Posts

Showing posts from July 25, 2013

RAIS KIKWETE AFUNGUA JENGO LA MAHAKAMA KUU KANDA YA BUKOBA

Image
Rais Jakaya Mrisho Kikwete  akikata utepe akisaidiwa na  Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman wakifungua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua pazia kuzindua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013 NA FULLSHANGWE Wananchi waliojitokeza kwa wingi katika ufunguzi huo wakiondoka baada ya uzinduzi huo Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembezwa baada ya kufungua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembezwa baada ya kufungua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa mahakama nchini mara  baada ya kufungua  rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiondioka baada ya kufungua  rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013

MABINTI WAJIREKODI WAKIWA UCHI..... VIDEO YAVUJA

Image
Maadili ya kitanzania yamekuwa yakiporomoka  kila  kukicha  hasa kwa  watoto wa kike  ambao  wengi wao wamekuwa wakiendekeza  ufaska  wa   tamaduni  za  nchi  za  ng'ambo  wa  kujirekodi  wakiwa  uchi  na  kujipiga  wakiwa  uchi. Hii  ni  video  ya  mabinti  hao   walioamua  kujiumbua  wenyewe( Ni sharti uwe mtu mzima ) << BOFYA  HAPA  KUICHEIKI  ILIKO>>

PESA MWANAHARAMU:.. LADY GAGA AKUBALI KUPIGWA UCHI ILI KUUPAMBA UKURASA WA MBELE WA GAZETI

Image
  Lady  Gaga  ametoa  kali  ya  mwaka  baada  ya  kukubali  kufotolewa  akiwa  mtupu  ili  kuupamba  ukurasa  wa  mbele  wa  gazeti  la  V magazine... Baadhi  ya  fans  wake  wamefunguka  na  kudai  kuwa  uroho  wa  pesa  utamponza  huku wengine wakidai   kuwa  msanii  huyo  atakuwa  amekubali  kuanikwa  hivyo  ili  kuvuta  "attention"  ya  mashabiki  wake  kwa  ujio  wa  albam yake  mpya  itakayoitwa  Artpop Albamu hiyo inatarajiwa kuwa   sokoni mwezi wa 11 na nyimbo ya kwanza kutoka kwenye  album   hiyo  itatambulishwa mwezi wa nane tarehe 19.

KWA WADADA AMBAO HAWAJA OLEWA NA WANAPENDA MAISHA YA NDOA

Image

UJUMBE MZITO KUTOKA KWA IRENE UWOYA KWENDA KWA JOHARI

Image
Katika pita pita zetu leo hii tuliweza kupata ujumbe mmoja mzito na wa kutia moyo toka kwa mwanadada Irene Uwoya aliomwandikia mkongwe wa bongo movies nchini kwa upande wa kinadada Blandina Chagula maarufu kama Johari wiki chache zilizopita. Ujumbe huu wa Irene ni ujumbe wa kutia moyo na unaweza kuwa kama “Motivation message” kwa wadada wengi hapa mjini ili badala ya kukaa na kuwaza kupata mali au mafanikio kwa njia za mkato au zisizo halali basi wafanye kazi kwa bidii ili kujikwamua kiuchumi. Tukinukuu ujumbe huo Irene kwa Johari aliandika…. “Wewe nimwanamke wapekee...mchapakaz sana...atawaongeee vp kaza moyo...one thng u hav to know if God say yes no body I mean no body can say no...so don gv r f*ck Hii inawahusu wadada wote jamani. Nyie ni wanawake wapekee, wachapakazi, kazeni moyo. If God say yes, nobody can say no (Mungu akisema ndio hakuna awezaye kusema hapana)

Huyu ndo Mtu Ambaye Hajaoga Wala Kukata Nywele kwa Zaidi ya Miaka 37

Image
Mr Singh na Mkewe Hakika haya tunaweza kuyaita mafanikio ya ajabu kwa mzee huyu kutokana maamuzi yake. Labda tumite Mr Adui wa Maji ila jina lake kamili ni Mr Kailash Singh akiwa na ndiye anayeshikilia rekodi ya mtu anayenuka zaidi kutokana na kutokuoga kwa zaidi ya miaka 37 sasa. Mr Singh, 65, hajaoga na hata kukata nywele zake zenye urefu wa futi 6 toka mwaka 1974, mda mfupi mara baada ya kutoka kuoa. Akielezea juu ya uamuzi wake wakushangaza, Mr Singh anasema mchungaji alimuahidi zawadi ya mtoto wa kiume kama atafata ushauri.  Licha ya majirani kuwa wanamtania na kumdhihaki jamaa huyo walishindwa kubadili maamuzi yake na namna ya kipekee alifanikiwa kumshawishi mke wake, ila cha ajabu zaidi ni pale ambapo imani yake imeonekana kumdanganya kwani ameishia kupata watoto saba ambao wote ni wa kike.

DIWANI CHAMBO WA CCM AMTWANGA MKEWE............................

Image
Mke wa Diwani, Imelda Chambo akiwa kulazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Kwa mujibu wa mashuhuda, ugomvi huo ulichukua nafasi Alhamisi iliyopita saa 6 usiku nyumbani kwa wanandoa hao, Kihonda. Mke naye ni Diwani wa Kata ya Mkundi kwa ‘leseni’ ya CCM. Inadaiwa kuwa, baada ya mheshimiwa diwani kumtwanga mkewe na kummwagisha damu, mke naye alichukua chupa ya bia na ‘kujirudishia’’, wote wakawa chapachapa kwa damu. Siku ya tukio, paparazi wetu alipofika nyumbani kwa wanandoa hao alikuta tayari wameshakimbizwa hospitalini ndipo alielezwa kuwa chanzo cha ugomvi wao ni wivu wa mapenzi.  Paparazi wetu alitinga hospitali ya mkoa na kumkuta mke wa diwani huyo akiwa hoi kwenye wadi namba tatu. na GPL Akizungumza kwa tabu na gazeti hili, Diwani Imelda alisema ndoa yao imedumu kwa miaka 30 na kubahatika kuzaa watoto watatu. “Naweza kusema nusu ya maisha yetu ya ndoa ni migogoro na mapigano. “Ugomvi wa leo hauna kichwa

WEMA SEPETU HATIMAYE AVUTAMKOKOMPYA.

Image
Hiindiogari mpya wema kama inavyoonekana katika picha   Haya ndio Maneno ya Martin Kadinda aliyoandika facebook na kuweka picha ya Wema akiwa na gari hilo "samahani kwa ubora wa picha kuwa hafifu....... Ila huyu dada anapenda pink kupitiliza..... haya she gat new pink Car.... mkutane barabarani..." aliandika Martin.

BAADA YA KUPIGWA CHINI BIG BROTHER, HUDDAH AAMUA KUMALIZA HASIRA ZAKE KWA KUJIPIGA UCHI

Image
Wengi waliamini  kwamba    Big Brother  imempa  fundisho  mrembo  huyu  na  kutegemea  mabadiliko   makubwa  ikiwa  ni  pamoja  na  kuuuheshimu  mwili  wake  baada  ya  Video  zake  za  uchi  kuvuja  akioga  bafuni... Hali  imekuwa  ni  tofauti  kwa  mrembo  huyu  asiyeijua  thamani  ya  mwili  wake.Tabia  ni  ngozi.Skendo,picha  za  uchi  huenda  ziko  katika  mishipa  ya  damu  yake.... Hizi  ni  picha  zake  za  nusu  uchi  alizotupia  mtandaoni.