Posts

Showing posts from May 11, 2017

PICHA: MVUA KUBWA ILIVYOPOROMOA MIAMBA LUSHOTO LEO

Image
Taarifa tulizozipata kutoka wilani Lushoto kutoka kwa mashuhuda wa matukio hayo zinasema mvua kubwa zinaendelea kunyesha nnchi zimeendelea kuketa madhara kwa wakazi wa wilaya hiyo ya mkoa wa Tanga. Tunaambiwa kuwa njia ya mombo Lushoto haipitiki, na kwamba  magari yameangukiwa na miamba ya mawe iliyoporomoka barabarani.. Ujumbe unaandikwa 'Naombeni kila mtu na kwa imani yake tuwaombee dua  ndugu zangu waliopo wilaya ya Lushoto  MUNGU awanusuru na mvua kubwa inayoendelea kunyesha usiku na mchana ,njia ya mombo Lushoto  haipitikia magari  yameangukiwa na ngema zenye mawe makubwa na inasemekana kuna waliopoteza maisha !!'

RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA AWASILI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEJI WAKE RAIS DKT. MAGUFIULI

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mgeni wake Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma wakati wa Nyimbo za Mataifa mawili (Tanzania & Afrika Kusini) zikipigwa katika viwanja wa Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma akipita kukagua Gwaride la Heshima aliloandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma wakati wakiangalia vikundi vya ngoma za asili vilivyokuwa vikitumbuiza ndani ya viwanja vya Ikulu kwa Heshima ya ugeni huo wa Rais wa Afrika Kusini. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na mgeni wake Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma kabla ya kuanza mazungumzo yao Rasmi Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa T

RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AMPOKEA MGENI WAKE RAIS WA AFRIKA KUSINI,JACOB ZUMA LEO JIJINI DAR

Image
Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma pamoja na mwenyeji wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono baadhi ya wafanyakazi wa Ikulu na wananchi waliofika kumpokea mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017. Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma akimueleza jambo mwenyeji wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017. Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa sambamba na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma mapema leomara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017. Rais Dkt Magufuli akimsikiliza Makamua wa Rais,Samia Suluhu Hassan wakati wa mapokezi ya Rais wa Afrika Kusini,Jacob Zuma mapema leo kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini,Jacob Zuma akisalimiana na Makamu wa Rais,Samia Suluhu Hassani mapema leo kwenye viwanja vya Ikulu,jijini Dar,kushoto ni Rais Dkt John Pombe Magufuli akishuhu

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BNGENI MJINI DODODA

Image
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni Freeman Mbowe, bungeni mjini Dodoma Mei 11, 2017 .   Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali ya papo kwa papo Bungeni mjini Dodoma Mei 11, 2017.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Nkasi, Ally Bungeni mjini Dodoma Mei 11, 2017.   Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijadili jambo na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu bungeni mjini Dodoma Mei 11, 2017.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi,  Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama bungeni mjini Dodoma Mei 11, 2017. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Rombo Roman Joseph Selasini, kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Mei 11, 2017, katikati ni Mbunge wa Vunjo na Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Francis Mbatia, (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mama Lulu Aitolea Povu Zito Ndoa Ya Mwanae

Image
Staa wa sinema za Kibongo, Elizebeth Michael ‘Lulu’. STORI: BRIGHTON MASALU | AMANI | HABARI DAR ES SALAAM: Wakati kukiwa na madai ya kufanyika kwa vikao vya mwishomwisho vya harusi ya staa wa sinema za Kibongo, Elizebeth Michael ‘Lulu’, mama mzazi wa mrembo huyo, Lucresia Karugila ameitolea povu. Mama Lulu aliliambia gazeti hili kuwa, hataki ujinga wa kuulizwaulizwa juu ya harusi hiyo badala yake aachwe ili apumzike nakufanya mambo ya msingi. Mama mzazi wa mrembo huyo, Lucresia Karugila. Hayo yalikuja kufuatia swali alilotwangwa na mwandishi wetu aliyetaka kujua juu ya maendeleo ya vikao vya harusi yamwanaye na mmiliki mmoja wa kituo cha redio na televisheni ambapo badala ya kutoa ufafanuzi, alianza kumshambulia mwandishi wetu kwa maneno makali. Mama Lulu alisema hataki kabisa kusikia jambo la ndoa wala mapenzi ya Lulu, kwani hakuna uhalali wala uthibitisho wa wazi alioupokea juu ya suala hilo, hivyo kumuuliza nini kinaendelea ni sawa na kumuingiza kweny