IRENE UWOYA AMLIPUA WEMA SEPETU NA WENZAKE,AWAPA MAKAVU LIVE

Baada ya kashikashi za hapa na pale ya wasanii wa bongo movie kuingia kwenye siasa huku Wema Sepetu akihamia CHADEMA na kusema anaidai CCM, swahiba wake, Batuli amekanusha. Wakati vita vya maneno vikiendelea, mwenzao, Irene Uwoya amewachana. Irene ametumia ukurasa wake wa Instagram kuandika maneno yenye busara ndani: Katika maisha siku zote ushauri unaruhusiwa kutolewa au kupokelewaā¦ Lakin sio lazima mtu kupokea ushauri unaotolewaā¦ Kila mtu anauhuru wakuamua kitu ambacho anahisi kinamfaa kwenye maisha sababuā¦ Sazingine kwenye maisha Kuna sehemu inafika unacho jiskia kwenye moyo wako sio rahisi mtu mwingine kujiskia ā¦ Sasa ni mbaya sana kuishi kwa hisiaā¦ Ifikie Wakati tujitaidi kuheshimu hisia Za mtuā¦ Lakin pia kunavitu vingine nazani Nivyema vkabaki kwa wausika wavinaowahusuā¦yani sio lazima kuongea kila kitu kwenye jamiiiā¦ Watu wanatamani sazingine kuskia vtu ambavyo wanahisi vinafaida kwa Jamaniiiā¦ Kunavitu vingine ukiongea havina maana.ā Mfano mim ni CCM da...