BREAKING NEWS : SPIKA WA BUNGE MH JOB NDUGAI AWATOA WABUNGE WA UPINZANIA BUNGENI


 
Spika wa Bunge la Tanzania Mh Job Ndugai aweamuru Wabunge ukawa Kutoka Nje ya Bunge,Hali hiyo Imetokana na Wabunge hao Kupiga kelele Kipindi Viongozi wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Pamoja Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Wakiingia Bungeni

Comments

Popular posts from this blog