Posts

Showing posts from March 19, 2014

MKE AMFUMANIA MUMEWE GUEST BUBU JIONEE MWENYEWE.

Image
USIOMBE yakukute! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kusikia kisa cha aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki wa TAKEU, Nice Lucas Mkenda , Lulu John (mwenye blauzi nyekundu) anayedai kumfumania mumewe , Lulu alidai kumfumania bwana’ke Abdulatif Salum na mwanamke ambaye jina halikupatika kwenye gesti moja iliyopo Kinondoni B jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita. SINEMA ILIKUWA HIVI Kwa mujibu wa Lulu, akiwa kwenye mihangahiko ya kusaka bingo, alitonywa na mtu wake wa karibu kuwa mumewe Abdulatif yupo kwenye nyumba hiyo ya wageni akiigagadua amri ya sita nje ya mkataba. Lulu, baada ya kuthibitishiwa kuwa mumewe anacheza ‘nje kapu’ ndipo akakodi bodaboda fasta na kuwahi eneo la tukio kwani naye siyo mgeni wa uwanja huo wa mechi za kitandani.  Alidai kuwa ilimchukua dakika 12 tu kutoka Kijitonyama, Dar anakoishi na mumewe hadi eneo la tukio. MPAKA CHUMBANI Aliendelea kusema kuwa baada ya kutimba mahali hapo alikwenda moja kwa zote hadi kwen

MCHINA AFUNGWA JELA MIAKA 20 KWA KUKUTWA NA MENO YA TEMBO

Image
  Kamanda Kanda Maalum, Seleman Kova akiwa ameshika meno ya tembo. Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu raia wa China, Yu Bo (45), kulipa faini ya Shilingi  bilioni tisa au kwenda jela miaka 20 baada ya kukiri kukutwa na nyara za serikali. Yu, alikamatwa akiwa na kilo 303 za nyara hizo ikiwamo ngozi za vinyonga wawili vyote vikiwa na thamani ya Sh. milioni 975 mali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi, Devota Kisoka, baada ya upande wa Jamhuri kumsomea mshtakiwa mashitaka na kukiri. Alisema baada ya mshtakiwa kukiri makosa yake, mahakama imemtia hatiani na kumhukumu kulipa faini ya Shilingi bilioni tisa na akishindwa aende jela miaka 20. Hata hivyo, hadi NIPASHE inaondoka mahakamani hapo jana saa 9:00 alasiri Yu alikuwa hajafanikiwa kulipa faini hiyo. Kabla ya hukumu hiyo kusomwa, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Faraja Nchimbi, alidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika na alimkumbusha mshtakiwa mashitaka yak

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA BODI YA WAKANDARASI TANZANIA (CRB )

Image
Company:Contractors Registration Board (CRB) Location:Dar Es Salaam POSITION DESCRIPTION: The Contractors Registration Board (CRB) is a government autonomous regulatory body established by Act of Parliament No. 17 of 1997 "to register and regulate all types of contractors and to promote the development of their capacities for the purpose of protecting consumers of construction services in Tanzania. In order to carry out its functions effectively and thereby meet its objectives, it needs dynamic and creative Tanzanian Citizens who are performance driven QUALIFICATIONS Holder of a Degree in either Engineering, Architecture, Quantity Surveying or Equivalent qualifications from a recognized institution with at least three years' experience; and must be registered with the relevant Board DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Carry out inspections related to constructions site ii. Identify defaulters for legal action iii. Investigate complaints received and

ANGALIA PICHA MATESO ANAYOPATA MWANAMAMA HUYU.

Image
EEH! MWENYEZI MUNGU MSAIDIE MJA WAKO! Chelsea wampatia Drogba Zawadi Didier Drogba to get Silver shoe from Chelsea for his services to the club.

MADEREVA DALADALA WAGOMA KUINGIA BARABARANI

Image
MADEREVA wa daladala Manispaa ya Morogoro wamegoma asubuhi hii wakidai kukamatwa hovyo na matrafiki na hakuna daladala linalofanya safari yoyote katika manispaa hiyo. Madereva hao wanadai wameamua kugoma kutokana na kamatakamata ya askari wa usalama barabarani, ambapo wamesema daladala moja kwa siku linaweza kukamatwa hadi mara nne na wakihoji wanaambiwa ni makosa tofauti. Waliongeza kuwa wamepeleka malalamiko yao ngazi mbalimbali za serikali mkoani Morogoro bila mafanikio. Mgomo huo umewaathiri zaidi wanafunzi ambao wapo katika mitihani ya nusu muhula ambapo baadhi yao walilazimika kutembea kwa miguu huku wengine wakirudi nyumbani kujipanga. Ili kuongeza uzito katika mgomo huo, madereva hao wametoa tahadhari kwa wamiliki wa mabasi ya Abood kutojaribu kupeleka mabasi yao barabarani kama ambavyo wamekuwa wakifanya pindi ukitokea mgomo ndani ya manispaa hiyo.

ANGALIA NAFASI MPYA YA KAZI CRDB BANK PLC

Image
CRDB Bank PLC is the largest bank in Tanzania in terms of Total Assets with a network of over 100 branches throughout Tanzania. Established on I st July, 1996, it is owned by more than I 1,000 shareholders and is one of the fastest growing banks in the country offering a wide range of microfinance, agent banking, retail, SME and corporate banking services. Additional information about the bank can be obtained from our website http://www.crdbbank.com CRDB Bank Plc is urgently looking for suitable persons to fill vacant positions that exist in the Department of Administration & General Services at the Head Office. SUMMARY OF MAIN RESPONSIBILITIES: • Plan, coordinate and supervise Contract and Service Management activities in line with the approved bank's procurement Plan and Policies. • Prepare bids documents to ensure that they are in line with the approved procurement requirements and standards. • Prepare notices for invitation for bids as per Tender C

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA TANROADS

Image
Office Assistant Company:Tanzania National Roads Agency (TANROADS) Location:Tanga POSITION DESCRIPTION: From the Daily News of 18th March Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is a Semi-Autonomous Agency under the Ministry of Works established on July I, 2000 and is responsible for the day-to-day management of the Tanzania Mainland's trunk and regional roads network. Its primary functions include the management of maintenance and development works, operations of the network and axle load control, the implementation of road safety and environmental measures, provision of advice on the strategic framework, policies and plans for the road sector. Regional Manager, TANROADS - TANGA is looking for suitable qualified Tanzanian candidates for 10 posts available at Pongwe Weigh Bridge station. Regional Manager TANROADS - Tanga invites interested candidates to apply for the Shift In charge, Weighbridge Operator and Office Attendant positions: Key qualif