Posts

Showing posts from April 6, 2015

MKE WA TU AFUMWA LIVE NA MCHEPUKO GESTI WAKIFANYA YAO JIJINI DAR

Image
Issa Mnally na Richard Bukos AMA KWELI duniani kuna mambo! Wakati wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, dada mmoja ambaye ni mke wa mtu yeye alijikuta akiiserebukia kwa fumanizi gesti, tena akiwa na mume wa mtu! Tukio hilo lilijiri Alhamisi Kuu maeneo Buza jijini Dar, mishale ya saa 7:00 usiku huku jamii ikiwa katika harakati za kununua hiki na kile kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka iliyoadhimishwa duniani kote jana huku leo ikiwa ni Jumatatu ya Pasaka. Katika fumanizi hilo, timbwili la aina yake liliibuka baada ya mwanamke huyo mwenye mwili mkubwa, kuponyoka mikononi mwa mke aliyemnasa na kutoka nduki nje akiwa mtupu bila kujali hali hiyo. MADAI YA AWALI Awali, ilidaiwa kuwa mume huyo wa mtu aliyefahamika kwa jina la baba Somoe, mkazi wa Kongowe (nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam) alimchepuka mke wake (mama Somoe) na kuanzisha uhusiano na mwanamke huyo. MKE ATILIA SHAKA, AFUATILIA Chanzo kikazidi kudai kwa

HATIMAYE DIAMOND AFUNGUKA UKWELI WA PICHA NDOA ZILIZOSAMBAA, ANENA KUHUSU KINACHOFUATA

Image
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ katika pozi. Musa Mateja Kutafuta kiki? Wikiendi iliyopita, gumzo kubwa katika mitandao ya kijamii lilikuwa ni kuhusu stori ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufunga ndoa na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ lakini Ijumaa Wikiendalimezungumza na mwanamuziki huyo na kupata ukweli wake. Taarifa hizo ziliibuka katika mtandao wa Instagram mara baada ya Diamond kuweka picha iliyomuonesha akiwa na Zari ambaye alivaa shela huku Diamond akiwa na suti kuashiria kuwa wawili hao wamefunga ndoa kutokana na ujumbe uliosindikiza picha hiyo. Diamond aliandika: “Wakati mwingine usiri una baraka zaidi...alhamdullah (sometimes privacy has more blessings...thank you so much God).” Baada ya ujumbe huo ndipo mashabiki wao walipoanza kusambaziana ujumbe kuwa Diamond amemuoa Zari. Baada ya kuenea kwa ubuyu huo, mwanahabari wetu alimvuti

MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 6.4.2O15

Image
  MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI   MAGAZETI YA UDAKU LEO

RONALDO APIGA BAO TANO MADRID IKIITUNGUA GRANADA 9-1

Image
REAL MADRID: Casillas; Arbeloa, Ramos, Varane, Marcelo; Rodriguez (Jese 61) Kroos (Illaramendi 57), Modric; Bale, Benzema (Hernandez 61), Ronaldo Subs not used: Navas, Nacho, Coentrao, Silva Booked: Arbeloa Goals: Bale 25, Ronaldo 30, 36, 38, 54, 89, Benzema 52, 56, Mainz (own goal) 83 GRANADA: Oier; Foulquier, Mainz, Babin (Murillo 61), Juan Carlos; Fran Rico (Silvestre 57), Iturra; Ibanez, Rochina (Piti 53), Candeias; El Arabi  Subs not used: Roberto, Nyom, Javi Marquez, Riki Booked: Piti, Murillo Goal: Ibanez 74  Referee: Jesus Gil