Posts

Showing posts from July 20, 2015

MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL

Image
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana. DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho. Mmoja wa vijana wa kituo hicho akiigiza igizo kuonesha changamoto zinazowakabili watoto waishio katika mazingira hatarishi. Mkuu wa Kituo cha Watoto Wetu Tanzania, Evans Tegete (kulia), akizungumza katika hafla ya kuzindua kisima hicho. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose na  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Naibu Mkurugenzi wa Kituo hicho, Theobard Bubelwa (kulia), akiteta jambo na Chief Commerial Officer wa Zantel, Sukwinder Bajwa wakati wa hafla hiyo. Watoto wa kituo hicho na wanahabari wakiwa kwenye u

WATUHUMIWA WA UJAMBAZI STAKISHARI WATIWA MBARONI

Image
Kituo cha Polisi Stakishari kilichovamiwa na majambazi. JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limewakamata watu watano waliohusika na tukio la ujambazi katika Kituo cha Stakishari, kilichopo Ukonga jijini Dar pamoja na silaha kadhaa. Katika tukio hilo bunduki aina ya SMG 7, SAR 7 na risasi 28 za SMG vimekamatwa vyote vikiwa vya Kituo cha Stakishari. Mbali na vitu hivyo, sanduku lenye fedha kiasi cha shilingi milioni 170 pamoja na pikipiki 4 vimekamatwa. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, ameapa kwamba Jeshi hilo litawakamata wote waliohusika na tukio hilo, pia amesema kama wapo watu waliohusika na tukio hilo wajisalimishe mapema.

KAMATI YA SIASA YA SONGEA MJINI YAENGUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE YA DR EMMANUEL NCHIMBI

Image
KAMATI ya Siasa ya chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Songea Mjini imetupilia mbali fomu ya mgombea UBUNGE Dr. Emmanuel Nchimbi kwa madai kuwa fomu hiyo haikuwa na vigezo na kusababisha kushindwa kuijadili baada ya mgombea kutokuwepo kwenye kikao hicho. Akizungumza asubuhi ya leo ofisini kwake katibu wa CCM wa Wilaya hiyo Juma Mpeli alisema kuwa mpaka jana majira ya saa kumi jioni fomu za kugombea ubunge jimbo la Songea Mjini zilipokelewa tisa (9) lakini fomu moja ya Dr. Nchimbi ilikuwa imechukuliwa na mmoja wa wakazi wa Songea na ikalejeshwa siku hiyo hiyo ikiwa imejazwa. Alisema kuwa fomu hiyo ya mgombea ilishindikana kujadiliwa kwa kuwa mgombea mwenyewe Dr. Nchimbi hakuwepo kwenye kikao ambacho wagombea wote waliitwa kujadiliwa kadri ya maelezo waliyoyatoa kwenye fomu ya kugombea ubunge kwenye jimbo hilo. Alieleza zaidi kuwa fomu hiyo iliyoondolewa maelezo yaliyokuwemo imeonyesha wazi kwa ilijazwa na watu wengine na sio mgombea Dr. Nchimbi na jitihada zilif

BAADA YA SHILOLE KUMWAGA MBOGA NUHU NAE AMWAGA UGALI JIONEE ALIVOMWANIKA MWANDANI WAKE HUYO!! BALAA TUPU Wakati bado tupo kwenye shamra shamra ile couple ya wendawazimu flani hivi amazing imeibuka kusikojulikana na kuanza kumwaga mchele kwenye kuku, koh koh koh majogoo na matetea wakaanza kudonoa kama hivi Shilole kaanza kwa kumwaga mboga, kumkashifu aliekua mwandani wake "Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi #GaNdALaNdiZi™@shilolekiuno" Nuhu nae akaona isiwe tabu akamwaga ugali, na kachumbari "Mwanaume wa kweli ukaa kimya'sibishani na upumbavu'mwanamke asieridhika na kujua kua kathaminiwa mpaka tatoo kachorwa'na kuvumilia mambo yote alionifanyia ya kuniaibisha mbele ya mashabiki zangu'familia na'wasanii wenzangu na wadau'anaanza kunitukana mitandaoni for whaaaat!!! Mxeeeeew'mimi bado kijana na nna time ya kupata maisha yangu na mtu atakae thamini moyo wangu 'nawaachia wanaume wenzangu na nyie mjaribu zari 'mimi nacheka tu #AsHaNgeDerE ™@mziwandanation"

Image
Wakati bado tupo kwenye shamra shamra ile couple ya wendawazimu flani hivi amazing imeibuka kusikojulikana na kuanza kumwaga mchele kwenye kuku, koh koh koh majogoo na matetea wakaanza kudonoa kama hivi Shilole kaanza kwa kumwaga mboga, kumkashifu aliekua mwandani wake "Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi #GaNdALaNdiZi ™@shilolekiuno" Nuhu nae akaona isiwe tabu akamwaga ugali, na kachumbari "Mwanaume wa kweli ukaa kimya'sibishani na upumbavu'mwanamke asieridhika na kujua kua kathaminiwa mpaka tatoo kachorwa'na kuvumilia mambo yote alionifanyia ya kuniaibisha mbele ya mashabiki zangu'familia na'wasanii wenzangu na wadau'anaanza kunitukana mitandaoni for whaaaat!!! Mxeeeeew'mimi bado kijana na nna time ya kupata maisha y

MMAREKANI NE-YO AMVULIA KOFIA DIAMOND

Image
  kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na ‘Ne-yo’. KIWANGO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-yo’ kuukubali uwezo wa kimuziki alionao kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. Kabla ya Mmarekani huyo aliyewahi kutamba na Wimbo wa Miss Independent kuukubali uwezo wa Diamond, mastaa mbalimbali wa Afrika wakiwamo David Adedeji Adeleke ‘Davido’ na P-Square (Peter na Paul Okoye) wa Nigeria, kwa nyakati tofauti waliwahi kuripotiwa kwenye vyombo vya habari wakiguswa na uwezo wake na kuamua kufanya naye kolabo. TUJIUNGE SAUZ Kwa mujibu wa chanzo makini kilichoripoti ‘live’ kutoka Durban, Afrika Kusini (Sauz), wikiendi iliyopita kulikofanyika Tuzo za MTV Africa Music (Mama), Ne-yo ndiye aliyekuwa wa kwanza kuonesha shauku ya kutaka kumjua Diamond. “Jamaa (Ne-yo) yeye mwenyewe ndiye aliyeonesha kuwa na shauku kubwa ya kuta

SIRI IMEFICHUKA! RAY C AANIKA MAPENZI YAKE YA SIRI NA RAIS

Image
While laying her sentiments on social media, the mellow voiced singer claimed that she has been holding her secret back for long but it’s high time she let the world know about it. Aging Tanzanian singer, Rehema Chalamila, who is popularly known as, Ray C, has confessed that she has had a crush on President Uhuru Kenyatta for so long. “Lemme tell you a lil secret about Uhuru!!! I love this guy to death! I have had a crush on him for soooo long!!! ” She said. Ray C further confessed that everything about our President is awesome and no woman can resist him. “I love everything about him. His accent, his attitude. Total package” the singer added. Ray C’s confession comes just a few weeks after she listed crazy demands any man who wants to marry her must meet. Among those demands includes, sharing the shame phone and ability to cook for her when she is tired. The aging singer is yet to find a husband despite her popularity.

LULU AZUA MAKUBWA NA MAZITO KWA KAULI YAKE HII TATA ALIYOITOA...SHUKA NAYO HAPA!

Image
Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Imelda mtema Makubwa! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedai kwamba yeye ni ‘demu feki’ tena mwenye tabia za kitapeli huku kauli yake hiyo ikiacha baadhi ya watu midomo wazi na kutaka kujua kulikoni. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Lulu alisema kuwa ni kweli yeye ni demu feki lakini kama watu wanataka kujua kwa nini yeye ni feki na ana tabia za kitapeli wasubiri kujua kwa nini ameamua kujiita hivyo. “Kama mtu anataka kujua ufeki wangu anisikilizie maana kuna kitu nimefanya kitathibitisha hilo,” alisema Lulu.

DKT JOHN POMBE MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI

Image
  Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi  CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo akitokea mkoani Mwanza ambako nako alipita kujitambulisha na kuwashukuru wakazi wa jiji hilo ambao nao walijitokeza kwa wingi.  Kufuatia ujio wa Dkt Magufuli ndani ya mji wa Chato kuliibuka shamra shamra za mapokezi zilizokuwa zikirindima kila pande wakifurahia uteuzi wa CCM kwa Dkt Magufuli. Baadhi ya Wananchi wa Wilaya ya Chato na vitongoji vyake waliokuwa  wamekusanyika kwenye kituo cha mabasi wilayani humo wakishangilia kwa  furaha kubwa mara baada ya Mbunge wao na Mgombea Urais kwa chama cha  Mapinduzi  CCM,Dkt John Pombe Magufuli kujitambulisha kwao.  Baadhi ya Wananchi wa Wilaya ya Chato na vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza  kwa wingi kumlaki Mbunge wao na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi  CCM,Dkt John Pombe Magufuli mara baada ya kuwasili leo jioni mjini