Posts

Showing posts from December 18, 2015

Nora adaiwa kuwa chizi tena!

Image
Mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’. Na Brighton Masalu NURU Nassoro ‘Nora’ ambaye ni mwigizaji wa kitambo Bongo,anadaiwa kuugua uchizi kwa mara nyingine tena, jambo ambalo amelipinga vikali na kwamba wabaya wake wameendelea kumtakia mabaya katika maisha yake, lakini yuko safi na anaendelea na maisha yake. Mwanzoni mwa wiki hii, mmoja wa rafiki zake wa karibu aliliambia gazeti hili kuwa, uzushi na uvumi huo ulianza kuenezwa wiki mbili zilizopita, hali iliyosababisha watu wengi, kuanza kumtumia ujumbe mfupi wa maandishi (SMS),wakitaka kuthibitisha uvumi huo, hali iliyomuumiza msanii huyo. Baada ya kupata taarifa hizo, mwandishi wetu alimtafuta Nora kupitia simu yake ya mkononi ambapo alikiri kukumbwa kukutana na madai hayo huku akionesha masikitiko makubwa juu ya uvumi huo. “Mwenyewe nilishangaa sana, nilishindwa kujua ni kwa nini watu wanaendelea kunitakia mabaya kiasi hiki, nilianza kupokea simu kutoka kwa watu wangu wa karibu wakiniuliza kulikoni, lakini mbay

Dkt. Kingwangalla asiamama getini kudhibiti watumishi wachelewaji Wizara ya Afya

Image
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akisimamia zoezi la ufungwaji wa geti hilo, Kulia ni askari wa SUMA JKT akiweka kufuli katika lango kuu la kuingia katika ofisi za Wizara ya Afya. Dkt Kingwangalla akiwauliza askari wa getini kuhusu daftari la mahudhurio ya watumishi wa wizara baada ya kufungwa geti hilo, na kupewa maelezo kuwa watumishi huonyesha vitambulisho pekee na husaini katika vitengo vyao. Mmoja wa wafanyakazi wa Wizara ya Afya akiwasili ofisini huku muda wa kuingia kazini ukiwa umepitiliza. Kushoto ni Naibu Waziri, Dkt Kingwangalla akizungumza na mmoja watumishi wa wizara hiyo na kuagiza kuletewa vitabu vya mahudhurio kwa vitengo vyote vilivyopo wizarani hapo. Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu katika Wizara ya Afya, Michael John akitoa maelezo kuhusu mahudhurio ya watumishi kwa Dkt Kingwangalla. Magari ya watumishi wa Wizara ya Afya yakiendelea kuwasili ofisini bila ya kutambua kuwa Mheshimiwa Dkt Kigwangalla

MAN ARRESTED, QUESTIONED AFTER SH 720M CASH FOUND IN HIS HOTEL ROOM

Image
There was drama at a hotel in Dodoma after TSh 720 million was found in the room of a middle-aged man. The mid-morning incident fuelled speculation that CCM nomination candidates were splashing billions of shillings. The Citizen could not, however, independently verify that the money found at the hotel was in any way related to the ongoing political campaigns, especially the high-stakes process to nominate CCM’s presidential candidate. The development took place as CCM was holding meetings to pick its flag-bearer. Rival camps in the party immediately pointed an accusing finger at one another over the huge stash of money found in possession of the Indian national. Supporters of the various camps used social media to speculate on who may have been behind the matter, with most linking it with an alleged plot to bribe members of the CCM National Congress, which was due to convene last night. Mr Bernard Membe, who was in the short list of five candidates picked by the Central Committ