Posts

MISS TANZANIA APEWA TALAKA KISA SOMA HAPA

Image
Miss Tanzania 2011, Salha Israel. IMELDA MTEMA, AMANI Ndoa ya Miss Tanzania 2011, Salha Israel aliyofunga na Abdulatif Fundikira ‘Tiff’ ambaye ni mtalaka wa mwanamitindo Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ aliyeko gerezani kwa msala wa madawa ya kulevya huko Macau, China, inasemekana kuingia mdudu mbaya baada ya mrembo huyo kudaiwa kupewa talaka moja. Kwa mujibu wa chanzo makini, kumekuwa na kutoelewana kati ya wanandoa hao, jambo ambalo limewafanya kuwa kwenye sintofahamu kila wakati huku wakimsaka mchawi wa ndoa yao. Salha Israel akiwa na mumewe. “Awali wale watu walikuwa wanapendana sana lakini cha ajabu kumekuwa na migogoro midogomidogo kwenye ndoa yao hadi kufikia wakati wenyewe wanajiuliza mchawi ni nani ilihali wao wanaonekana wanapendana sana,” kilisema chanzo hicho ambacho ni mtu wa karibu wa wanandoa hao. Baada ya ishu hiyo kutua kwenye dawati la gazeti hili, mwanahabari wetu alianza kwa kumsaka Tiff ambaye a

Mastaa Hawa na Mchezo Huu Vepeee?

Image
Wema Sepetu na Aunt Ezekiel Miongoni mwa mastaa wa filamu na muziki Bongo wamekuwa na viashiria vya vitendo visivyofaa hasa wanapokuwa kwenye sehemu za starehe na wengi wao ni wale wanaotumia kinywaji chenye kilevi. Wanaotajwa sana kwenye tabia hiyo mni pamoja na hawan wafuatao kutokana na picha zao kuzagaa nsana mitandaoni na kwenye magazetin mbalimbali. Hapa nawazungumzia Aunt Ezekiel na Wema Sepetu, Isabela Mpanda na Baby Madaha, Rayuu na Skaina nk. Mastaa hawa kwa nyakati tofauti wamekuwa wakionesha wazi viashiria hivyo kwa kupigana picha na picha hizo kuzagaa kwenye vyombo vya habari. Wao kwao imekuwa kama fasheni na muda mwingi hulichukulia suala hili kama la kawaida kwa madai kuwa ni kutokana na ukaribu wa urafiki walionao. Skaina na Rayuu Je, kabla ya ustaa walikuwa wakisalimiana na kuwa karibu hivi? Ni swali ambalo linaulizwa na kila msomaji pengine na hata wazazi wanaowazunguka kwani kwao ni vitu vigeni. Ustaa ndiyo shinikizo la viashiriahivi ama

Miss Tanzania ataka namba ya Samatta

Image
Mshiriki wa Miss Tanzania 2005 ambaye pia ni mcheza fi lamu, Maureen Gislary. Imelda Mtema,Dar es Salaam MSHIRIKI wa Miss Tanzania 2005 ambaye pia ni mcheza fi lamu, Maureen Gislary ameibuka na kutaka namba ya simu ya mchezaji wa timu ya Taifa Stars na Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta kwa gharama yoyote. Mbwana Samatta. Akizungumza na Amani Sports, Maureen aliyekuwa kumi bora katika kinyang’anyiro hicho cha Miss Tanzania kilichoshuhudiwa kwa Nancy Sumari kuibuka mshindi alisema kuwa, nia ya kuhitaji namba hiyo nikuhakikisha anamuweka Samatta ‘kibindoni’ kabla hajatimkia nje ya nchi. “Kwanza nimefurahishwa sana na ushindi wake wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani mwaka 2015, mwenye namba yake tafadhalini naiomba kwa gharama yoyote nitatoa,” alisema Maureen.

TANZANIA ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA RWANDA-MAJALIWA.

Image
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Rwanda nchini, Eugene Kayihura. Ambapo amemuahidi kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Rwanda. Akizungumza na Balozi Kayihura jana ,(Jumatano 13, 2016) ofisini kwake, Magogoni jijini Dar es salaam, Waziri Mkuu amemshukuru Balozi huyo kwa kumtembelea na ameahidi kuwa Serikali ya Tanzania itaendeleza ushirikiano ulipo baina ya nchi hizi mbili. “Nia yetu ni kushirikiana kwa pamoja kwa kuunganisha wafanyabiashara wetu, kwa kutumia Bandari ya Dar es salaam na reli ya kati, ambayo tutajenga kwa kiwango cha kisasa ‘standard gauge’ ili ziweze kubeba mizigo mingi na kwenda mwendo wa kasi” alisema Waziri Mkuu. Kwa upande wake, Balozi wa Rwanda, Kayihura amesema Tanzania na Rwanda ni nchi marafiki na zinafanyakazi wa pamoja, Rwanda iko tayari kushirikiana na Tanzania kikanda na kimataifa. “Tunatumia Bandari ya Dar es salaam na Mombasa, tunashukuru kwa namna ambavyo mnaboresha Bandari ya Dar e

SPIKA WA BUNGE AENDA KUMFARIJI MAMA MARIA NYERERE

Image
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiweka saini kitabu cha maombolezo  alipokwenda kutoa pole Mama Maria Nyerere Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa kufiwa na mkwewe Leticia Nyerere leo tarehe 13 Januari Msasani jijini Dar es Salaam. Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akimfariji Bi. Rose Nyerere binti wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alipokwenda kuwafariji kufuatia kuondokewa na Mpedwa wao Leticia Nyerere. Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akimsalimia Mama Maria Nyerere Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alipokwenda nyumbani kwake kumpa pole kufuatia kifo cha mkwewe wake Leticia Nyerere. Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akimsikiliza Mama Maria Nyerere Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere (aliyekaa katikati) wakati alipokwenda kumpa pole kufuatia kifo cha mkwewe wake Leticia Nyerere. Aliyekaa kulia ni Mmoja wa Wasemaji wafamilia Bw. John Shibuda. Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza na  Mama Maria Nyerere Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere

Edward Mordrake; Binadamu Mwenye Sura Mbili.

Image
Edward Mordrake NI vigumu kuamini!  Edward Mordrake ni Mwingereza mashuhuri wa karne ya 19 ambaye alijinyakulia tuzo za Nobel. Mordrake aliyetokea kwenye ukoo mashuhuri na wenye hadhi kubwa nchini humo, alitambulishwa zaidi kwa sura zake mbili, moja ikiwa kwenye uso wake wa kawaida na nyingine nyuma ya uso (kwenye kisogo). Cha kushangaza zaidi inasemekana kuwa sura yake ya kisogoni haikuweza kula wala kuongea chochote na hata ikijaribu kuongea maneno yalikuwa hayasikiki lakini iliweza kulia, kucheka na kusikia kila neno. Sura yake ya mbele ya uso imeelezwa kuwa ilikuwa ni nzuri na ya kuvutia  (handsome). Watu waliomuona na kuzungumza naye, wanamsifu Mordrake kwa uzuri wa sura yake ya usoni na tabasamu lake, lakini balaa lipo kwenye sura yake ya kisogoni ambayo ni ya kutisha na  inayofanana na sura ya “bibi kizee mchawi”. Simulizi za wafanyakazi wa jumba la kifahari alimoishi Mordrake, zinatolewa kwa siri, ambapo zinaeleza hali ya maisha ya huzuni ya kijana huyo

Taswira za sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Image
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikagua gwaride la Vikosi vya Ulinzi liliandaliwa rasmi katika kilele cha sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika jana katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi wakati wa kilele cha sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Salim Ahmed Salim. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein mara alipowasili katika kilele cha sherehe za m

Wema Hamjui Mwenye Mimba

Image
Wema Sepetu ‘Madam’ Na Mwandishi Wetu, Risasi DAR ES SALAAM: Habari zinazosambaa kwa kasi ya ajabu kama moto wa kifuu zinaeleza kuwa, mtoto mzuri ndani ya Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ mbali na taarifa za kuwa mjamzito, hadi sasa bado yupo kwenye wakati mgumu kuweza kutegua kitendawili cha nani mmiliki halali wa kiumbe kilichopo tumboni mwake, Risasi Mchanganyiko linakupa habari kamili. Hivi karibuni, magazeti tofauti ya Global Publishers ndiyo yalikuwa ya kwanza kuripoti kuhusu uwepo wa mimba ya mlimbwende huyo asiyechuja Bongo, ambapo awali, vyanzo mbalimbali vilieleza kuwa mhusika ni mbunge mmoja machachari ambaye ndiye anayemuweka Wema mjini kwa sasa.   Kitumbo cha Wema Sepetu MAJIBU YA WEMA ALIPOBANWA Kwenye habari ya awali iliyoripotiwa na gazeti la Ijumaa, Wema alipotafutwa kusomewa mashitaka yake kuwa ana ujauzito wa mbunge huyo, kupitia simu ya shosti wake, Aunt Ezekiel, staa huyo hakutaka kufunguka sana kuhusu mbunge huyo zaidi ya kusema; “ndiyo

PICHA ZA HALFA FUPI YA KUMPONGEZA MBWANA SAMATTA HYATT REGENCY

Image
 Serikali immempatia zawadi ya kiwanja na pesa ambazo thamani yake haijajulikana mchezaji bora wa Afrika Mbwana Samatta, Hayo yalisemwa jana na Mgeni Rasmi katika halfa hiyo Waziri William Lukuvi. Sherehe hizo zilifanyika  kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar.  Waziri wa Michezo Nape Nnauye akiwa na wazazi wa Mbwana Samatta  Mwakilishi wa Vodacom akitoa neno  Mchezaji Thomas Ulimwengu akifurahia jambo na mdau.  Mbwana Samatta akimpa zawadi ya jezi Waziri Lukuvi

MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 13.01.2016

Image
MAGAZETI YA UDAKU LEO   MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI