Posts

Showing posts from June 7, 2016

KARIBU UJUMUIKE NA WAZAZI WENZAKO KWENYE JUKWA LA KUJADILI MALEZI YENYE MALENGO

Image
Ni ukweli usiopingika kuwa waazazi wote hupenda kuona watoto wao wakikua katika maadaili yanayopendeza na ikiwemo kufaulu vizuri katika masomo yao na hata wafikiapo umri wa kujitegemea wawe vijana wenye maono bora. Hapo nyuma hakukuwa na mitaala ya kuweza kuwasaidia wazazi kukuza watoto vile inavyotakikana, hivyo ilipelekea watoto wengi kushindwa kufikia malengo yao na lawama walitupiwa wazazi wao. Njoo ujiunge sasa na wazazi wenzako kwa mara ya kwanza Tanzania inakuletea (Malezi yenye malengo) ni jukwaa la majadiliano,maoni,na njia mbadala za kuwalea watoto wetu. Nafasi ni chache jisajili mapema Karibuni sana. Wazungumzaji watakuwa Mrs Grace Makani Tarimo kutoka  Grace Inc Ltd na Dr. Elie Waminian (PHD) Kutoka Marekani Namba ya simu 0754-46174 11/06/2016. Hyatt Regency Hotel

TIMU YA ENGLAND YAWASILI PARIS UFARANSA KWAJILI YA EURO

Image
Kikosi cha wachezaji 23 wa timu ya taifa ya England kimewasili Paris Ufaransa mchana wa leo June 6 2016 kwa ajili ya michuano ya Euro 2016, England imeondoka Lutonasubuhi na kuwasili Paris Airport-Le Bourget mchana wa leo June 6 2016, Englanditacheza mchezo wake wa ufunguzi wa Euro 2016 Jumamosi hidi ya Urusi.