa na ujumbe huu: “ Mafans wangu wote, nawapenda sana sana. Nafanya kazi ya muziki kwa bidii na kwa sababu yenu. Nimepiga picha na wanamuziki wengi na wakubwa sana kote duniani. Na hiyo HAIMAANISHI KUNA MAMBO MENGINE YANAENDELEA NJE ya KAZI YA MUZIKI. Kwa hayo machache, ninafuraha sana kufanya kazi na wanamuziki wakubwa zaidi wa Bongo @ommydimpoz na @diamondplatnumz kwenye single moja. Mimi ndiye msanii wa kwanza wakike kufanya single moja na hawa wawili. Tunafocu

HUYU NDIYE MSANII WA BONGO MOVIES MZURI ZAIDI KULIKO WOTE...!!

Image
NINI MAONI / MTAZAMO WAKO ?

DHARAU ZINGINE HUWA HAZINA FAIDA..ONA HUYU DADA ALIVYOADHIRIKA

Image
Leo asubuhi nikiwa stand ya mabasi ya ubungo,mdada mmoja wakati anapanda kwenye kagari kake akadondosha simu.Mimi nikamuita ili nimweleze kilichotokea, akanisonya tena msonyo wa dharau sana na nikajuta kumgusa bega kwasababu ya kibao alichonipiga. Alipoondoa gari nikaiokota hiyo simu na kuondoka zangu,wala sikuizima. Nafika town simu hiyo ikaita nikapokea kwa shauku ya kujua nani,haya ndo ya kawa maongezi yetu na mpigaji. Mimi; Hallo habari yako Yeye; Nzuri Mimi; nani wewe Yeye; Mimi ndo mwenye hiyo simu .... Mimi; Na mimi ndo nilokuita na ukanizaba kibao Pale stand ya ubungo leo na ukanisonya Yeye; Basi kaka nisamehe naomba unambie ulipo nije tuelewane Mimi; Nitakwambia baadaye (nikakata simu na kuzima) Swali nimwambie napatikana wapi au nimpotezee ili liwe fundisho kwake? NIPE MAONI NDUGU MDAU WANGU  

BAADA YA SNURA KUNASWA KWA MGANGA NA JOGOO JEKUNDU, LEO AONEKANA TENA BAHARINI AKITUPA KITU

Image
Leo asubuhi tulikutana na kioja kingine ambacho kilinishangaza zaidi, Ilikuwa Majira ya mbili asubuhi, Paparazi wetu alikuwa anamwibukia nyumbani kwake ili aweze kufanya nae mahojiano kuhusiana na kile kitendo cha kuonekana kwa sangoma na kutaka kujua alikuwa anafanya pale na kwa ajili gani, Ila kabla majibu ya maswali hayo yakiwa bado hayajapatikana,Paparazi wetu kabla ya kufika nyumbani kwake alikutana na msanii huyo akiwa ndani ya Gari ya kukodi Namba za Usajili ...............: Masanii wa kizazi kipya snura wa majanga Ikiwa imepita siku moja tu baada ya kunaswa kwa sangoma akiwa amebeba kuku mwekundu huku akiwa ameshikilia tunguli akifanyiwa manuva,  Leo asubuhi tulikutana na kioja kingine ambacho kilinishangaza zaidi, Ilikuwa Majira ya mbili asubuhi, Paparazi wetu alikuwa anamwibukia nyumbani kwake ili aweze kufanya nae mahojiano kuhusiana na kile kitendo cha kuonekana kwa sangoma na kutaka kujua alikuwa anafanya pale na  kwa ajili

ALIYEJIFANYA NDUGU WA MSANII WA BONGO FLEVA NA KUTAPELI WATU AVULIWA NGUO NA KUBAKI UCHI WA MNYAMA , CHEKI PICHA HAPA

Image
Ndugu Musa Wakazi wa Manzese wenye Hasira Kali wamvua nguo Kijana mmoja ambaye alijitambulisha kuwa ni ndugu wa msanii Geez Mabovu, Hasira za raia zilikuja baada ya Kijana huyo kukosa kosa kumtapeli Rais Manzese Madee, Inasemekana kuwa Kabla ya kukutwa na mkasa huo Mr Tapeli alimvutia wire Madee na kujitambulisha kuwa yeye ni Ndugu wa msanii Geez Mabovu na kwa wakati huo eti alikua hoi kwa kuumwa kutokana na figo yake moja kufeli, na ilihitajika milioni 7 ili kukamilisha safari ya msanii huyo kwenda kutibiwa nje ya nchi, eti familia imejipigapiga wamepata milioni 3 tu, Mr Tapeli alimwambia Madee kuwa yeye ni mdogo wake Geez Mabovu na kwao wamezaliwa wawili tu wazazi wao walishafariki miaka mingi na sasa hivi eti Geez amelazwa katika Hospitali ya Government, Mr Tapeli hakujua kuwa tayari ameshategwa kwenye Mtego mkali wa Kisayansi, ndipo raia waliposhtukia chezo hilo ambalo Madee akiwa na Saidi Fela pamoja na Babu Tale walitaka liishe kimya kimya ndipo wananchi wenye

MKE ANYWA SUMU BAADA YA KUFUMANIWA LIVE

Image
Mwanamke wa miaka 20 amekunywa sumu mpaka kufa baada ya kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na mjomba wa mume huyo jumapili iliyopita. Msemaji wa jeshi la polisi wa Mashonaland inspekta msaidizi Nobert Muzondo amekiri kutokea tukio hilo. Alimtambua marehemu kuwa ni Molyn Mudonhi wa mtaa wa 4232 barabara ya Sangano, Rusike Park. Inspekta anasema uchunguzi wa tukio hilo unaendela. Anasema siku ya tukio mnamo saa moja jioni, mume wa Mudonhi, Regway Matimaka alirudi nyumbani na kumkuta mke wake akifanya mapenzi na mjomba wake. Ugomvi ulizuka kati ya Matimaka na mjomba wake hali iliyosababisha Mudonhi kunywa sumu. Baada ya kugundua kuwa Mudonhi amekunywa sumu, Matimaka na mjomba wake walishirikiana kumkimbiza MKE WAO katika hospitali ya Marondera ambako alifariki dunia baada ya kuchekiwa na daktari. Mwili wake ulipelekwa kwenye chumba cha maiti ili kufanya uchunguzi zaidi ya ki-daktari. Inspekta Muzondo alisema watu wanabidi watambue umuhimu wa maisha na mara zote wat

KWELI MICHEPUKO SIO...PAPAA MAVELLA AFARIKI DUNIA WAKATI AKIMKIMBIA MKEWE BAADA YA KUMFUMANIA....SOMA ZAIDI HAPA...

Image
Julius Mavella (kulia) akisakata muziki enzi za uhai wake.   DUNIA  ina mambo! Fundi wa magari mkoani Morogoro, Julius Mavella maarufu kama Papa Mavella, Machi 5 mwaka huu, majira ya saa saba usiku, alifariki dunia baada ya pikipiki aliyokuwa akiendesha, kugongana na nyingine, wakati akimkimbia mchumba’ke baada ya kuwa amefumwa akijirusha katika Klabu ya Itigi, iliyopo Msamvu inayodaiwa kutumiwa na machangudoa.   Kwa mujibu wa shuhuda wetu, marehemu alikuwa katika klabu hiyo iliyo karibu na Kituo Kikuu cha Mabasi mjini hapa, kabla ya mchumba wake huyo, aliyetambuliwa kwa jina la Aisha Nasoro kutokea na kuleta taharuki ya aina yake.   Klabu hiyo ambayo iliwahi kuvamiwa na makachero wa kikosi maalum cha Global Publishers cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) na kukutana na akina dada poa wengi wakijiuza waziwazi, haipendwi na wanawake walioolewa mjini hapa kwani inaonekana kama ni hatari kwa ndoa zao. Julius Mavella  (kulia)  maarufu kama Papaa Mavella.   Inad

HOT SEXY PHOTOS...MSANII SHAA WA SUGUA GAGA...KATISHAAA NIAJE...JIONEE MWENYEWE UTAMU "MKUBWA" HAPA...!!

Image

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI TEKU

Image
ASSISTANT LECTURERS (4 Posts) -LAW (1 Post) -COMPUTER SCIENCE (1 Post) -HISTORY (1 Post) -ENGLISH LITERATURE (1 Post) Duty Station:Mbeya Reports to: Dean Facult of Arts and Social Sciences (FASS) Education Qualification: He/She must be a holder of Master’s Degree with a GPA of 3.5 or above at undergraduate level in the specialized fields and a GPA of at least 4.0 at Master’s Degree level Other Qualifications: -Strong Oral communication and presentation skills in English -Demonstrated self-management -Competence in teaching Work experience: At least three (3) years relevant working experience in a similar position or related position Principal Duties and Responsibilities: •Teaches up to NTA level 8 (Bachelor’s Degree) •Conducting lectures ,seminars, tutorials and practicals for undergraduate programmes •Assisting Senior staff in practicals, seminars, and tutorials for postgraduate programmes as part of their learning and building capacities in v

Turkish Scholarship Programme 2014

Application Starting Date : 03 March 2014Application Deadline : 31 March 2014 Türkiye Scholarships Postgraduate Programmes are full government funded programmes for successful international students from all over the world for postgraduate studies in Turkey. Postgraduate scholarships are: Ali Kuşçu Science and Technology Scholarship Programme Ä°bni Haldun Social Sciences Scholarship Programme Yunus Emre Turkish Language Scholarship Programme Islamic Theology Scholarship Programme Candidates can apply only one scholarship programme in accordance with their educational background and academic goals. Türkiye Scholarships include both scholarship and university placement at the same time. Applicants will be placed in a university and programme among their preferences specified in the online application form. Most programmes in Turkish universities are instructed in Turkish. However, some departments and universities offer programmes in English, F

MTOTO ALIYEPOTEA MIEZI MITATU ILIYOPITA APATIKANA AKIWA HAI

Image
Mwenyekiti wa Mujata, Chifu Shayo Soja Masoko  akiwa na mtoto Martha Jackson Mwenyekiti wa Mujata, Chifu Shayo Soja Masoko akiwa na  Familia ya Martha MWANAFUNZI Marha Jackson(13) wa darasa la sita Shule ya Msingi Mwasote iliyopo Kata ya Nsalaga Uyole Jijini Mbeya, ambaye alitoweka katika mazingira ya kutatanisha nyumbani kwao Disemba 17, 2013 amepatikana eneo la Tunduma akitokea Ilula Mkoani Iringa. Baadhi ya mashuhuda waliomuona binti huyo walipomuuliza mahala alipokuwa akiishi na mazingira aliyoondokea nyumbani kwao alisema alichukuliwa na bibi yake aliyemtaja kwa jina la Hidaya Yailah Mussa(35)anayemiliki mgahawa eneo la Mtuha uliopo Ilula Mkoani Iringa ambako alidai alikuwa akitumikishwa na bibi yake huyo katika shughuli mbali mbali akiwa na wenzake kumi. Alisema alichukuliwa na bibi yake huyo kutoka Nsalaga hadi Mlima Nyoka ambapo baada ya kufika huko walipanda kitu kilichodaiwa ni ndege hadi Ilula ambako walipelekwa moja kwa m

MEZA YETU YA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI TAREHE 20.03.2014

Image
MAGAZETI YA UDAKU LEO MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

ANGALIA NAFASI YA KAZI KUTOKA WORLD VISION TANZANIA

Image
Senior Operation Manager Job at World Vision Tanzania Reports to: Integrated Programs Director Location; Head Office Purpose of the position: To provide Leadership and technical support to sponsorship operations to National Office, Cluster, and ADPs for transformation of children, families, communities and sponsors for attainment of Child Well Being. Must develop / maintain and be a visionary leader, able to impart his/her vision to others and manage the change. Must also observe mission and core values of World Vision and demonstrate a quality of spiritual life that is an example to others Major Responsibilities; 1. Leadership & Staff Management: • Provide effective leadership to staff within the Sponsorship Unit and directly manage all the staff within the unit; • Lead the successful development, elaboration and roll out of all Sponsorship program elements in the National Office and ADP strategic and operational plans that focus specifically on ch