Posts

Showing posts from February 23, 2017

Mwanafunzi akipata mimba mzazi jela miaka 30

Image
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema serikali itatoa adhabu kali ya kifungo cha miaka 30 jela kwa wazazi wote wawili wa mtoto wa kike atakayekatishwa masomo na kulazimishwa kuolewa ama akipata ujauzito. Aidha amesema Serikali itamfunga jela miaka 30 kijana anayetaka kumuoa msichana anayesoma pamoja na wazazi wake. Amesema Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kumlinda mtoto wa kike katika kuhakikisha kuwa anapata haki yake ya msingi ya kusoma kufikia elimu ya chuo kikuu kwa kujenga mabweni na kuwachukulia hatua kali za kisheria watu watakaowapa mimba na kuwaozesha katika umri mdogo na kukatisha masomo yao. Majaliwa aliyasema hayo jana wilayani Hanang, mkoani Manyara katika ziara yake ya kikazi ya siku sita kwa mkoa huo. Alisisitiza kuwa kupitia sera ya kuboresha elimu nchini serikali imeondoa michango ya fedha za kulipia bili za maji, umeme, gharama za mlinzi na mitihani ili kumpunguzia gharama mzazi na mlezi na kuwaacha wazazi kushughulikia maeneo mengine muhimu

TCU WATOA ORODHA YA WANAFUNZI WASIO NA SIFA ZA KUSOMA CHUO KIKUU ANGALIA HAPA

Image
Tcu: Orodha ya Vyuo na Majina ya wanafunzi waliokosa sifa za kupewa nafasi za vyuo Tanzania 2016/2017   Tafadhali bonyeza jina la Chuo husika ili uweze kuona Orodha S/No. JINA LA CHUO 1 AJUCO 2 AMUCTA 3 ARU 4 CAWM 5 CBE_DODOMA 6 CBE_MWANZA 7 CDTI 8 CFR 9 CUHAS 10 DIT 11 DMI 12 EASTC 13 ETU 14 HKMU 15 IAA 16 IFM 17 IMTU 18 IRDP 19 ISW 20 ITA 21 JUCO 22 KCMUCo 23 KENYATTA 24 MOCU 25 MUHAS 26 MUM 27 MUST 28 MZUMBE 29 NIT 30 RUCU 31 SAUT_ARUSHA 32 SAUT_MBEYA 33 SAUT 34 SEKOMU 35 SFUCHAS 36 SJUCMC 37 SJUT 38 SMMUCO 39 St. MARKS 40 STEMUCO 41 SUA 42 SUMAIT 43 SUZA 44 TEKU-DAR 45 TUDARCO 46 TUMA-MBEYA 47 TUMA 48 U-BAGAMOYO 49 UDOM 50 UDSM 51 UoI 52 ZIFA