Posts

Showing posts from September 12, 2013

Pesa zazidi kumwagika kwa DIAMOND...Haya ni mamilioni aliyopewa na VODACOM

Image
Msanii wa muziki ya kizazi kipya Diamond Platinumz (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa, punde baada ya kusaini mkataba utakaowezesha wateja kuchukua wimbo wa Diamond Platinumz kama Ring Back Tone (RBT) na wajishindie Tsh 50,000 kwa siku. Anayeshuhudia ni Salum Mwalim, Mejena wa Mahusiano ya Nje, Vodacom Tanzania. Msanii wa muziki ya kizazi kipya Diamond Platinumz (mwenye fulana nyekundu) akiucheza wimbo wake mpya ujulikanao kama My Number One, wakati wa uzinduzi wa mkataba utakaowezesha wateja kuchukua wimbo huo kama Ring Back Tone (RBT) na wajishindie Tsh 50,000 kwa siku. Mkataba huo ni baina ya Diamond Platinumz na Vodacom Tanzania. Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa offer ya miito ya simu jijini Dar es Salaam. Kupitia ofa hiyo, wateja wanaweza kuchukua wimbo wa Diamond Platinumz kama

ANGALIA PICHA YA MWANAMKE MWENGINE AKAMATWA UWANJA WA NDEGE AKIWA NA MIMBA BANDIA ILIYOKUWA NA MADAWA YA KULEVYA

Image
Kila kukicha vita dhidi ya biashara haramu ya dawa za kulevya inazidi kupamba moto, wakati mataifa mbalimbali yakizidi kuimarisha udhibiti wa biashara hiyo, na wafanyabiashara hiyo wanazidi kuja na mbinu mpya za kusafirisha dawa hizo. Huko Colombia mwanamke mmoja raia wa Canada amekamatwa uwanja wa ndege akiwa na tumbo la ujauzito wa bandia ambalo ndani yake alificha kilo mbili za dawa za kulevya aina ya Cocaine. Polisi wa uwanja wa ndege wa Bogota Colombia alimshtukia mwanamke huyo raia wa canada Tabitha Leah Ritchie aliyeonekana kuwa na tumbo lisilo la kawaida ndipo baada ya kumkagua wakakutana na dawa hiz o

Rais Kikwete awapa MAKAVU wanaoudharau utendaji kazi wake....Adai 2015 atawaumbua kwa AIBU,.

Image
Rais Jakaya Kikwete amesema wale wote wanaombeza kuhusu utendaji wake, wataona aibu atakapomaliza muhula wake 2015 huku akiwananga baadhi ya wanaCCM kwa kushindwa kuyaelezea mafanikio ya Serikali chini ya chama hicho.    Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa kusambaza umeme katika mikoa ya Mwanza na Geita unaofadhiliwa na Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), Rais Kikwete alisema: “Wakati wa kampeni nilibezwa sana, lakini sasa ninawaomba walionibeza kufika vijijini na kuangalia ukamilishaji wa ahadi zangu.   “Nataka waje waone, kwa sasa ninakamilisha usambazaji wa umeme katika vijiji vyote ili kufikia lengo la Watanzania asilimi 30 kufikiwa na nishati hiyo. Hadi 2015 umeme utakuwa umesambaa nchi nzima.   “Serikali yangu itavunja rekodi ya kusambaza umeme katika vijiji vingi nchini…Tumejenga mtandao wa barabara kwa sasa, hali yetu ya barabara ni bora Afrika Mashariki, tuliahidi meli Bukoba nao

HONGERA...HONGERA...."Ndoa ya mwanamziki H.BABA na Bongo Movie FLORA MVUNGI yaleta majibu haya

Image
  Msanii H.BABA apata mtoto wa kike na amempa jina la Tanzanite mtoto huyu amezaliwa katika hosp ya MariaStope iliyopo maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam

HONGERA SANA MDAU WETU JOSEPHAT MAGESA KWA KUVUTA JIKO

Image

ANGALIA PICHA : JINSI MSHIRIKI WA BIG BROTHER POKELLO ALIVYOPOKELEWA HUKO GHANA

Image

"Kwa sasa Sina MPENZI ....mwenye nia ya dhati ANITAFUTE"...Baby Madah

Image
  Leo katika interview na baby Madaha ambaye hivi karibuni amesaini mkataba mnono na kampuni ya Candy n’ Candy Records  ya jijini Nairobi nchini Kenya , Bongomovie.com wameweza kupata mambo matano ambayo mashabiki wa mwanadada huyu watakuwa hawajui kumhusu yeye.   Katika interview hiyo, baby Madaha  ametaja mambo matano ambayo anasema mashabiki wake wanahitaji kuyafahamu kumhusu yeye. Mambo hayo ni haya yafuatayo: 1. I’m single ( Sina  mpenzi) M wanadada huyu amesema kuwa kwa sasa yupo single na  yuko  bize  na PESA. Ila  kama  kuna  mwanaume  mwenye  nia  ya  dhati  anaweza  kumtafuta. 2. Anasoma degree ya sanaa kwenye sayansi ya siasa na historia (B.A- Political science and History) - chuo kikuu huria jijini Dar es Salaam.. 3. Mama yake mzazi ndio rafiki yake mkubwa maishani 4. Ni mpenzi wa soka na ni mshabiki wa Chelsea na anavutiwa na  Kevin-Prince Boateng wa club Schalke 04 ambaye ndiye alisababisha akanyoa nywele staili aliyonayo baby madaha k

Picha za UCHI za binti wa kibongo zavuja....

Image
Utandawazi  umeendelea  kuwaangamiza  dada  zetu  wanaopenda  kuiga  mambo  wasiyoyajua.... Katika  upekuzi  wetu, mtandao  huu  umefanikiwa  kuzinasa  picha  za  mrembo  huyu akiwa  katika  pozi  la  nusu  uchi. Hii si  mara  ya  kwanza  kwa  mtandao  huu  kuzinasa  picha  za  mrembo huyu ambazo  husambazwa  na  yeye  mwenyewe  kwa  wapenzi  wake  na  mashosti  zake.... Mapema  mwezi wa  saba, mtandao  huu  ulizinasa  picha  2  za  mrembo  huyu  na  kuamua  kuzipotezea. Mwezi  wa nane  tulinasa  picha  zake  tena  na  kuamua  kuzipotezea... Awamu  hii  tumetumiwa  tena  sample  nyingine  ya  picha  zake  za  utupu.Hii  inadhihirisha  kwamba  ni  kawaida  yake  kujifotoa  akiwa  mtupu. Kwa  kuwa  sote  tunajua  kwamba  maadili  ya  kitanzania  hayaruhusu   mchezo  huu  mchafu  wa  mikanda  na  picha  za  uchi, mtandao  huu  umeamua  kumuumbua  kama  ilivyo  kwa  watu  wengine  ili  iwe  fundisho  kwa  dada  zetu  wengine. TUJIKUMBUSHE: Mapema  mwezi 

SAKATA LA MANISPAA YA MOROGORO KUVUNJA KANISA MCHUNGAJI AJA JUU

Image
Sakata  la Halmashauri ya manispaa ya Morogoro  kudaiwa kulivunja kanisa la Winning Faith lililopo kata ya saba saba mkoani hapa,Askofu wa kanisani hilo Dietrich Oswald awasaka vigogo wa Halmashauri hiyo akiwashutumu kulivunja kanisa lake. Haya yamebainishwa na mchungaji kiongozi wa kanisani hilo Josephat Hando . "Huu ni uonezi uliofanywa na uongozi wa Halmashauri ya manispaa,sisi tumejenga kanisa hilio kwa baraka zote serikali ya mtaa na kata kwa ujumla chaajabu manispaa wamekuja usiku wa manane na kumpora simu mlinzi wetu  Bw Joseph Mtinangi kisha kulivunja kanisani letu na kwamba walipomaliza kazi hiyo walimlejeshea simu mlinzi huyo"alisema Mchungaji. Mchungaji Alisema"Mimi binafsi pamoja na waumini wangu tulifanya ibada ya na kumshitakia Mungu lakini mwenyekanisa lake Askofu Oswald alikwenda Manispaa kuonana na Meya pamoja na Mkurugezi lakini aliambiwa wako kwenye heka heka z

Roy Hodgson atetea England

Image
Meneja wa timu ya Uingereza Roy Hodgson, amesema aliridhika na walivyocheza wachezaji wake walipojitosa katika michuano ya kuwania kombe la dunia. England ilienda ilimaliza mchezo kwa sare tasa dhidi ya Ukraine kwenye mechi iliyochezwa mjini Kiev Taarifa zinazohusianaMichezo Kikosi cha Hodgson kinasalia juu katika kikundi cha H na kitafuzu ikiwa kitashinda mechi zao mbili za kufuzu dhidi ya Montenegro na Poland zitakazochezwa katiika uwanja wa Wembley. Baadhi ya mechi ambayo walisema ilikosa msisimuko na ambayo ilichezwa mbela ya mashabiki 70,000, meneja huyo wa England alisema, "kabla ya mchezo, hisia waliyokuwa nayo wengi ni kwamba matokeo ya sare yoyote hayatakuwa mabaya.'' England iliingia kwenye mchezo huo, bila ya wachezaji, Danny Welbeck ambaye huchezea Man U , Wayne Rooney na mshambulizi wa Liverpool Daniel Sturridge ambao hawakucheza kutokana na majeraha. Uwezo wetu wa kushambulia ulikuwa mdogo sana

SHIWATA YAKABIDHI NYUMBA ZA WANACHAMA WAO KWA AJILI YA MAKAZI

Image
Mchezaji na Kepteni wa zamani wa Timu ya Taifa Stars, Jella Mtagwa (kushoto) akipokea cheti cha nyumba aliyokabidhiwa na SHIWATA na eneo la robo ekari ambalo anatarajia kujenga nyumba kubwa Mwanachama huyu wa SHIWATA kulia ameamua kujijengea nyumba yake pole pole hapa akikabidhiwa cheti chake Mmoja wa wanachama wa SHIWATA, Emmanuel Ntumbii na mkewe wakipokea cheti cha kumilikishwa nyumba yake akishuhudiwa na wanachama wenzake. Mwandishi wa Habari, Josephine Joseph akionesha cheti alichokabidhiwa na SHIWATA mbele ya nyumba yake katika sherehe ya kukabidhi nyumba za wasanii,Mkuranga. Mkuu wa wilaya mstaafu, Bw. Henry Clemence akizungumza katika sherehe ya kukabidhi nyumba 38 za wasanii wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) katika kijiji cha Mwanzega, Mkuanga.

KINSHASA MARATHON YAVUNJA REKODI!!

Image
Mkurugenzi wa Executive Solutions, Aggrey Marealle akizungumza na Waziri wa Michezo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Banza Mukalayi kwenye mbio za Kinshasa Marathon zilizoandaliwa na Executive Solutions. Anayesikiliza ni John Addison, Mkurugenzi wa Wild Frontiers ya Afrika Kusini. Washiriki wa Kinshasa Marathon wakijiandaa kuanza mbio. Mbio hizo ziliandaliwa na Executive Solutions ya jijini Dar es salaam. Mkuu wa Alerte Rouge, Fanny Kazadi Nyembwe akimkabidhi zawadi Mutumbe Mande ambaye aliibuka mshindi wa mshindi wa mbio za Kinshasa Marathon. Mbio hizo ziliandaliwa na Executive Solutions ya jijini Dar es salaam. Warembo wakiwa wameshikilia mifano ya hundi kwa ajili ya kuwakabidhi washindi wa Kinshasa Marathon. Mbio hizo ziliandaliwa na Executive Solutions ya jijini Dar es salaam. Mwamvita Makamba, Afisa wa Masuala ya Jamii kutoka Vodacom Afrika Kusini akishiriki mbio za Kinshasa Marathon pamoja na Mdhamini wa Kampuni ya Vodafone ya Ui

Mmarekani mpigania Al shabaab auawa

Image
Thursday, 1 Wakaazi wa eneo la Gedo Kusini Magharibi mwa Somalia, wanasema kuwa mwanamgambo wa kiisilamu mwenye asili ya kimarekani, ameuawa na wanamgambo wa al Shabaab. Duru zinasema kuwa aliuawa baada ya kuvamiwa na wanamgambo wenzake katika eneo alilokuwa anaishi. Mmarekani huyo anayejulikana kwa jina lake Abu Mansoor al Amriki au Omar Hammami, aliuawa pamoja na mwenzake Usama al-Britani, raia wa Pakistan mwenye asili ya Uingereza. Inaarifiwa wawili hao walikuwa wamejitenga na kundi la Al Shabaab . Mwenzao mwenye asili ya Misri alikamatwa. Kundi la Al Shabaab limekuwa likikumbwa na migawanyiko huku wapiganaji wa kigeni pamoja na wapiganaji wengine wakilengwa na kiongozi wa mwenye msimamo mkali wa Al shabaab Ahmed Abdi Godane. Godane anaongoza wapiganaji wake katika kupigania wanachokiita taifa la kiisilamu.