HILI ndiyo Risasi bwana! Sikia, kama ulikuwa hujui ni kwamba msanii mkongwe katika filamu za Kibongo, Ruth Suka āMaindaā ameibuka na kueleza mengi ikiwemo kutoa mimba ya mpenzi wake wa siku nyingi, Vincent Kigosi, tulia hapohapo. Ruth Suka āMaindaā. Mbali na uhusiano wao huo uliokuwa ukifanywa siri, Mainda ameelezaā¦ Stori: Jelard Lucas HILI ndiyo Risasi bwana! Sikia, kama ulikuwa hujui ni kwamba msanii mkongwe katika filamu za Kibongo, Ruth Suka āMaindaā ameibuka na kueleza mengi ikiwemo kutoa mimba ya mpenzi wake wa siku nyingi, Vincent Kigosi, tulia hapohapo. Ruth Suka āMaindaā. Mbali na uhusiano wao huo uliokuwa ukifanywa siri, Mainda ameeleza kwa machungu jinsi Ray alivyomtesa kwa kumchanganya na wasanii wenzake, Blandina Chagula āJohariā na Chuchu Hans ambaye ni mke wa mtu. Risasi Mchanganyiko lilipata wasaa wa kufanya naye mahojiano āexculusiveā kwa saa moja na dakika tano, wikiendi ili...