Posts

Showing posts from October 27, 2016

Wahukumiwa Kifo kwa Kumuua Albino Bukoba

Image
Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo imewahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa waili Lameck Bazil na Pankras Minago kwa kumuua albino Magdalena Andrea. Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Firmin Matogolo baada ya kuridhika na ushahidi kuwa watu hao ndiyo waliomuua mlemavu huyo ambaye ni mkazi wa Wilaya ya Biharamulo mwaka 2008. Credit: Fahari News

Hizi Ndizo Shule Zilizofanya Udanganyifu Kwenye Mtihani wa Darasa la 7

Image
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), Dk. Charles Msonde akitangaza matokeo ya Kumaliza Elimu ya Msingi 2016, mapema leo. … Msonde akionyesha baadhi ya nguo za wanafunzi zilizokamatwa katika kipindi cha mitihani zikiwa zimeandikwa majibu ya mitihani hiyo. …Akionyesha kaptula ya mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Tumaini iliyopo Wilaya ya Sengerema yenye majibu ya maswali ya mtihani wa Darasa la Saba iliyokamatwa. … Akionyesha karatasi ya mfano wa majibu inayoonyesha baadhi  ya wanafunzi yenye ufanano wa aina moja katika shule. Mkutano na wanahabari ukiendelea.

BREAKING NEWSS:HAYA NDIO MATOKEO YA DARASA LA SABA

Image
Kuyatazama matokeo ya darasa la saba mwaka 2016; Bofya Hapa  au Bofya Hapa

MANCHESTER UNITED WAITANDIKA MAN CITY NA KUTINGA ROBO FAINALI

Image
      Kikosi cha Manchester United kinachoongozwa na Jose Mourinho usiku huu kimeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Manchester City. Mchezo huo wa Kombe la EFL uliopigwa kwenye Uwanja wa Manchester United, Old Trafford ulimalizika kwa bao pekee lililofungwa na Juan Mata dakika ya 54. VIKOSI MANCHESTER UNITED: De Gea, Valencia, Rojo, Blind, Shaw, Carrick, Herrera, Mata (Schneiderlin 73), Pogba, Rashford (Lingard 82), Ibrahimovic Benchi: Romero, Depay, Young, Fellaini, Darmian MANCHESTER CITY: Caballero, Maffeo, Otamendi, Kompany (Kolarov 46), Clichy, Garcia Serrano, Fernando, Sane (Sterling 63), Jesus Navas, Iheanacho, Nolito (Aguero 71) Benchi: Gunn, Gundogan, Fernandinho, Adarabioyo