Posts

Showing posts from July 21, 2015

MUST READ THIS TWO SUPER HOT TOPICS IN THIS WEEK!! BIG SOCIAL MEDIA BATTLE BETWEEN THIS FOUR SUPERSTARS AND X-LOVER .....SHILOLE VS NUH MZIWANDA & DIAMOND PLATNUMZ VS JOKATE KIDOTI, MUST SEE

Image
DIAMOND VS JOKATE SAGA!!  Initialy diamond shared this message after winning his Best Live act award from South Africa!!.  Then Jokate reply in this way.....  SHILOLE VS NUH MZIWANDA SAGA!!  This is bad indicator for two lover when one of them shared this message and then later another replied in the same way!! 

HIZI NDO PICHA ZA MAJAMBAZI WALIO FANYA TUKIO LA MAUAJI YA POLISI NA RAIA KITUO CHA STAKISHARI DAR ES SALAA

Image
Hii  ni story nyingine kutoka kwenye ile ishu ya kuvamiwa kwa kituo cha polisi cha stakishari Jijini Dar es salaam ambapo askari wane na wananchi waliuawa na wale waliotambulika kama majambazi na kupora silaha kadhaa na kutoweka nazo. Leo kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam alijitokeza mbele ya wanahabari na kuja na mafanikio ya msako mkali unaoendeshwa na jeshi la polisi ambapo hadi sasa majambazio watano wamekamatwa huku watatu kati yao wakiwa wameuawa na jeshi la polisi,huku silaha zilizoibiwa kukutwa katika maeneo ya mkuranga zikiwa zimefukiwa chini tayari kwa ualifu. Sasa pamoja na mafanikio hayo polisi wanasema kuwa bado kuna majambazi waliohusika na lile tukio hawajakamatwa na kuna silaha nyingine bado hazijakamatwa,bahati nzuri jeshi la polisi limefanikiwa kukamata majina na picha za hao ambao bado hawajakamatwa. Majina yako hapa kama picha juu zinavyoonyeshwa na kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam MAJINA YA MOST WANTED 1-ABDU

PRESENTER GARDNER G. HABASH DAUGHTER SHE IS REAL CUT3ST MUST SEE PHOTO

Image

BREAKING NEWS : LEMBELI RASMI AJIUNGA CHADEMA

Image
  Mbunge wa jimbo la Kahama Mkoani Shinyanga Mhe. James Daudi Lembeli ametangaza rasmi hii leo kuachana na chama tawala CCM na kujiunga na chama cha upinzani cha CHADEMA  BOFYA HAPA KUSOMA YOTE

BREAKING NEWZZ: LOWASSA OFFICIALLY JOIN CHADEMA

Image
The latest news from our source says than Hon. Edward Lowassa has Officially joined Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA. The Chairman of CHADEMA, Mr. Freeman Mbowe has confirmed the News For more information please stay with us, we will keep you informed as we get more details    WATCH VIDEO CLICK HERE

DIAMONBD PLATNUM ADHIHILISHA BIFU NA JOKATE NA HIKI NDO ALICHOKIANDIKA,NI SHIDAAA!!!!

Image
Mshindi huyo wa ‘Best Live Act’ kwenye MTV MAMA baada ya kurejea Tanzania, amejibu shutuma alizozitoa Jojo dhidi yake kuhusu video aliyoipost, ya mrembo huyo aliyewahi kuwa mpenzi wake akifurahia wimbo wa ‘Mdogo Mdogo’ na kuandika “Mbona Bado, Mtanyooka Tu”. Ingia hapa Kupitia 255 ya XXL ya Clouds Fm , haya ndio majibu ya Diamond kuhusu video aliyoipost na kile alichokiandika Jokate: “unajua kwanza nimecheka afu nimeskitishwa kwasababu nimeambiwa, sijasoma nimeambiwa kuna post ameandika amezungumzia vitu vingi… Yeye kacheza kama fan wa nyimbo yangu, na mimi nimempost kama fan wangu, ile caption yangu sijamuandika jina kwanini achukulie vibaya? Ukiona mtu anajishuku ukiona hivyo kuna namna nyuma. Mbona mi napost watu wengi tu, tena naandika caption zangu za vituko vituko manake mimi nina caption za vituko, mi ni mswahili nimezaliwa Tandale nimekulia Tandale na Tandale ndio kumenifanya leo niwe hapa nilipo…kwahiyo nina caption zangu za uswahili kwasababu uswahili ndio umenikuza…siziac

JERRY SLAA AREJESHA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA

Image
Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ya CCM taifa, Jerry William Silaa akionyesha fomu aliyojaza kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 Mwaka huu nchini kote, wakati aliporejesha fomu hiyo katika ofisi za CCM wilaya ya Ilala aliyoikabidhi kwa Katibu Msaidizi wa CCM wilaya ya ILALA (kushoto). Jerry Slaa aliongozana na Mwenyekiti wa tawi la Gulukakwalala ambako ndio nyumbani kwake, Mwenyekiti wa CCM kata ya Gongo la Mboto pamoja na wazee wa jimbo la Ukonga. Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ya CCM taifa, Jerry William Silaa akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla fupi ya kurejesha fomu yake ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 Mwaka huu nchini kote. Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ya CCM taifa, Jerry William Silaa akiwa meza kuu na baadhi ya viongozi na wazee wa Ukonga aliombatana nao wakati wa kurejesha fomu.

Ester Bulaya Ameandika Haya Maneno Baada Ya Tetesi Kuhusu Kuondoka CCM

Image
Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga.  Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli. Chanzo: Nipashe Posted by  JAFE MALIBENEKE   at  Monday, July 20, 2015   No comments: Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook Share to Pinterest