MAUHAJI YA KUTISHA YA MTOTO YAFANYIKA UKO MKOANI MANYARA WILAYA YA MBULU.
Pata kisa hiki cha kusikitisha ambacho kilikuwa hakijawahi tokea katika kijiji hiki kwani kilisababisha vilio kutanda ndani ya mji mzima. Jeneza la marehemu Jenefrida likiwa limebebwa na waombolezaji kuelekea makaburi MAHUAJI. Mahuaji haya yalitokea mnamo tarehe 25/03/2014 katika kijiji cha GIDEMOSA kata ya DONGOBESH wilaya ya MBULU mkoani Manyara mnamo majira ya saa tisa alasiri ambapo mtoto JENIFRIDA PAULO aliweza kuuwawa Kikatili kwa kuchomwa kisu pemebezoni ya kichwa na hatimaye kuchinjwa shingo na uku kolomea likiwa limening'inia na akisaidiwa kushikiliwa na ngozi tu.. CHANZO CHA KIFO. Marehemu JENIFRIDA PAULO mnamo trh 25 kabla ya kukumbwa na mauti hayo akiwa nyumbani kwao mchana, akiwa yeye na mama yake mzazi. Mama wa marehemu akiwa ndani ya nyumba kubwa kapumzika kutokana na matatizo ya kiafya yanayomkaribi kwa muda, ilamuagiza mwanae(marehemu) aende katika nyumba ndogo yaani jiko na stoo akatoe kuni zilizokuwa nje ya myumba na akaziweke ndani ili usiku waw