Posts

Showing posts from January 21, 2014

OBAMA ASEMA BANGI NI BORA KULIKO POMBE. SOMA ALICHOKISEMA ZAIDI HAPA

Image
President Barack Obama wa Marekani amesema kuvuta bangi ni salama zaidi kuliko kunywa pombe lakini akawasisitizia mabinti zake kwamba hilo sio wazo zuri pia ambapo kwa mujibu wa gazeti la The Mirror,  amesema anaamini uvutaji bangi hauna madhara au athari za hatari kwa mtumiaji binafsi. Obama ambae aliwahi kuvuta kwenye enzi za ujana wake anasema “uvutaji sio kitu ambacho nachochea kifanyike, tambua ni upotezaji muda na inaathiri afya, bangi imehalalishwa kwenye miji ya Colorado na Washington kwa kura ya maoni na ilikuwa ni muhimu kwa ajili ya mataifa kumaliza uhalifu wa vijana wadogo  wanaotoka kwenye familia zenye asili ya umasikini” “tabaka la watoto wa kati hawafungwi kwa uvutaji bangi bali wanaofungwa ni wale watoto wa maskini, watoto wenye asili ya African -American na wa Kilatino wengi wao hawana uwezo wa kuwa rasilimali au misaada kuweza kuepuka vifungo vikali, hatupaswi kufunga watoto wetu au watumiaji binafsi vifungo virefu vya jela wakati baadhi ya hawa w

MUIGIZAJI MAARUFU WA ISIDINGO AFARIKI DUNIA LEO! ALIKUWA AKIISHI NA VIRUSI!

Image
Lesego Motsepe (Lettie Matabane), enzi za uhai wake Mwaka 2011 Lettie aliwahi kujitangaza kuwa anaishi na Virusi vya Ukimwi Aliyekuwa muigizaji maarufu katika Tamthilia ya Isidingo The Need ya Afrika Kusini, Lesego Motsepe maarufu zaidi kwa jina la Lettie Matabane, amefariki dunia nchini mwake Afrika Kusini mapema leo.  Lettie, ambaye alijipatia umaarufu mkubwa katika tamthilia hiyo kuanzia mwaka 1998 hadi 2008 alipoamua kuondoka, alikuwa akiishi na virusi vya Ulimwi kwa zaidi ya miaka 15. Mwaka 2011, aliwashitua mashabiki wake baada ya kuwatangazia kuwa yeye ni muathirika wa ukimwi.  Hata hivyo wengi walimpongeza kwa kuwa na ujasiri wa kujitangaza hadharani, kwani kwa miaka mingi alikuwa akifanya kazi ya ubalozi wa mambo ya ukimwi.  Aliianza kazi hiyo ya ubalozi kabla hajaathirika na hata alipoathirika hakushituka sana ingawa hali hiyo ilibadili maisha yake kabisa. Tamthilia ya Isidingo ni miongoni mwa tamthilia kongwe na maarufu nchini Tanzania ambayo imekuw

Zifahamu Sehemu NYETI 12 Zinazompa Raha Mwanamke Katika Mapenzi........

Image
Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu.Wakati tendo hilo kwa wanyama lipo kwa ajili ya kuzaa,kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa.Mapenzi au tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hili. Yafuatayo ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume utayashughulikia ipasavyo bila shaka mtafurahia uumbaji wake Mungu . 1. MIDOMO YAKE. Tumia midomo yako,ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa.Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni.(usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu). 2. UKE NA KINEMBE. Tumia kidole chako cha kwanza cha mkono wa kulia polepole pitisha katika mfereji wa uke ukianzia chini (kutokea kwenye matako) ukipandisha juu,fanya hivyo mara kadhaa.Kutegemea umbo lako na urefu,unaweza kuchanganya zoezi hili na kunyonya matiti yake na hapo utaona upumuaji wake ukibadilika na majimaji yaki

UKATILI WA KUTISHA IRINGA BABA WA KAMBO AWACHOMA MOTO WATOTO WAWILI HUKU MAMA YAO AKISHANGILIA ,KISA KUTUMIA TSH 10,000 VIBAYA

Image
Askari  polisi akimuongoza mama  wa watoto hao polisi Askari  wanaharakati  wa dawati la mtandao wa jinsia kulia na kushoto wakiwa  wamemkamata mama wa watoto  hao tayari kwenda polisi Hapa wakiingia na mama  huyo katika ofisi za dawati la jinsia mkoa wa Iringa Hivi  ndivyo  watoto  hao  walivyougunzwa  kinyama na baba wa kambo  Mrakibu mwandamizi  wa  polisi na mkuu  wa dawati la jinsia na  watoto mkoa  wa Iringa ,Atupele Mwambunda  akiwatazama  watoto hao nje ya ofisi ya  dawati la jinsia mkoa  wa Iringa Mama  wa  watoto hao  Watende  Sanga  akiendelea  kupika chakula baada ya  watoto kuchukuliwa na polisi Askari  wa dawati la jinsia  Iringa akiingia kumsimamia  mama wa watoto hao kufunga duka lake kabla ya kuchukuliwa kwenda  polisi  Mkuu  wa dawati la jinsia mkoa wa Iringa Atupele Mwambunda (kulia) akimhoji  mama wa  watoto hao Watende Sanga kuhusiana na ukatili  uliofanywa dhidi ya  watoto  wake. ................................

MAMA LULU NA MAMA KANUMBA WAENDA KULA KIAPO RASMI ... FULL DATA ZIPO HAPA

Image
ULE udugu wa ukubwani kati ya wazazi wa mastaa wa filamu Bongo, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ na  Flora Mtegoa ‘Mama Kanumba’ umezidi kukua kufuatia kwenda Bukoba, Kagera kwa ajili ya kula kiapo cha kuimarisha undugu huo. Kutoka kushoto: Flora Mtegoa, Lulu na Lucresia Karugila katika pozi. Wazazi hao wawili walijikuta katika undugu kufuatia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kupata mkasa wa kifo cha aliyekuwa nyota wa filamu, marehemu Steven Kanumba kilichotokea Aprili 7, 2012. Lulu alidakwa akihusishwa na kifo hicho na kuswekwa mahabusu mpaka mwaka jana alipoachiwa kwa dhamana na mahakama kuu huku kesi hiyo ikiwa kwenye mchakato wa kuanza kusikilizwa. Tangu kuachiwa kwa Lulu, Mama Kanumba amekuwa karibu na staa huyo akisahau yaliyotokea. Ukaribu wa Mama Kanumba kwa Lulu ukajikuta ukiunga moja kwa moja kwa mama wa Lulu ambapo wote watangaza wamekuwa ndugu. Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’. Akizungumza na gazeti hili juzi jijini Dar, Mama Lulu alisema yeye na Mama Kanumb

WANAWAKE NI MAJANGA MATUPU, ISHU ZA MADAWA

Image
JANGA la kusafirisha madawa ya kulevya Bongo limezidi kuwa zito kufuatia takwimu za hivi karibuni kuonesha kwamba, idadi ya wanawake kujihusisha na shughuli hiyo inazidi kupanda. Jack Patrick. Akizungumza na Uwazi juzi, Kamanda wa Kudhibiti na Kuzuia Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa alisema wanawake wamekuwa ni janga kwa kuwa  wanaongoza kwa kukamatwa kutokana na kujihusisha na biashara hiyo haramu ya ‘unga’. NZOWA AANIKA MAMBO Katika mahojiano maalum na gazeti hili, Kamanda Nzowa alisema inasikitisha, inashangaza kwani kwa kipindi kifupi cha kuanzia Desemba 11, 2013 mpaka Januari 6, 2014  watuhumiwa watano walikamatwa na unga, kati yao wanawake walikuwa wanne. Masogange. “Hata mwaka jana mpaka Juni, wengi wa watuhumiwa tuliowakamata ni wanawake ukilinganisha na wanaume, hii ni mbinu inayotumiwa na wasafirishaji wa mihadarati kwa kuwatumia wanawake,” alisema Nzowa. ANAJUA KITAKACHOENDELEA Kamanda Nzowa alikwenda mbele zaidi kwa kusema: “Tunaj

AJALI ZACHUKUA UHAI WA WATU 34, 9 MANYARA, 9 LINDI, 13 SINGIDA NA 3 SAME

Image
News Alert: watu 9 wafariki dunia na 30 kujeruhiwa katika ajali mkoani lindi leo  Baadhi ya abiria ambao walikuwemo katika basi hilo wakiwa wametoka bila kujeruhiwa BASI Likiwa limeanguka na maiti bado zilikuwa hazijatolewa chini Kamishna msaidizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi,Renatha Mzinga akisimamia zoezi la kuinua basi hilo kwa ajili ya utoaji wa Maiti  9 za ajali hiyo Na Abdulaziz Video, Lindi Watu 9 wakiwemo watoto 2 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 30 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la abiria la Alhamdulilah linalofanya safari zake kutoka jijini Dar kwenda mkoani Mtwara kupinduka katika kijiji cha Mambulu Manispaa ya Lindi.   Ajali hiyo iliyotokea mchana leo baada ya basi hilo kupishana na lori na kupoteza mwelekeo na kupinduka hali ilichangiwa na mvua iliyokuwa ikiendelea kunyesha.  Hadi ninatoka eneo la tukio marehemu hao hawakuweza kufahamika kwa haraka kutokana na kukatika viungo na tayari majeruhi na maiti wote wamefikishwa hospitali.

WANAFUNZI WATUMIA PICHA ZA NGONO KUJIUZA

Image
  Msichana aliyefahamika kwa jina la Eliza akiwa  katika picha za utupu alizopiga akiwa Hostel moja iliyopo maeneo ya Kinondoni Mkwajuni ijulikanayo kwa jina la Kipepeo.    Wanafunzi Lucy na Eliza wakiwa kwenye chumba wanachoishi.    Eliza akiwa kwenye picha ya pozi.   Eliza akiwa kwenye pozi ya picha ya utupu .      Lucy akiwa kwenye pozi ya picha ya utupu .     Lucy Katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wa chuo kimoja ambacho hadi sasa hakijafahamika wamepiga picha za utupu kwa lengo la kuwanasa wanaume wapenda ndono. Tumezinasa picha hizo toka kwa chanzo chetu cha habari ambazo hazifai hata kutizamwa mbele ya jamii. Habari zaidi juu ya picha hizo inasemekana wanafunzi hao wanaishi wanatokea mkoani Arusha na wanasoma moja ya vyuo vikubwa Jijini Dar na wanaishi maeneo ya Kinondoni Mkwajuni kwenyhe nyumba ya wageni ijulikanayo kwa jina la Kipepeo. Hata hivyo wanafunzi hao wanadaiwa wanekuwa wakijihusishwa na vitendo

MWANAMKE AZIMA BAADA YA KUIFAKAMIA MIPOMBE .... AANIKA VYOMBO VYOTE NJE NJE ... MASELA WAJIPAKULIA LIVE

Image
TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI MWANAMKE huyu mkaazi wa kahama wiki iliyopita alitoa kali ya mwaka alipofakamia pombe kali almaarufu kwa jina la kiroba, Chanzo cha habari kiliieleza Website hii  kwamba dada huyu alifakamia Viroba vya kutosha hatimaye kujikuta akisasambua nguo moja baada ya nyengine kitendo ambacho kilimfanya awe kivutio kikubwa kwa watu waliokwepo katika eneo la tukio muda ule, Yani wakaazi wa kahama mjini walifurika katika eneo la tukio mkabala na geti la soko la ndizi mjini humo.

MUONE JIDE AKIPUSH MKOKO WAKE MPYAAA

Image

MFAHAMU VYEMA JB BONGE LA BWANA

Image
  Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Steven Jacob maarufu kama JB, kwa sasa ni miongoni mwa watu wenye majina makubwa mno katika fani hiyo nchini. Ni miongoni mwa nyota `Watano’ Bora zaidi wa kiume kwa upande wa fani hiyo, hivyo kumfanya kuwa katika hadhi ya juu, sawa na nyota wengine kama akina Steven Kanumba na Vincent Kigosi `Ray’ na wengine. Ndiyo maana haishangazi kuona kwamba, hata leo hii ukiingia katika soko la filamu zilizo juu, huwezi kukosa kazi za nyota huyo. Kwa sasa, JB, mtu mwenye umbo la miraba minne licha ya kucheza filamu ni mwandishi wa filamu na mtayarishaji, anatamba na ‘Illegal Sisters’, ‘Signature’, ‘Tanzanite’ na ‘Msamaha wa Rais’, Nakwenda kwa mwanagu, Dereva tax D.N.A na nyingine nyingi.  Katika mahojiano na tovuti hii hivi karibuni, JB anasema kwamba, ana kila sababu ya kujivunia mafanikio yake, ingawa hawezi kuvimba kichwa kwa umaaru

DEMU MPYA MTANZANIA WA PREZOO AAMUA KUUANIKA UTUPU WAKE LIVE MTANDAONI ... JIONEE MWENYEWEEE

Image
Uwii hao waliotagiwa hapo huyo dougiemasta12 na huyo matikibokoyao wakiamka nahisi intastagram itawaka moto,,,Ogopa hizi number kwa matusi....hahahahah Baada ya mapenzi ya Prezzo na demu wa kitanzania kuisha, Prezzo kwanza alianza kwa kuweka picha za Goldie kusema ana mmiss alafu akaweka ya Halle Berry na kumsifia uzuri wake na matiti yake... Ndo hapo sasa yule aliekuwa demu wake alipocharuka huko instagram alihisi prezzo anamsema yeye matiti yake sio mazuri basi na yeye akaweka picha ya mwanaume yupo uchii wa unyama na kibamia na caption hizo......lol... Akidai kwamba bora yeye matiti yake anaweza kuyafanyia plastic surgery ila yeye jamaa hicho kibamia atakifanya nini???hahahaha Kwenye hii blog hatuwezi weka picha za uchi wa unyama so ikanibidi ni blur hiyopicha...lol... Alafu jamani mbona mnapendaga kunitag sana kwenye haya maumbea ya instagram, yani huwa mnanitag mara ishirini kidogo...hahahahha Prezzo achana na mademu wa Kitanzania wamedata ona sasa kila

WATU 10 WAFARIKI DUNIA PAPO HAPO HUKU WENGINE 28 WAKIWA KATIKA HALI MBAYA NI BAADA YA BASI KUPATA AJALI MKOANI LINDI

Image
    Baadhi ya miili ya watu waliopoteza maisha katika ajali hiyo wakiwa mtaroni.. Kwakweli inasikitisha sana, hiyo ikiwa ni ajali mbaya kutokea kwa januari 20 baada ya ajali nyingine mbili ikiwemo ya Noah iliyoua watu na ile ya Mbeya kugongana magari manne kwa wakati mmoja mji mdogo wa Mbalali.   MATUKIO LEO majira ya saa nane alasiri Basi lenye maarufu kama ALLHAMDULILAH lilipata ajali mbaya huko mkoani Lindi watu kumi walipoteza maisha papohapo na 28 mahututi wapo Hosptali ya mkoa wa lindi sokoine, Chanzo cha ajali hilo ni baada ya Basi hilo kugongana na lori la mizigo wakati basi hilo likitokea Dar kuelekea Mtwara ma kupoteza mwelekeo na kupinduka mita kadhaa kutoka barabarani hali iliyochanganya na utelezi mkali kutokana na mvua kubwa iliyonjesha muda mchache kabla ya ajali.      MWENYEZI MUNGU AWATANGULIE MAJERUHI WAPONE MAPEMA, WALIOPOTEZA MAISHA MUNGU AWALAZE MAHALA PEMA PEPONI