Posts

Showing posts from September 10, 2013

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA AWASILI MKOANI SHINYANGA NA KUANZA RASMI ZIARA YAKE

Image
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Abdulrahman Kinana akivishwa skafu mara baada ya kuwasili katika mji wa Isaka Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga leo asubuhi tayari kwa kuanza ziara yake ya siku nne mkoani humo katika kuimarisha chama na kuhamasisha wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozwa na Khamis Mgeja Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga mara baada ya kupokelewa katika mji mdogo wa Isaka h Viongozi mbalimbali wa Chama wakimpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana Akisalimiana na viongozi mbalimbali wa chama wakati alipowasili katika mji wa Isaka Wilayani Kahama leo asubuhi. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia na Khadija Kusaga aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Ezekiel Maige mbunge wa jimbo la Msalala wilayani Kahama katika mk

ANGALIA PICHA WATUHUMIWA TISA (9) WA KESI YA WIZI WA MAFUTA KWAKUTUMIA GALI LA KUBEBA WAGONJWA WAFIKISHWA MAHAKAMANI

Image
 MAFUTA YAKIWA NDANI YA GARI LA KUBEBEA WAGONJWA KABLA HALIJAONDOKA  MAFUTA YAKIWA NJE  GARI LIKIWA TAYARI KUONDOKA BAADA YA KUPAKIA MAFUTA  KIJAMPA KIKIWA KIMETULIA  ENEO HILI LILIKUWA LIMEFICHWA NA PLASTA ILI LISIJULIKANE KUWA NI LA WAGONJWA  HAPA LIKIWA LIMEFUNIKWA REBO KABLA YA KUGUNDULIKA  HAWA NDIO WALIOTOA MSAADA WA GARI HILO LA WAGONJWA LILILO GEUZWA KWA WIZI WA MAFUTA  HIZI NI PICHA ZA KUTHIBITISHA WIZI HUO WA MAFUTA Picha na Danice Stephano   Na,Denice Stephano WATUHUMIWA tisa wa kesi ya wizi wa mafuta katika mgodi wa Dhahabu( GEITA GOLD MINE ) kwakutumia gari la wagonjwa (Ambulance) wafikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka matatu yanayowakabili. Mwendesha

Waziri Mkuu Pinda afanya ufunguzi wa maonyesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini China leo jijini Dar

Image
Waziri Mkuu Mizengo Pinda (wa pili kulia) akikata utepe leo kuashiria ufunguzi wa maonyesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini China yanayofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanalengo la kutangaza bidhaa zinazozalishwa nchini humo ili viwanda na makampuni ya nchi hiyo waweze kufanya biashara na watanzania. Kulia kwa waziri mkuu ni Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Abdallah Kigoda na kushoto kwake ni Balozi wa China nchini LV Youqing. Waziri Mkuu Mizengo Pinda alijaribu jembe la kupandia nafaka wakati alipotembelea banda la kiwanda cha Qingyuan Manchu Autonomous County cha nchini China wakati wa maonyesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini humo yanayofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.Wanaomtazama ni Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Abdallah Kigoda (kushoto) na Balozi wa China nchini LV Youqing (kulia). Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiangalia malighafi zina

ANGALIA PICHA:MWILI WA MSANII WA BONGO MOVIE MALISA WAWASILI NYUMBANI KWAO MIKOCHENI

Image
wanaume wakiupokea mwili wa marehemu Dada Malisa ulipowasili nyumbani kwao Mikocheni

LULU ARAMBA DUME..!! AWA BALOZI WA DAR FILAMU FESTIVAL

Image
Dar Filamu Festival Idara Habari Maelezo jana Ikiwa ni wiki moja imepita toka mwigizaji mrembo wa Bongo Movie Elizabeth Michael aka Lulu azindue filamu yake ya ‘Foolish Age’ katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es salaam milango yake ya mafanikio imeendelea kufunguka.Kupitia akaunti yake ya Instagram @Hotlulumichael, ameweka picha akiwa na waandaaji na kutoa shkurani zake kwa kuchaguliwa kuwa Balozi wa ‘Dar Filamu Festival’.   “Shukrani za dhati kwenu DAR FILAMU FESTIVAL kwa kunichagua kuwa BALOZI wenu(OFFICIAL ACTRESS 2013/2014)…” Lulu kwa sasa anafanya shughuli zake za filamu chini ya kampuni ya Proin Promotions. Dar Filamu Festival (DFF) ni tamasha la filamu linalotarajiwa kufayika kwa siku tatu kuanzia (September 24-26) katika viwanja vya posta-Kijitonyama, Dar es salaam. Kwa mujibu wa filamucentral, tamasha hilo litaambatana na utoaji wa Semina kwa wadau wa filamu, kuonesha filamu za kitanzania kwa watu wote bure na kutakua na filamu

ANGALIA PICHA YA MAKAMU WA RAIS WA KENYA ALIVYO POKELEWA THE HAGUE KWA HESHIMA

Image
Deputy President William Ruto was yesterday given full VIP treatment at the Hague, despite past fears that he would be arrested on sight. 3 police outriders led the way for Ruto's motorcade of at least 6 cars. Just like in Kenya, the roads were cleared for him. Ruto was also provided with a good number of suited up VIP protection police.  Here are some photos from the Hague.

PICHA YA MWANAMKE. ALIYEKATWA MKONO NA MPENZIWE KISA MAPENZI

Image
Baada ya kuwa katika mapenzi na mwanaume huyo kwa zaidi ya miaka 17, wakipendana na kuitana majina yote mazuri unayoyajua yakiwamo kuambiwa ‘mpenzi wangu nakupenda, nikinywa maji nakuona kwenye glasi’…leo mapenzi yamegeuka shubiri. Kuna mikasa mbalimbali huwatokea watu katika suala zima la mapenzi, kiasi cha kusababisha baadhi yao kutopenda tena kuingia kwenye jambo hilo wakiliona kama ni kitu kisichofaa, ingawa ukweli unaweza kuwa sio huo.“Sitaki tena wanaume, ni watu wabaya, wameniumiza moyo wangu mno,” anasema Hawa Francis, mkazi wa Ubungo, Dar es Salaam. Sababu kubwa ni kero ambazo amewahi kuzipata katika suala zima la uhusiano. Vivyo hivyo wapo wanaume hawataki kuoa, kwa maelezo kuwa kuna wanawake wamewahi kuwatesa. Kama wewe ni kati ya watu ambao umekata tamaa na suala la uhusiano, fahamu kuwa si wewe pekee.Kuna kundi kubwa la watu wameshatendewa kiasi cha kufanya wasiwe na raha tena. Mkasa wa mwanamke kukatwa mkono Ilik

Picha za msanii RECHO akisuguliwa nyeti zake wakati wa tamasha la Serengeti Fiesta- 2013

Image
MSANII kutoka kundi la Tanzania House of Talent (THT), Winfrida Josephat 'Rachel' akifanya vituko  vyake stejini wakati wa Tamasha la Serengeti Fiesta 2013.