BREAKING NEWS : UKAWA WACHAFUA HALI YA HEWA BUNGENI KISA RAIS WA ZANZIBAR

Wabunge wa Upinzani katika Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Watanzania Wanazomea Bungeni mara baada ya Kutangazwa Kuingia kwa Rais wa Zanzibar Mh Dk Ali Mohamed Shein.Wanachopinga wabunge hao wanadai hawamtambui Dk Shein Kama Rais Halali wa Zanzibar.Hali hiyo ilianza pale Naibu spika alipomuita Mwanasheria Mkuu wa Serikali  Kutengua Kanuni ili Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wameze Kuongozana  na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Magufuli wakati atakapokuja Kulihutubia Bunge na Kulizindua Rasmi ,

Comments

Popular posts from this blog