Posts

Showing posts from June 13, 2015

FREEMASON WATHIBITISHA WOLPER KUWA MJUMBE WAO!!

Image
Staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper. BAADA ya hivi karibuni kunaswa akiingia katika jengo lao, staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper amezidi kugandwa na skendo ya Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemason akidaiwa kuishi kwa masharti ya taasisi hiyo huku nyumba yake ikiwa imejaa vitu vinavyodaiwa kuwa vya ‘Ki-freemason’. Akizungumza na gazeti hili, ‘dada’ wa kazi wa Wolper ambaye kwa sasa ameacha kufanya kazi kwake huku akiomba hifadhi ya jina lake, alisema mbali na vitu hivyo, staa huyo anaishi kwa masharti makali kwani kila siku anaamka   saa kumi alfajiri na wakati huo anamzuia dada huyo asiamke. “Akiamka (Wolper) saa kumi hiyo alikuwa akinikataza nisiamke, sikuwahi kujua huwa anafanya kitu gani akiamka na kwa nini alikuwa akinikataza, ukweli maisha yake anaishi kwa masharti ya ajabuajabu nahisi ni Freemason,” alisema dada huyo.  SOMA ZAIDI

PICHA ZA UTUPU ZA MGOMBEA URAIS ZAWEKWA MTANDAONI,LENGO NI KUMMALIZA KISIASA!!,PATA HABARI KAMILI HAPA

Image
Kuibuliwa kwa picha hiyo kumekuja siku chache kufuatia mgombea huyo kutangaza nia huku akianika kipaumbele chake endapo atapata ridhaa ya wapiga kura kuingia ikulu. NIkama kumekucha! Tayari mbinu za kuchafuana na kupakana matope miongoni mwa wanasiasa waliojitokeza kugombea urais kupitia chama kimoja cha siasa zimeanza kujitokeza baada ya hivi karibuni kuibuliwa kwa picha ya mgombea mmoja wa chama hicho aliyetangaza nia akiwa na hawara ndani ya chumba cha hoteli. Kwa mujibu wa chanzo chetu kilichotinga katika Ofisi za Global Piblishers, Bamaga-Mwenge, inadaiwa kuwa, mheshimiwa huyo (jina tunalo) na mwanamke huyo ambaye si mke wake, walipiga picha hiyo muda mrefu lakini kutokana na duru za kisiasa za uchaguzi mkuu mwaka huu, picha hiyo inaonekana kuwa ‘keki’ kwa wapinzani wake. “Unajua hii picha ni ya muda mrefu. Mheshimiwa alipiga akiwa na uhusiano na huyu mrembo. Sasa mheshimiwa alipotangaza nia tu, wabaya wake wakaona hapa ndiyo penyewe, wakaiibua ili it
Image
MWANDISHI WETU KIWANGO! Tofauti na watu wengine ambao maumbile yao hubadilika mara baada ya kujifungua, kwa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel hali imekuwa tofauti, uzuri na umbo lake limebaki vilevile. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel akiwa na mwanaye. SOMA ZAI DI

JOKATE KIDOTI AMTEMA KIMAPENZI ALI KIBA

Image
Mrembo na Mwanamuziki Jokate Amejibu Swali ambalo wengi walikuwa wanapenda kusikia kama kweli yeye na Ali Kiba ni Wapenzi ama ni Project tu....Katika Mohojiano na Gazeti la Champion jokate amejibu hivi:Wewe na Ali Kiba mna uhusiano gani? Tuna uhusiano mzuri sana kwenye kazi kiasi kwamba anaweza kunishauri mahali ambapo ninakwenda ndivyo sivyo, mimi pia hufanya hivyo pindi anapohitaji ushauri, kwenye maisha binafsi mimi na Ali Kiba ni washikaji wakubwa tena sana na siyo kimapenzi kama watu wengi ambavyo wamekuwa wakizungumza vitu ambavyo havina ukweli wowote.     BONYEZA KUONA VIDEO JOKATE AKIFUNGUKA KUACHANA NA ALI KIBA 

ROSE MUHANDO AMWAGA MACHOZI! ATUMIA DAKIKA 45 KUELEZEA MAMBO MAZITO ANAYAOPITIA!

Image
Mwimbaji Injili Bongo, Rose Muhando. ILIKUAJE? Brighton Masalu ROSE Muhando, aliye mwimbaji Injili Bongo, amejikuta akimwaga machozi yaliyojaa uchungu huku akitumia kama dakika 45 kuelezea wazi mateso na manyanyaso ambayo anayapitia kwa sasa ikiwemo kuhusishwa na tuhuma za utapeli na ‘kubwia unga’, Risasi Jumamosi linakupa stori kamili! Mwandishi wetu alimtafuta mwimbaji huyo juzi kwa njia ya simu kutoka mkoani Dodoma yaliko makazi yake lengo likiwa kujua maendeleo yake kikazi ndipo kukaibuka mapya mengi.Rose alianza kuporomosha lawama dhidi ya watu wanaomzushia mambo yasiyo ya kweli juu yake: MSIKIE MWENYEWE “Aah, mimi nipo tu (Dodoma) nimekaa kimya kwa sababu si mtu wa majibizano na malumbano, nimepakwa uchafu wa kila aina na kutukanwa huku wanaonitukana ni Wakristo wenzangu na mbaya zaidi hadi wachungaji wananisakama kwa maneno makali, nikaona kukaa kimya ni hekima.” TUENDELEE Rose alisema, alichukua uamuzi wa kuachana na dini yake ya zamani (Uislamu) na kujiunga

WEMA SEPETU NI KIFAA.TUSIBISHANE!!KAMA HUAMINI BOFYA HAPA UONE UTAMU WAKE WOTE

Image
Fashion  is a popular style or practice, especially in  clothing ,  footwear ,  accessories ,  makeup ,  body piercing , or furniture. Fashion is a distinctive and often habitual trend in the style in which a person dresses. It is the prevailing styles in behaviour and the newest creations of textile designers. [1]  Because the more technical term  costume  is regularly linked to the term "fashion", the use of the former has been relegated to special senses like  fancy dress  or masquerade  wear, while "fashion" generally means clothing, including the study of it.

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUTUMIA SEHEMU YA MSHAHARA WAKE KUWALIPA WANASHERIA

Image
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari.  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akitoa taarifa ya utatuzi wa migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo.  Wanahabari wakiwa katika mkutano na Bwana Makonda. Waandishi wa habari kutoka vyombombalimbali wakichukua taarifa hiyo. Dotto Mwaibale MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya kuwalipa wanasheria watano watakao kuwa wanafanya kazi ya kusikiliza na kuwasaidia wananchi wenye migogoro ya ardhi. Makonda alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya utatuzi wa migogoro ya ardhi katika wilaya yake ya Kinondoni Dar es Salaam leo asubuhi. "Kama nilivyobadilisha mfumo mzima wa PF3 ndivyo ninavyofanya kwenye ardhi nimechukua hatua mahususi kuchukua sehemu ya mshahara wangu na kuajiri

UNYAMA MZITOOO...ONA HUYU MAMA ALIMCHOMA MOTO MTOTO MIAKA 7..

Image
Tukio hilo la kinyama ambalo ni sehemu ya matukio ya mateso kwa watoto yanayotokea kila kukicha maeneo mbalimbali nchini, lilijiri juzikati katika Mtaa wa Nello Kata ya Kaloleni wilayani Momba mkoani hapa majira ya saa 11:20 jioni. Wakizungumzia tukio hilo, baadhi ya mashuhuda walisema kuwa mtoto huyo alikuwa akiishi katika mazingira magumu almaarufu kwa jina la chokoraa hivyo hana makazi maalum. Walifunguka kuwa mara baada ya kuwa na maisha hayo, ilibidi mama Joy amuombe aishi naye ambapo mtoto huyo alikubali na kuacha kulala nje ya nyumba na udokozi kwa kuwa alikuwa anapata chakula. Kwa mujibu wa mashuhuda hao, walisikia kelele za mtoto huyo akilia kwa sauti na walipotoka kumwangalia ndipo wakakuta ameungua mikono na alipoulizwa kulikoni alisema kuwa mama Joy ndiye aliyemchoma akimsingizia kuwa ameiba kiasi hicho cha fedha. Walidai kwamba, baada ya kusikia hivyo, baadhi ya wananchi wenye hasira kali walianza kumbonda mama Joy huku waki

MAKALIO YA MSANII YAWA KIGEZO CHA KUPATA KAZI KWENYE RUNINGA.

Image
Gigy Money msanii wa kike anaye chipukia amepewa shavu na kituo cha EATV kutangaza kipindi cha Friday Night Live.Kigezo pekee ni uwezo binafsi wa kuzungusha maumbile yake.Kila mwisho wa kipindi amekua akilaumiwa na watazamaji kuwakwaza jinsi ya uvaaji wake naye huwajibu apangiwi maisha na uvaaji na mtu,Yako wapi maadili ya utangazaji.Hii ni dalili ya kipindi kuishiwa mvuto kuanza kutumia maumbile ya watu.Uwezo wa kuuliza maswali wageni walikwa bado nao ni tete.